"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Ilidumu mpaka pale aliponiambia nimtumie suti kwa ajili ya kaka yake kuolea na mimi nikatuma kuja kugundua ilikuwa ni suti ya bwana harusi anaemuoa yeye, kuvaa siku ya ndoa yao.
Inauma but inabidi uzoee
 
Kwa mimi LDR imenisaidia maana huyu Bibie kila nikionana nae (kila baada ya miez 3/4) huwa tunagombana. Hasa tukitoka out/Bata.

Nikaja kugundua huu umbali wetu umesaidia kufika hapa tulipo, tungekuw watu wa kukaa pamj basi siku nyingi kila mtu angekuwa na 50 zake.
 
Wewe tena hulali bila hiyo kitu
Naanzaje kulala bila kulisuuza rungu, watu wapo na wapenzi wao nyumba moja na bado tunajionea wanavyopigwa miti sembuse wa mbali

Kuna manzi yuko Dom tupo kwenye uhusiano uchwara, baada ya kulialia sana nikampe mjegeje wekeend liyopita nikaenda kusuuza rungu ainjoi

Si akapitiwa na usingizi nikafungua simu yake oyaa yule binti anatombesha nachoshukuru huwa sina desturi ya kuhudumia
 
Naanzaje kulala bila kulisuuza rungu, watu wapo na wapenzi wao nyumba moja na bado tunajionea wanavyopigwa miti sembuse wa mbali

Kuna manzi yuko Dom tupo kwenye uhusiano uchwara, baada ya kulialia sana nikampe mjegeje wekeend liyopita nikaenda kusuuza rungu ainjoi

Si akapitiwa na usingizi nikafungua simu yake oyaa yule binti anatombesha nachoshukuru huwa sina desturi ya kuhudumia
Ndo yule ulitupandishia genye humu km wiki zilizopita?

Na kujiliza kote kule kumbe masela wanapiga??🤣🤣🤣🤣mmepatana lakini mbwa kala mbwa mpk upate gono sugu utatuliza hilo dude
 
Back
Top Bottom