Look busy, Magufuli is coming? Surely Tanzanian professionals are beyond this

MK254
mtoa hoja.

njoo ufunge mjadala. also give credit to all members who participated fully in discussing the issue. I think you will value their contribution in this meeting.
Ukiona mtu anakimbilia kutaka mjadala ufungwe ujue kashindwa hoja.

JF huwa hatufungi mjadala.

Unafikiri ni warsha elekezi ya serikali hii?
 

lkn alikili kuwa alifanya kosa la kiandishi. na ambalo is not uncommon one to do that. lkn wewe ukaifanya kuwa ni core agenda. na ukairudia kuiongelea kwa post zaidi ya moja wakati aliyekosa alikubali. hilo linaashiria nini. linaonesha kuwa hoja muhimu zimekuishia. nalo hilo is not uncommon kwani binadamu tuna uwezo wenye kikomo.
thanks.
 
Ukiona mtu anakimbilia kutaka mjadala ufungwe ujue kashindwa hoja.

JF huwa hatufungi mjadala.

Unafikiri ni warsha elekezi ya serikali hii?

serikali hii ni smart bana. umewahi sikia semina elekezi yoyote ile kwa wateule??
 
serikali hii ni smart bana. umewahi sikia semina elekezi yoyote ile kwa wateule??
Ingekuwa smart Magufuli asingesema kuna mawaziri wake wapumbavu na kutueleza kwamba yeye aliyewateua wapumbavu kuwa mawaziri ni mpumbavu zaidi.
 
Wewe ndiye msemaji wake?

Alikili au alikiri?

Wapi?

Wewe nawe hata Kiswahili hujui?
 
One thing I'll agree with you is the action of politician can change “economically wave current”. Most central bank governors knows this world over, similar thing is happening with Brexit, UK Central bank governor is struggle to control the negative effect of Brexit in British economy. The whole Brexit idea was brought by lone politician who himself is not in office anymore and he has already collected his golden handshake.

Coming back the issue of investors being sceptical, you can't spring cleaning your house without moving furniture around. Any offset on the economy you mentioned [in my view] are temporally. As I've mentioned above, we're undergoing a massive auditing like it has never been done before in Tanzania history, on top of that we're in middle of rebasing our economy. In the end there will be winners and losers but all this for the good cause.

No matter who took office November 2015 Lowassa or Magufuli, none of them could avoid the deepen of investors. Hata kama tungekuwa wapole to the investors, we wouldn't avoid the cut. The whole region is in same dog house when it comes to investors, when the last time you heard a mega FDI coming into the region apart from loan investment? We might debate about micro economics, but without proper data that economy wouldn't benefit us that much. Even the banks themselves they would running a risk of lending to people with worse credit history. This what has happen today when gov just took a sample of veti faki, you saw the rise of unserviced debt. As painful as it might be, spring cleaning our economy was inevitable.

On the other hand, many people are finding difficult to grasped with “leadership 2.0”. The politics of Distraction, Diversion, No Apologies, No Holds Barred. I find people are glued to what their leaders are saying, but not to what their leaders are doing. We've seen this with Magufuli, we've seen this with Trump. While most people are clinging on every word the president had said, the president himself is busy pushing some “hard to swallow” reformers which they may change things for decades to come. From Pension to land, tax, communicatio, data management, banking, education, transport and so on. While we are all sleeping, things are happening and they're happening fast.
 
The issue is, a lot if naturally optumistic people will excuse gross malfeasance, while a lot of justified skeptics will read tea leaves shaking from Magufulis accent.

I look at Magufuli actions and his contradictory nature and see a puppet show going on.

Take the Dodoma move for example.

For an administration that is supposedly rooted in economic discipline, the entire move is a cruel joke with a bad punchline in an overpriced show.
 

hii ungeifungulia Uzi wake ili tujadili hayo mawazo yake. ambayo siyo lazima nikubaliane naye au pia mawazo hayo siyo lazima yawe authority, maana hatujui kama kafanya utafiti wa kutosha.

lkn pamoja na hayo. zito kachanganya mambo sehemu fulani. anasema kodi ya ongezeko la mtaji kwenye mabano (capital gain tax - cgt). kimsingi hakuna kodi inayoitwa kodi ya ongezeko la mtaji ktk vitabu vya sheria za kodi za Tanzania. na hiyo anayoifananisha nayo cgt haimaanishi anachosema. cgt ni kodi inayotozwa kwenye faida inayopatika baada ya kuuza mali (disposition of assets - whether tangible like property or intangible like shares and bonds).

lkn Mimi bado hilo halinifanyi nione zito hamna alichofanya. ame compose discourse nzuri tu.
sasa jamaa my overlook hiyo term no nonsense ukaiweka kuwa hooja.
 
MK254
mtoa hoja.

njoo ufunge mjadala. also give credit to all members who participated fully in discussing the issue. I think you will value their contribution in this meeting.
Ninadhani kuna umuhimu wa kufungua mjadala wa lugha, ninahisi huko ndiko baadhi yetu tuna competitive advantage huko, hizi mada ngumu ngumu zinazohitaji elimu kubwa za uchumi, sisi wengine mnatufanya tuonekane kichekesho, tutatafuta sababu yeyote ile ili tuweze derail mada kuu, ili tufiche aibu[emoji23] [emoji23]
 
From Pension to land, tax, communicatio, data management, banking, education, transport and so on. While we are all sleeping, things are happening and they're happening fast.
What surprises me is how delusional some people are, with straight face saying that nothing good is happening in this administration.
 
kama kuna ka ukweli hivi
 

Umenichekesha na neno derail [emoji23] [emoji23][emoji23]
 
What surprises me is how delusional some people are, with straight face saying that nothing good is happening in this administration.
Who said nothing good is happening in this administration?

What is nothing? What is good?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…