Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
- #301
Naona mshauri wangu BICHWA KOMWE - kafika kupigilia msumali wa mwisho😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Mkuu umeanza makali yako sasa😁
Kiuhalisia ndoa za remote hazidumu. Wekeni mambo yenu sawa muwe pamoja kama mnapendana. Lakini kadri mnavyozidi kulala maeneo tofauti ndio ndoa yenu inakufa kifo cha cancer. Baada ya miaka mitatu itakuwa imekufa mtajikuta mna ndoa 3 in 1. Moja kwa ajili ya uzazi kama ng'ombe na nyingine kwa ajili ya mapenzi ya dhati na kufurahia maisha ya dunia. Utapima mwenyewe ipi itakuwa na nguvuNgoja nimwambie nayeye akizidiwa apige selfie kidogo aisee, maana kumegewa kusikie tuu. Naona ananitumia sms za kunimiss sana hadi naogopa.
Lakini babu mbona wanaume wanatongozaga mpaka wajawazitoHakika Mjukuu
Kwa Vijana wenye malengo na wanaishi mbalimbali na wapenzi wao wajitahidi kutenga muda wa kutembeleana Mwezi huu Mkeo anakufata ulipo Mwezi Ujao Mume anamfata Mke.
Sisi wenye wivu tulitumia mbinu ya kuwajaza mimba Kila baada ya miaka 2 😜
Sema umenipa ushauri mzuri, from now on wewe ni best yangu.
Kuchapiwa sio shida, shida yangu ni kuchapiwa na Vijana wa hovyo 🙌Hahahah ukiwa mbali jiwekee tu lazima uchapiwe itakusaidia afya ya akili babu hata kama hatochapwa😁😁
💯Kiuhalisia ndoa za remote hazidumu. Wekeni mambo yenu sawa muwe pamoja kama mnapendana. Lakini kadri mnavyozidi kulala maeneo tofauti ndio ndoa yenu inakufa kifo cha cancer. Baada ya miaka mitatu itakuwa imekufa mtajikuta mna ndoa 3 in 1. Moja kwa ajili ya uzazi kama ng'ombe na nyingine kwa ajili ya mapenzi ya dhati na kufurahia maisha ya dunia. Utapima mwenyewe ipi itakuwa na nguvu
Usitegemee ushauri wa maana kutoka kwa huyu mzee😁Lakini babu mbona wanaume wanatongozaga mpaka wajawazito
Nope, nilikuwa napenda anavyoongea na anavyochambua mambo kwa uzito, sikuwahi kuona ufupi wake.. alivyoanza gubu nikaona pia ni MFUPISasa hivi ndio ufupi wake umeuona sio? Mwanzo alikua tolu.
Mkuu sio kwa kupenda ila ni katika harakati za kutafuta life mnajikua mpo mbali mbali.Kiuhalisia ndoa za remote hazidumu. Wekeni mambo yenu sawa muwe pamoja kama mnapendana. Lakini kadri mnavyozidi kulala maeneo tofauti ndio ndoa yenu inakufa kifo cha cancer. Baada ya miaka mitatu itakuwa imekufa mtajikuta mna ndoa 3 in 1. Moja kwa ajili ya uzazi kama ng'ombe na nyingine kwa ajili ya mapenzi ya dhati na kufurahia maisha ya dunia. Utapima mwenyewe ipi itakuwa na nguvu
Ni kweli hili hufanyika japo sio sawa na ukiwa hauna ujauzito.Lakini babu mbona wanaume wanatongozaga mpaka wajawazito
Tuko pamoja mkuuSema umenipa ushauri mzuri, from now on wewe ni best yangu.
Nasikia watu wafupi wana "inferiority complex" alihisi anachapiwa ikabidi abwage mapema.Nope, nilikuwa napenda anavyoongea na anavyochambua mambo kwa uzito, sikuwahi kuona ufupi wake.. alivyoanza gubu nikaona pia ni MFUPI
Kila akija wewe ni kutoboka mfuko tu, huko ujanani tulikuwa na mambo ya hivyo, hayana afya mkuu labda ubahatike tu.Acha tuu mkuu, ila yeye yupo tayari kuja nilipo hata kesho ila sasa nikiwaza gharama naishiwa nguvu.
📌📌📌📌📌Yap na ndio maana mim namuelewa sana Zari/shilole wanajipenda mnooo na ndio wanaume walivyo kwa sababu wanaume wanajipenda mnoo na huwa hawafikirii mtu wanajifikiria wao
Babu ungemshauri Nini mwanamke anayepanga kuolewa Na mwanaume aliyemzidi kipatoNi kweli hili hufanyika japo sio sawa na ukiwa hauna ujauzito.
Lakini pia ushiriki wa ngono na Mama mjamzito na asiye na ujauzito huwa ni tofauti.
Walau akiwa mjamzito huwa Kuna kuwa na kahuruma fulani hivyo baadhi ya mitindo huachwa.
Ila akiwa hana ujauzito, Vijana wa hovyo hutaka kusikia harufu ya mishikaki wanasema
Huyo ni mke au mchumba? Yaani una mahusiano ya kukutana kila baada ya miaka miwili, hasira za mwili unazipeleka wapi? I can never do that.It has been 11 years,,,,,
Tutakutana wakati wa likizo tu,,,, na kuna wakati inapita hadi miaka 2.
Ups and down zipo,,,,, ila commitment ndio kitu kikubwa.
Mkuu acha tuu, ukiwa financially stable haina shida sasa hapa bado najitafuta, ninavyoandika hapa yupo arusha kwao katoka dar last week lengo lake anifate mwanza kunisalimia nikiangalia bado mambo hayajakaa sawa akija atachoma mtaji yani nawaza acha kabis. Nimem'miss sana na ninatamani aje ila ndio hivyo, ashaanza kulalamika hapa anadai nishapata mtu mwingine.Kila akija wewe ni kutoboka mfuko tu, huko ujanani tulikuwa na mambo ya hivyo, hayana afya mkuu labda ubahatike tu.
Hata kama mnatafuta ila weka akilini ndoa za remote hazidumu. Vinginevyo kubali kuwa haina makombo kama ulivyosema. Mkeo ni binadamu na wewe ni binadamu mnaohitaji kutulizwa kingono kila mwezi.Mkuu sio kwa kupenda ila ni katika harakati za kutafuta life mnajikua mpo mbali mbali.