SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Nilikuambia nitafutie danga anayeweza kutoa ml 70 au 300, 500 , 600Ukipata mwanamke anayeweza kunihonga hvy naomba unionganishie mana mwnyw cjawah kuzishika hizo 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuambia nitafutie danga anayeweza kutoa ml 70 au 300, 500 , 600Ukipata mwanamke anayeweza kunihonga hvy naomba unionganishie mana mwnyw cjawah kuzishika hizo 😎
Ww ulisema unataka danga tuu bila hayo mashartiNilikuambia nitafutie danga anayeweza kutoa ml 70 au 300, 500 , 600
Kwako kuna zawadi ya maana tofauti na hela? 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zawadi gani hiyo?
Inauma but inabidi uzoeeIlidumu mpaka pale aliponiambia nimtumie suti kwa ajili ya kaka yake kuolea na mimi nikatuma kuja kugundua ilikuwa ni suti ya bwana harusi anaemuoa yeye, kuvaa siku ya ndoa yao.
🤣🤣🤣🤣🤣Kwako kuna zawadi ya maana tofauti na hela? 😂🤣
Mambo gani tena hizo wadau mbona kama za mbanga za kusisimua aisee!Kwa huyo Mzee wa kupambania aah huyo hawezi hizi mambo zetu
Duuuh! Hatari sana hii kitu long distance relationship always does not work. Ni utapeli tu kama utapeli mwingineWewe tena sio wanne tu ni timu ya watu 11 kocha wa 12
Tena kinaliwa kimasihara tu 🤣
Wewe tena hulali bila hiyo kituDuuuh! Hatari sana hii kitu long distance relationship always does not work. Ni utapeli tu kama utapeli mwingine
Naanzaje kulala bila kulisuuza rungu, watu wapo na wapenzi wao nyumba moja na bado tunajionea wanavyopigwa miti sembuse wa mbaliWewe tena hulali bila hiyo kitu
Ndo yule ulitupandishia genye humu km wiki zilizopita?Naanzaje kulala bila kulisuuza rungu, watu wapo na wapenzi wao nyumba moja na bado tunajionea wanavyopigwa miti sembuse wa mbali
Kuna manzi yuko Dom tupo kwenye uhusiano uchwara, baada ya kulialia sana nikampe mjegeje wekeend liyopita nikaenda kusuuza rungu ainjoi
Si akapitiwa na usingizi nikafungua simu yake oyaa yule binti anatombesha nachoshukuru huwa sina desturi ya kuhudumia
Nimeifunga GPS nitajua😁Hauwezi kumfumania, huwa tupo smart sana🤣🤣🤣
Kabisa, nalijua hili vizuri.Hauwezi kumfumania, huwa tupo smart sana🤣🤣🤣
Nakuoneaje tena hali ya kuwa umevaa nguo, acha kulalamika, unajua mtu anaeonewa wewe!?🤣🤣🤣🤣🤣
Naonewa sana mimi!
🤣🤣🤣🤣🤣Nimeifunga GPS nitajua😁