"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Ndo yule ulitupandishia genye humu km wiki zilizopita?

Na kujiliza kote kule kumbe masela wanapiga??🤣🤣🤣🤣mmepatana lakini mbwa kala mbwa mpk upate gono sugu utatuliza hilo dude
Hahaa ndiyo huyohuyo. Si ndo hapo anajifanya eti hajafanywa siku nyingi kumbe mama huruma drama tu

Inasikitisha kuna mwamba atamuoa na kumfanya mke

Ila nashukuru sikuuza mechi 🤣
 
Back
Top Bottom