Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hapo tu ndipo ninapokupendea dada yangu 😍😍😍Anapendwa mtu bhana...
But Love is good when money involved🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tu ndipo ninapokupendea dada yangu 😍😍😍Anapendwa mtu bhana...
But Love is good when money involved🤪
Mimi namnyima mtu, tena namuangalia machoni huku namwambia sikupi🤣🤣
Imagine nalingana na kile kijeba kilichoshiriki kubaka yule binti na sina hela😁😁😁Basi ndio unaanza kurefuka hivyo.
Ndio maana hurefuki😏😏😏Mimi namnyima mtu, tena namuangalia machoni huku namwambia sikupi🤣🤣
Nimelia hadi kamasi😭😭😭😭Imagine nalingana na kile kijeba kilichoshiriki kubaka yule binti na sina hela😁😁😁
Imeenda....😀🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi tuna upendo wa agape!
Wewe binafsi huna huo upendo, achana kutudanganya.🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi tuna upendo wa agape!
Nimecheka Sana, umenikumbusha, wakati naenda kutoa mahari,kipenzi mwingine akanikalibisha kwake, akijua nimekuja mkoani kwake kumuona, kumbe mie na pita njia, kwenda kuoa, akanipa mambo, nikapiga usiku kucha, asubuh, naenda kuoa, aliposhituka, alilia balaa, uzuri, akapata, mchumba pastor, akaenda zake ulaya,Yalichonitenda Mungu mwenyewe anajua, jamaa nilidumu nae miaka mitano sikuwahi kumsaliti ila alichonilipa najua mwenyewe kidogo nipelekwe milembe ila nikapelekwa kwa Mwamposa mpaka sasa huyo mjinga amenifanya kuwa single mother wa mtoto ambaye baba yake sikuwahi kumpenda ila nilienda kwake kama kupunguza machungu nikaambulia mtoto. hila yule mb*a popote alipo Mungu amlinde tu make nilimuona mungu mtu nikaambulia kuona picha za harusi mtandaoni.
Hujapatwa wewe....Mimi namnyima mtu, tena namuangalia machoni huku namwambia sikupi🤣🤣
Kutamka uwiii haikujagi hivi hivi!! Yaani unachanganyikiwa kabisa.Nani kakutuma utusemelee lakini?🤣🤣🤣
Tuna Upendo wa dhati sana...na hiyo inatufanya unampata Mr.Right hadi uuuuuuwi unatamka😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣sio lazima nirefuke kila mahali, halafu atoto acha uchokozi!!Ndio maana hurefuki😏😏😏
Eti jamani😅😅😅Kutamka uwiii haikujagi hivi hivi!! Yaani unachanganyikiwa kabisa.
Imagine ile msg ya "imethibitishwa"!!!
Yaani hata homa ya nyani inapona🤣🤣🤣
Upendo tukuka kabisa. Na tukipenda tunapenda kweli🤣🤣🤣Imeenda....😀
Sina cha kuongeza wala kupunguza
Hadi uzee huu sijapatwa, sipatwi tena🤣🤣Hujapatwa wewe....
Ukipatikana utajimalisaaaa
" Tukipenda Tunapenda kweli"Upendo tukuka kabisa. Na tukipenda tunapenda kweli🤣🤣🤣
Na ufupi wako na huna hata mia ila nakupenda tu. Na bado huoni!! Haki wanaume wafupi muuwawe, hamna shukrani🤣🤣🤣🤣Wewe binafsi huna huo upendo, achana kutudanganya.
Najua nyie wawili swala la kupagawishwa ni kwenye pesa tu, huko kwingine tunawaachia wadada wa kipare na kinyaturu...🤣🤣🤣nyie uwiiii inakuja kwa sababu ya pesa tuKutamka uwiii haikujagi hivi hivi!! Yaani unachanganyikiwa kabisa.
Imagine ile msg ya "imethibitishwa"!!!
Yaani hata homa ya nyani inapona🤣🤣🤣