Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupendi!Nyie mnajulikana mmeshindikana Afrika mashariki na kati!🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Nakupenda😍😍😍Sikupendi!
Na kitambi atawezana?🤣🤣🤣🤣 Nakupenda😍😍😍
Maki sio jambazi; analipenda sana husiano lake weeeeeeeeeee. Hapa anatamani akalitolee ushuhuda kanisaniMimi sio jambazi, labda Makiwendo 🤣🤣🙈🙈
Ila mlivyokuwa mnaongozana na baba zenu wafupi mlikuwa hamfeel insecure😅😅😅😅😜Aaah unakuwa kama unaongozana na katoto bwana!! Na gubu saaasa🙆🙆
Hakuna namna nyingine🤣🤣🤣Na kitambi atawezana?
🤣🤣🤣🤣 Ukamuamini kabisaaaa, huyo jambazi mbobevu!!!!Maki sio jambazi; analipenda sana husiano lake weeeeeeeeeee. Hapa anatamani akalitolee ushuhuda kanisani
🤣🤣🤣🤣🤣Ila mlivyokuwa mnaongozana na baba zenu wafupi mlikuwa hamfeel insecure😅😅😅😅😜
Nasikia wana dose za sukari pia so nenda nao slowly😁Hana namna nyingine🤣🤣🤣
Amen. Nashukuru mkuu.Aisee Mungu azidi kukubariki mkuu. Mimi ninapenda sana na kufurahia shuhuda za namna hii
Penzi lipo mkuu huoni nabembelezwa nilaleee 😂😂Mnapishana online 😂 😂 😂 hapa kuna penzi kweli hapa 😂
Muhimu pesa 🤣🤣🤣Nasikia wana dose za sukari pia so nenda nao slowly😁
Hawa wazee wana pesa kweli? Naona kama wasanii sana tuu.Muhimu pesa 🤣🤣🤣
Ushazoea mwenyewe😁Akiwa mkoani anapo fanyiakazi nakula block hasa w end nokajitoa taratiiibu
Wana vitambi na visukari vyao tu🤣🤣🤣Hawa wazee wana pesa kweli? Naona kama wasanii sana tuu.
Uko sawa kabisa mkuu kwa jinsi ulivyoandika. Nahisi wewe utakuwa mhenga mwenzangu na una familia. Nawakumbusha vijana wanaoingia kwenye ndoa wajitahidi wawezavyo kukwepa distance marriage. Yule Mama ni mtu wa imani lakini mahitaji ya mwili kumbe yalikuwa muhimu kwake. Tangu pale nikagundua kumbe baadhi ya wanawake wanapofika Kuanzia 36 hadi 46 mwili unachemka sana na wanahitaji huduma ya sex sana ili akili itulie na shughuli zingine ziende vizuri....Nimemfurahia na kumpongeza kwa sababu hizi kubwa
-From the very beginning alishaona jaribu lipo; na hakutafuta justification ya kudondoka kwenye jaribu; instead alitafuta solution ya kumsaidia asiangukie mshangazi.
-Roho I radhi lakini mwili ni dhaifu; akawa ameangukia kwa mshangazi. Yet sijaona kwenye maelezo yake akijustify Ile cheating, kama ambavyo pharaoh's sons wangesema: all men cheat au sijui kuchepuka kwa heshima blah blah blah. Nafsi yake pasipo kushurutishwa na mtu au kukatishwa na fumanizi; iliona kwamba anachokifanya sio sahihi, hivyo hana budi ya kutafuta suluhisho la yeye kutoka mtegoni. Most of men hapa wangekuwa wameshajipatia familia ya pili; mke wa ndoa bye bye tutaonana uzeeni tukistaafu + presha na visukari vimepamba moto.
Mtu ambaye anaamua mwenyewe kwa dhati yake kubadilika au kuacha kitu fulani kwa ajili ya kulinda utu au mahusiano yake; aisee ni wa kupongezwa sana. Na hata kesho na kesho na kutwa akiteleza tena; ni rahisi yeye mwenyewe kushtuka na kurudi kwenye mstari. Wanaume wengi wanakatishwa kuchepuka (hawaachi willingly) wake zao wakishajua; so atakatisha mahusiano na mchepuko kwa muda au atahamia kwa koloni lingine kuepusha kelele. Na wengine hawana cha kukatisha wala kujutia; unataka kukaa sawa, hutaki sepa; yeye hawezi kuacha nature.
**Fact that he was regretful and repentant on his own will.......