Looking for God fearing husband who is ready to settle

Looking for God fearing husband who is ready to settle

Hawa wanawake wanao andika andika vingereza ngereza vingi vingi kwenye kutafuta mume.......

Hope ni wasumbufu waki ingia ndoani maana ntaitaji kufuliwa,kupikiwa,kunyooshewa nguo, kubrashiwa viatu, kupokewa nikirud nyumbani
Sasa yeye atakuja na mara 50/50 mara tugawane majukumu mara haki sawa....

YOTE NILIYO YAANDIKA IS NOT SERIOUSLY
Nilikua NATANIA TU [emoji4][emoji4][emoji851][emoji851][emoji851][emoji4][emoji38][emoji851][emoji851][emoji4]

Sasa brother this life tafuta wa kuendana naye,mwanamke wa kutafuta naye au wa kumtafutia,choice is yours,mbona kama vile watu mna roho za kichawi jamaniii,lazima mje kuweka negativity hapa,i think kama upo interested unakuja pm,not interested una skip
 
Mimi nina sifa zote, mpaka masters ila sina hela, sina ajira wala sina biashara. Ni ungaunga mwana tu, kama hapa nipo nakomaa nifukuzie buku mbili la msosi mchana.
Hapo vipi?

Wanaume wa jf hawatoki mbinguni, ndo hao hao wa mtaani kwako, kazini kwako, na ndo hao hao unaokutananao small planet, kitambaa cheupe, warehouse, element, wavuvi.
Advantage uliyonayo ni kwamba wa huku hawakujui.
 
Wife material umejua kutema yai[emoji91][emoji91]

Nimeikosa mke kisa darasa la 7 B,
Alafu sina nguvu ya kujibu punchlines za yai siku tukigombana
 
Sasa brother this life tafuta wa kuendana naye,mwanamke wa kutafuta naye au wa kumtafutia,choice is yours,mbona kama vile watu mna roho za kichawi jamaniii,lazima mje kuweka negativity hapa,i think kama upo interested unakuja pm,not interested una skip
Nashangaa umepanic na makasiriko kibao 😀😀😃😊🤓🤓

Mm natania wewe umetake seriously 😳😳😳

Kila lakheli Mungu akupe hitaji la moyo wako....
 
Nashangaa umepanic na makasiriko kibao [emoji3][emoji3][emoji2][emoji4][emoji851][emoji851]

Mm natania wewe umetake seriously [emoji15][emoji15][emoji15]

Kila lakheli Mungu akupe hitaji la moyo wako....

Sasa unataniaje kwenye mambo ya msingi kama haya,hivi unafikiri kuweka bandiko jf ni kitu chepesi.Muache masihara kwenye mambo ya watu.mimi nipo serious unaleta jokes,unanifanya nipanick mpaka watoto wa mama wakwe mwishowe wasije pm[emoji23][emoji23]
 
My wife i have been waiting for sooo long to meet you..
Can't wait to see you.
 
Mimi nina sifa zote, mpaka masters ila sina hela, sina ajira wala sina biashara. Ni ungaunga mwana tu, kama hapa nipo nakomaa nifukuzie buku mbili la msosi mchana.
Hapo vipi?

Wanaume wa jf hawatoki mbinguni, ndo hao hao wa mtaani kwako, kazini kwako, na ndo hao hao unaokutananao small planet, kitambaa cheupe, warehouse, element, wavuvi.
Advantage uliyonayo ni kwamba wa huku hawakujui.

Usipokuwa financial stable at least basi uwe na positivite mindset.hoja zako zote nimezijibu kwenye bandiko langu,karudi usome tena
 
Mwaka huu kengele ina gonga 29 mwezi wa 7 vipi nije PM , Ila sina masters nina degree ya Uhasibu tuu kutoka chuo kikuu M.O.C.U , job ninayo


vipi nije PM ?
 
Hayo ni mawazo yako brother tunatofautiana,as wewe unasema hivyo,pia kuna vijana wa mama wakwe pm,wewe ambaye huu utaratibu unakukwaza unafanya nini kuingia kwenye hili jukwaa si uende kwenye majukwaa ya siasa huko.stop be hypocrate
Oh ok, you mean i am hypocrite? That's your perception, i am for real and truth must be told, get yourselftogether and face it.
 
Sasa unataniaje kwenye mambo ya msingi kama haya,hivi unafikiri kuweka bandiko jf ni kitu chepesi.Muache masihara kwenye mambo ya watu.mimi nipo serious unaleta jokes,unanifanya nipanick mpaka watoto wa mama wakwe mwishowe wasije pm[emoji23][emoji23]
🤓🤓🤓🤣🤣🤣😂😂😂

Sirudii tenaaaaa kutania kwenye serious issues...
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Haya semeni jingine,huyo sasa no child wala nini,mshindwe wenyewe...
 
Back
Top Bottom