Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
- #461
Nakubali mkuu ila naogopa kuchapiwa na wajuba.Mandela & winnie walidumu miaka 27 Moja akiwa gerezanii ila wakashindwana ndani ya miaka miwili wakiwa pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali mkuu ila naogopa kuchapiwa na wajuba.Mandela & winnie walidumu miaka 27 Moja akiwa gerezanii ila wakashindwana ndani ya miaka miwili wakiwa pamoja
Hamna lolote.🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi ndio tunafaa sasa!
Ameona tu jina Mpaji Mungu kaamua kuni-attach humo, binafsi sijawahi kuwa mkereketwa wa masuala ya kiimani sana hasa humu, na hata kama ningekua hvo siwezii acha kuchangia mada za 🍑🍆Mpaji Mungu njoo hapa ujibu mashtaka. Ni kwanini unaruhusu shetani akutumie!!!
We huko ukipata endelea kuichapa hayo mapenzi ya kijima yalikua Kwa wazeee wetuNakubali mkuu ila naogopa kuchapiwa na wajuba.
Naishi humu humu mkuu.We huko ukipata endelea kuichapa hayo mapenzi ya kijima yalikua Kwa wazeee wetu
Bila kuonana wala sex?Ilidumu mwaka 1 tu akaoa
🤣🤣🤣 Malejendari kabisa!!Si unanisema hapa kila siku wewe?
tulikua tunaonana hata mara 1 kwa mwaka yes nilikaaa nilikua nachungwa communication muda wote video calls na hakuna waxing😂😂😂Sema ukweli mkuu ulikaa miaka minne bila sex?
Bora sisi wa mikoani🤣🤣Ulweli ni mchungu ila unaponya, hakina Ke anayeishi Dar akakaa mwaka bila kuguswa, labda anaumwa!
Sijatoshea! Urudi na kesho mamyNa nmelala kwako leo😳
Kweli kabisa🤣🤣🤣Matapeli wa mapenzi
Acha kumpoteza mwenzio!We huko ukipata endelea kuichapa hayo mapenzi ya kijima yalikua Kwa wazeee wetu
Mkuu ulikua unakaa na msitu wa amazon😁tulikua tunaonana hata mara 1 kwa mwaka yes nilikaaa nilikua nachungwa communication muda wote video calls na hakuna waxing😂😂😂
Mkuu miaka yote minne hamjaonana?Mwaka Wa Nne Huu Niko Na Long Distance Relationship Na Mwezi Wa 12 MUNGU Akipenda Napeleka Maharu