Looking for a handsome man aged 32 - 40

Looking for a handsome man aged 32 - 40

Mie Niko 31. Ila mbona nakuona 25 uko mdogo kwangu for wife napenda mtu wa around 28 -30 hivi hata tukipiga story za Lokasa ya Mbongo wrote tunajibamba.
 
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.

Why don't u forward ur application 2the porno advertisement is a gd place 4ur requirements
Nakutakia mafanikio
 
Watu wengine bhana vigezo vingi wanataka afu vizur cjabu yy mwenyewe ana mtumbo kama pakacha afu unataka handsome man
 
Watu wengine bhana vigezo vingi wanataka afu vizur cjabu yy mwenyewe ana mtumbo kama pakacha afu unataka handsome man
ungeniona ungeniomba radhi kwa kuongea hivi
 
Duuuh bado hujawa serious! Muda utafika utaona yeyote ili mradi awe m'ume tu
 
Ukuje pm mchumba, mi pia niliwahi chati na mmoja humu tulipokutana nikampotezea coz body yake ni tinginya mfupi mweusi sasa kama unajiamini wee mrembo ukuje mimi ni super handsome super tall and black. Vipi wee mweupe??
yes mm mweupe,utanipenda tu
 
et body zuri la mazoezi. heheh hivi unatafuta mme kweli wewe? graph yako inaanza kuelekea chini yan 25 age.. halaf bado unaakili za kitoto yani. lakin haya .. wenye body nzuri ya mazoezi mkatuwakilishe vyema huko kama nayeye ni churaless ni kupita naye hivi tuu
mie sio churaless japo.sina chura saaana
 
Back
Top Bottom