Looking for a handsome man aged 32 - 40

 


toa namba ya simu whatsapp watu watume picha kwanza uone walivyojazia
 
Sasa kwa wengine ambao tuna miili ya asili ndo umetutenga[emoji27] [emoji27]
 
et body zuri la mazoezi. heheh hivi unatafuta mme kweli wewe? graph yako inaanza kuelekea chini yan 25 age.. halaf bado unaakili za kitoto yani. lakin haya .. wenye body nzuri ya mazoezi mkatuwakilishe vyema huko kama nayeye ni churaless ni kupita naye hivi tuu
 
Nawewe tupia kapicha Kako tuone kama unaqualify kupanga date na wewe..
 
Sina sifa hizo zote, ni mfupi kidogo, mnene, mweusi. Ila nina mkwanja wa kutosha kukupeleka holiday Dubai kila mwezi ukitaka. Nipo serious, nicheck pm.
 
Nafikiri nililetwa huku JF kwa ajili yako.
 
Tafadhali tutake radhi..
 
Haya ni mapenzi au matamanio? Kwa hiyo na nyie wanaume mta apply!
 
Njoo PM faster vigezo vyote vimetia lkn uwe na chura kubwa na uwe na nywele ndefu za asili zinazo fika mabegani pia uwe maji ya kunde km vigezo hvyo huna kila la kheri mi sio wako.
Kwahiyo utapata asiye wa humu..! You might be moral decay.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…