Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Aahwapi, kuwasifia mara moja nimekuwa mpambeHaiwezekani ila umekua mpambe sana😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahwapi, kuwasifia mara moja nimekuwa mpambeHaiwezekani ila umekua mpambe sana😄
Angalia nimekutumia mke wangu 💕Kama ukiweza ntumie yote mme wangu 😅😅
Mashangazi gan mnataka hela, huoni Poor Brain anajivunia nyie mnapigo za wadada wadogo... Mtujali kama mabinti wanavyowajali wazee😂Sasa mashangazi ya Mbeya, tumekukosea nini tena jamani?
Mnapishana online 😂 😂 😂 hapa kuna penzi kweli hapa 😂Mmmh we nae mbona juzi tulikuwa tunapishan online darling 😂😂
Kwani niliolewa hadi useme niliachika Bro?Ina maana mdogo wangu uliachika? The bold yuko wapi kwanza!
Useme Kijana mwenyewe alishachagua upande wa maumivu.Mmeshindwa kumfundisha kijana wenu Yohimbe bark ndo kwanza mpo kumkandia ila si mnaujua mziki wetu na sisi tukiamua😅😅😅
Dar kuna Makange mengi sana kila mahali usitegemee awemtulivu.😅😅😅😅😅
Tulia wewe🤣🤣Kama kufariji ndio hivi acha tuu mkuu😁
Aaah unakuwa kama unaongozana na katoto bwana!! Na gubu saaasa🙆🙆Hutaki kufeel insecure?
🤣🤣🤣🤣🤣Piga mahesabu toka tumeanza mahusiano yetu, ndio muda exactly nimewahi vumilia..
🤣😂
Basi wacha nitulie tuMashangazi ya Mbeya wengi ni maskini, wakijitahid utakuta wanauza mchele mashineni na kuuza chapati na mihogo vyuoni, utakula hela yao ipi hapo?
Hapana yeye alikua anatokea mwisho wa Reli kule😄
Na nimetulia kweli.Tulia wewe🤣🤣
Mkuu unataka kulelewa?Basi wacha nitulie tu