princess jack
Member
- May 12, 2023
- 53
- 65
- Thread starter
- #41
Hawa wanawake wanao andika andika vingereza ngereza vingi vingi kwenye kutafuta mume.......
Hope ni wasumbufu waki ingia ndoani maana ntaitaji kufuliwa,kupikiwa,kunyooshewa nguo, kubrashiwa viatu, kupokewa nikirud nyumbani
Sasa yeye atakuja na mara 50/50 mara tugawane majukumu mara haki sawa....
YOTE NILIYO YAANDIKA IS NOT SERIOUSLY
Nilikua NATANIA TU [emoji4][emoji4][emoji851][emoji851][emoji851][emoji4][emoji38][emoji851][emoji851][emoji4]
Sasa brother this life tafuta wa kuendana naye,mwanamke wa kutafuta naye au wa kumtafutia,choice is yours,mbona kama vile watu mna roho za kichawi jamaniii,lazima mje kuweka negativity hapa,i think kama upo interested unakuja pm,not interested una skip