Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Uache uzinzi mkuu😂Sijawahi kuwa na mpenzi mbali mimi...
Hata antiel anavoendaga safari za mkoani huwa navuta kadada kangu ka TIA hapo.... 😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uache uzinzi mkuu😂Sijawahi kuwa na mpenzi mbali mimi...
Hata antiel anavoendaga safari za mkoani huwa navuta kadada kangu ka TIA hapo.... 😂😂😂😂
Dah comment zingine zinauma sana😁🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia wewe usaidiwe majukumu.
Muite aje hapa nionePenzi lipo mkuu huoni nabembelezwa nilaleee 😂😂
Mlionana baada ya miaka mingapi mkuu2017-2023 ikafa kifo kibaya yena cha dharau.
Tulikua tunaonana kila mwezi ila mambo yalikuja kuchange kuanzia 2019 dharau za wazi ilipofika 2020 hali ikawa mbaya nikaanza kujiandaa kisaikoloji hapo hatukuonana tena mpaka 2022 mwanzoni baada ya hapo mpaka leo.Mlionana baada ya miaka mingapi mkuu
Dah noma sana.Tulikua tunaonana kila mwezi ila mambo yalikuja kuchange kuanzia 2019 dharau za wazi ilipofika 2020 hali ikawa mbaya nikaanza kujiandaa kisaikoloji hapo hatukuonana tena mpaka 2022 mwanzoni baada ya hapo mpaka leo.
Mnaweza kumaliza mda gani hamjaonana mkuu?miaka 5 kwa sasa tuko pamoja muhimu uvumilivu vishawishi ni vingi
Anakuja apa sasa ivi mida ake saa tanoooNakupa lisaa limoja asipofika kesho mpe talaka 😂
Dah! Hata wewe? Nikiacha kukupenda usinilaumu...🤣🤣🤣🤣 Na huyo ndio mwenyekiti wao🙆
M
my sweetheat my angel sweery beautiful girl than all in this platform come here to prove wrong Rayns[/US
[/QUOTE]
Babe I’m here😍😘
Mapenzi yako ya mbali yalidumu kwa muda gani? Au hutaki kuyasikia tupe uzoefu babuKwani kuna nini kinaendelea hapa kipenzi?
Asante jamani mme wang 🥰Angalia nimekutumia mke wangu 💕
Babuuuuuuuu🤣🤣🤣Dah! Hata wewe? Nikiacha kukupenda usinilaumu...
Hahaa ndiyo huyohuyo. Si ndo hapo anajifanya eti hajafanywa siku nyingi kumbe mama huruma drama tuNdo yule ulitupandishia genye humu km wiki zilizopita?
Na kujiliza kote kule kumbe masela wanapiga??🤣🤣🤣🤣mmepatana lakini mbwa kala mbwa mpk upate gono sugu utatuliza hilo dude
We 3 m mmmoja nkaomba poo nkaacha gari kodi zawadi zite za arusi sikuwahi kumwona tenaMiezi mi3, hapo nishaona kila aina ya rangi.
Ikabidi ninyoshe mikono kua it was not fit for me, ila popote ulipa Miss T. Thanks for ur love.