Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Nimemuamini; maana amesisitiza kabisa kuwa husiano lake analipenda, ila na hela anaipenda piaš šš¤£š¤£š¤£š¤£ Ukamuamini kabisaaaa, huyo jambazi mbobevu!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuamini; maana amesisitiza kabisa kuwa husiano lake analipenda, ila na hela anaipenda piaš šš¤£š¤£š¤£š¤£ Ukamuamini kabisaaaa, huyo jambazi mbobevu!!!!
Hakika mimi ni mhenga mwenzako mkuu . Na nakubaliana na wewe kabisaaaa. Mungu aendelee kuitetea na kuilinda ndoa yenuUko sawa kabisa mkuu kwa jinsi ulivyoandika. Nahisi wewe utakuwa mhenga mwenzangu na una familia. Nawakumbusha vijana wanaoingia kwenye ndoa wajitahidi wawezavyo kukwepa distance marriage. Yule Mama ni mtu wa imani lakini mahitaji ya mwili kumbe yalikuwa muhimu kwake. Tangu pale nikagundua kumbe baadhi ya wanawake wanapofika Kuanzia 36 hadi 46 mwili unachemka sana na wanahitaji huduma ya sex sana ili akili itulie na shughuli zingine ziende vizuri....
Sasa kwa nini mkiongozana na boyfriend wafupi mjifanye hamfeel secure?š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Aaaah hizo zilikuwa shida za mama zetu.
Umenikumbusha mbali yule boya alijua kutuchamba!!!
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Usinichafue tafadhali..š¤£š¤£š¤£š¤£ Ukamuamini kabisaaaa, huyo jambazi mbobevu!!!!
Hivi mbona sisi vijeba mnatusema sana? hatukupenda kua hivi ni mapenzi ya sir GodšSasa kwa nini mkiongozana na boyfriend wafupi mjifanye hamfeel secure?
Sijui alikuwa nani yule, ngoja ntaisaka comment yake siku moja
Kabisa HS....Hela isikae mbali..š¤£š¤£š¤£Nimemuamini; maana amesisitiza kabisa kuwa husiano lake analipenda, ila na hela anaipenda piaš š
Hata sisi tuliodondokea bafuni huwa mnatusimanga kweli;Hivi mbona sisi vijeba mnatusema sana? hatukupenda kua hivi ni mapenzi ya sir Godš
Roho wa Bwana alinishtua.Kabisa HS....Hela isikae mbali..š¤£š¤£š¤£
Halafu huu Uzi nani kakuita huyo jamani.š¤£
Bafuni tenašš.Hata sisi tuliodondokea bafuni huwa mnatusimanga kweli;
Ndio maana hampendi tuongozane utasikia we tangulia mimi nakuja.Hata sisi tuliodondokea bafuni huwa mnatusimanga kweli;
Jamani, dhambiiiiiiš šNdio maana hampendi tuongozane utasikia we tangulia mimi nakuja.
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£ Ila wewe! Kweli wa kutudanganya kabisaaaašš¤£š¤£š¤£Samaleko..
Amina HS....Roho wa Bwana alinishtua.
Aisee hilo neno lako "husiano" huwa linanifurahisha sana. Sielewi kwa nini
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£ Ila wewe! Kweli wa kutudanganya kabisaaaaš
Aaaah unaniangusha, hapo msisitizo ni pesa š¤£š¤£š¤£š¤£Nimemuamini; maana amesisitiza kabisa kuwa husiano lake analipenda, ila na hela anaipenda piaš š
Sasa tunawahurumia tu, halafu wanaleta ngebe š¤£š¤£Sasa kwa nini mkiongozana na boyfriend wafupi mjifanye hamfeel secure?
Sijui alikuwa nani yule, ngoja ntaisaka comment yake siku moja
Dada naomba hela š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Usinichafue tafadhali..
Muache gubu sasaš¤£Hivi mbona sisi vijeba mnatusema sana? hatukupenda kua hivi ni mapenzi ya sir Godš
Si unaona sasa š¤£š¤£Kabisa HS....Hela isikae mbali..š¤£š¤£š¤£
Husiano limepatikanaš¤£š¤£Roho wa Bwana alinishtua.
Aisee hilo neno lako "husiano" huwa linanifurahisha sana. Sielewi kwa nini