"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Yalichonitenda Mungu mwenyewe anajua, jamaa nilidumu nae miaka mitano sikuwahi kumsaliti ila alichonilipa najua mwenyewe kidogo nipelekwe milembe ila nikapelekwa kwa Mwamposa mpaka sasa huyo mjinga amenifanya kuwa single mother wa mtoto ambaye baba yake sikuwahi kumpenda ila nilienda kwake kama kupunguza machungu nikaambulia mtoto. hila yule mb*a popote alipo Mungu amlinde tu make nilimuona mungu mtu nikaambulia kuona picha za harusi mtandaoni.
Nimecheka Sana, umenikumbusha, wakati naenda kutoa mahari,kipenzi mwingine akanikalibisha kwake, akijua nimekuja mkoani kwake kumuona, kumbe mie na pita njia, kwenda kuoa, akanipa mambo, nikapiga usiku kucha, asubuh, naenda kuoa, aliposhituka, alilia balaa, uzuri, akapata, mchumba pastor, akaenda zake ulaya,
The bitter truth, she was more beautiful than the one I married,
 
Kutamka uwiii haikujagi hivi hivi!! Yaani unachanganyikiwa kabisa.
Imagine ile msg ya "imethibitishwa"!!!

Yaani hata homa ya nyani inapona🤣🤣🤣
Najua nyie wawili swala la kupagawishwa ni kwenye pesa tu, huko kwingine tunawaachia wadada wa kipare na kinyaturu...🤣🤣🤣nyie uwiiii inakuja kwa sababu ya pesa tu
 
Back
Top Bottom