Looking for a handsome man aged 32 - 40

Looking for a handsome man aged 32 - 40

Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.[/QUOT

Joined January 2017 umeshapiga kibut Member wa JF kweli kiboko
 
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.


toa namba ya simu whatsapp watu watume picha kwanza uone walivyojazia
 
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.
Sasa kwa wengine ambao tuna miili ya asili ndo umetutenga[emoji27] [emoji27]
 
et body zuri la mazoezi. heheh hivi unatafuta mme kweli wewe? graph yako inaanza kuelekea chini yan 25 age.. halaf bado unaakili za kitoto yani. lakin haya .. wenye body nzuri ya mazoezi mkatuwakilishe vyema huko kama nayeye ni churaless ni kupita naye hivi tuu
 
Nawewe tupia kapicha Kako tuone kama unaqualify kupanga date na wewe..
 
Sina sifa hizo zote, ni mfupi kidogo, mnene, mweusi. Ila nina mkwanja wa kutosha kukupeleka holiday Dubai kila mwezi ukitaka. Nipo serious, nicheck pm.
 
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.
Nafikiri nililetwa huku JF kwa ajili yako.
 
Aah! Memez, unataka wa red carpet nn? Maana vigezo vyako siyo vya husband material. Ni vya mtu wa kula bata naye. Waoaji ni Wale wenye miiili ya Kilkolomije, miguu pande, kichwa bapa na mgogo pinda. Hawa wakikuoa wanaganda kama ruba. Utamdekisha nyumba nzima na atakufulia. Utaishi kama malkia.
Tafadhali tutake radhi..
 
Haya ni mapenzi au matamanio? Kwa hiyo na nyie wanaume mta apply!
 
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.
Njoo PM faster vigezo vyote vimetia lkn uwe na chura kubwa na uwe na nywele ndefu za asili zinazo fika mabegani pia uwe maji ya kunde km vigezo hvyo huna kila la kheri mi sio wako.
Kwahiyo utapata asiye wa humu..! You might be moral decay.
 
Back
Top Bottom