realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,982
Umechemsha mamaa,angalia vizuri sentensi yako,,acha bla blaAnd remember the one is adjective na nyingine noun so go and read wapi yanatumika na katika mazingira gani. Halafu utunge na sentensi kama mbili kwa kila neno, then ufananishe na hiyo ya kwangu.
Wewe ndio una bla bla unapinga halafu huna supporting evidence! Nimekwambia tunga sentensi ya nilichomaanisha kwa kutumia maneno yote mawili. Tunga hata kimoyomoyoUmechemsha mamaa,angalia vizuri sentensi yako,,acha bla bla
Mimi ninashaka na elimu yako ya masters kwa hesabu zako yani umemaliza degree str8 kwenye masters hy degree yako umeifanyia kazi gani ndio elimu ya Tanganyika ilivyo? mtu ana masters with zero exprience kwenye field aliyosomea kigezo tu anataka akianza kazi awe boss atakae kuajiri ww na masters yako ni mpuuzi kabisa then eti unataka kusoma PhD duh nyinyi ndo wale wenye PhD zenye utata ambazo zinafanya watu wanapotea wakizihojiNdio maana nikakwambia umesoma MEMKWA, kwa elimu ya Tanzania mtoto kawaida anaanza darasa la kwanza na miaka 7, aliyeanza na miaka 7 fist degree anamaliza 23, Masters two years 25, Grow up!
Weka neno "mtu" before ---anasoma(Anasoma ili aajiriwe) kumbe si ww unamsemea mtu mwingine sasa nataka kujua ni ww ndo unatafuta mume kwenye mitandao au kuna mtu unamsemea si ww???
Hahahahahaaahah if you love drama you, will love this ..Weka neno "mtu" before ---anasoma
Unajua maana/sababu ya Phd zenye Utata?Mimi ninashaka na elimu yako ya masters kwa hesabu zako yani umemaliza degree str8 kwenye masters hy degree yako umeifanyia kazi gani ndizo elimu ya Tanganyika ilivyo mtu ana masters with zero exprience kwenye field aliyosomea kigezo tu anataka akianza kazi awe boss atakae kuajiri ww na masters yako ni mpuuzi kabisa then eti unataka kusoma PhD duh nyinyi ndo wale wenye PhD zenye utata ambazo zinafanya watu wanapotea wakizihoji
Mdada
26 yrs
Masters holder
Tall 179 cm
73 kg currently
Mweupe wa kawaida
Mwajiriwa
Christian
Beautiful with brain
Mwanaume awe
From degree kuendelea
Mrefu kama mimi
Awe mfanyakazi/mwajiriwa/mfanyabiashara
Christian
Age from 30-45
Whether ana mtoto au la ila asiwe na uhusiano na baby moma wake
Kama tutaamua kuwa wapenzi aniruhusu niendelee na Phd baada ya mudaa fulani as i have planned, kama ni Sponsor i promise sitakucheat[emoji7] .
Nb: Kama huna hivyo vigezo plz usije pm, nenda kwa wenye vigezo kama unavyotaka wewe. Kupanga ni kuchagua!!!
Nawasilisha[emoji4]
Haha [emoji23] mlango tenauko na bikra na ume date how many boyz na sura yako je tabia malengo yako na vipi ukubwa mlango wako chini
Ignored!uko na bikra na ume date how many boyz na sura yako je tabia malengo yako na vipi ukubwa mlango wako chini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PoleDah, huyu mrembo amenipita jaman, sifa zote ninazo isipokuwa pale tu kwenye elimu-mimi niliacha shule nikiwa la 5 baada ya kumtongoza na kumla mtoto wa mkuu wa shule tena kitandani kwa mwalimu.
Acha kubishana na wajinga focus your goalWewe ndio una bla bla unapinga halafu huna supporting evidence! Nimekwambia tunga sentensi ya nilichomaanisha kwa kutumia maneno yote mawili. Tunga hata kimoyomoyo