Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana unaongea sana ndo maana hujapata mchumba wa kukuoa huko mtaani kwenu..unakofanya kazi na ulikosoma..punguza mdomo utaolewa..wanaume hawapendi wanawake waongeaji sana..28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children
Nipo Arusha kikazi(uliopo around hapa itapendeza) wote mnaokuja pm mnatokea Dar mkidhani nipo Dar
Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35
Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education
Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.
Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Idadi kubwa inayokuja pm ni single fathers,jamanii si mrudii mkaoe hao wadada mliowazalisha[emoji848]
Hivi ni kusema at 30-35 all men mmeshakichafua mtaani???no sterile man kabisa.
At 30 mtu una watoto wawili na haujaoa that red flag.kila wanawake walikuwa wanashida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alafu huku jamii forum mpo busy kuharass single mothers.
A guy with no kid itapendeza.single father uje na recommendation later kutoka kwa baby mama wako,mtoto asizidi mmoja
[emoji1787]Mianzini mtagongwa na magari. Nendeni hata Phillips [emoji1787]
Hii changamoto kubwa sana nowadays na jamaa zangu wawili wameingizwa kingi na ndoa zimeshafungwaWacha uwongo princess jack , hauna mtoto kweli uliyemficha kijijini kwenu au kwa wazazi wako?
Ndiyo zao hawaHii changamoto kubwa sana nowadays na jamaa zangu wawili wameingizwa kingi na ndoa zimeshafungwa
Kuna mdada nilimpenda sana akawa ananibania na miaka ikapita hatujaonana!Hii changamoto kubwa sana nowadays na jamaa zangu wawili wameingizwa kingi na ndoa zimeshafungwa
Hii changamoto kubwa sana nowadays na jamaa zangu wawili wameingizwa kingi na ndoa zimeshafungwa
Mwamba kashinda zabuni
HupendwiKuna mdada nilimpenda sana akawa ananibania na miaka ikapita hatujaonana!
Gafla tu akaanza kunitafuta na akawa ananiambia kuwa labda mimi nimkweli.
Baada ya muda akasafiri kunifuata mkoa nilipo na akaniambia hata nisipomuoa lakini antamani apate mtoto na mimi. Na kwamba aliachana na mtu wake baada ya kumlazimisha kutoa mimba baadae nikaja gundua ana mtoto huko kwao!
Alivojua nimegundua hata nikimpigia simu hapokei tena.
Doh!!!....kuna ubovu wowote hapo?naomba uurekebishe vilee unataka kuwa👣Yap,acheni comment zenu hizi mbovumbovu tusiharibiane[emoji23][emoji23]
Ushamdanganya mtoto wa mama mkwe sio?So u guys mnataka tena niachike[emoji23][emoji23]mbona mna roho mbaya sana
At the end kumbe wewe ni yanga mwenzangu😂💛💚Mkuu sawa ila ngoja nkufundishe technique ya kudeal na vitu kama hivi, wewe unatakiwa uangalie strengths tu, zile weakness achana nazo alafu hizo strengths ndio utafute namna ya kuzifanya zi sprouts ili kije kiwe kitu kizuri, na hii ni especially kama unamtaka aje awe mke wako, na jambo jingine la msingi kabisa sio vibaya kumfix mtu anapokosea ila huwa ni vizuri zaid kuangalia positive side ya jambo lolote na ukalisema vizuri ili lijenge zaid hiyo itakujenga mentally kuona opportunity nyingi kwenye maisha ambazo zitakupa alot of positive results.. Samahan kwa kuchanganya na kingereza nikisema kwa kiswahili maelezo yatakuwa mengi na nimechoka kutype Yanga tumepiga mtu vibaya mno mkuu...
Ahahaha umekuja hadi huku we kamanda daaah anyways Yanga jesh la MunguuuAt the end kumbe wewe ni yanga mwenzangu😂💛💚
Nimecheka kinoma mpaka watu wananiona chizi, umekuja mpaka huku ahahaha yule jamaa inabid awe strong hakuna namna watu wana maneno sana hapa duniani mkuu, 😂😂😂😂😂😂😂At the end kumbe wewe ni yanga mwenzangu😂💛💚