Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tuliza ufagio kijana maana wewe ni ufagio wa chuma hahaWee unawezakuwa na sura pesono lakini tako lipo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliza ufagio kijana maana wewe ni ufagio wa chuma hahaWee unawezakuwa na sura pesono lakini tako lipo🤣🤣🤣
Sura pasono, tako flat screen. Ila fresh tu acha nibaki na mbususu yangu hadi irudi kuwa mpyaaaWee unawezakuwa na sura pesono lakini tako lipo🤣🤣🤣
Jf ina sifa siku hizi😂financial services ...typing🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Una utani wa ngumiYeye mwenyewe anajijua matendo yake😂😂 imagine hata hajanuna kuambiwa hivyo😂
Mkuu tafasali kaa mbali basi na hiyo kiumbe?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Una utani wa ngumi
Umenichekesha 😂Shida lugha tu, si unajua sisi wenye phd za CHEMISTRY tunashida ya hiyo lugha.
😁😁😁😁😁😁Huyo ni wangu Kaka kuwa na huruma basi ww kijana
Ukipata cpa utapata hela za tozo utapata sura cutena tako utaenda fanya plastic surgery. Utapata muongozo toka kwa masai dadaSura pasono, tako flat screen. Ila fresh tu acha nibaki na mbususu yangu hadi irudi kuwa mpyaaa
Unapenda kujiweka low profile ila naamini Mungu atakusaidia utapata mwanaume anayekufaa sijui kwanini Wanaume awakuoni may be inawezakana wakati wako bado.Natamani nikupe brother wangu yeye ana miaka 35 mpole, smart, msomi , ana hofu ya Mungu alafu hana mambo mengi Cha ajabu kapata mwanamke wa ovyo anapelekeshwa ile mbaya mpaka namuonea huruma na Wazee wamemkataa huyo binti natamani hii nafasi ingekuwa yako financial servicesSura pasono, tako flat screen. Ila fresh tu acha nibaki na mbususu yangu hadi irudi kuwa mpyaaa
Tuna shida sana na hizi, yu noo,yu noo 😂Umenichekesha 😂
Nakupenda tu, hivyo ulivyo nakupenda tu, sura yako pasono nakupenda tu, hivyo ulivyo nkupenda tu hny hny..Sura pasono, tako flat screen. Ila fresh tu acha nibaki na mbususu yangu hadi irudi kuwa mpyaaa
😂😂 ukiniona upasono wangu utanikimbia weweNakupenda tu, hivyo ulivyo nakupenda tu, sura yako pasono nakupenda tu, hivyo ulivyo nkupenda tu hny hny..
Leta mbususu hiyo, watu pasono sisi, tuzae na vitoto vyetu pasono
HakikaIla wanaume tungekaa kikao cha faragha hafu ukubaliane tumuachie mmoja. Hivi tutakosa wote.
jamani si kama napenda kujiweka low profile ndiyo uhalisia huo mkuu, naamini wakati wa Mungu ni wakati sahihi, pole kwa huyo brother wako ila huenda hilo ndiyo chaguo lake Mungu alompangia.Unapenda kujiweka low profile ila naamini Mungu atakusaidia utapata mwanaume anayekufaa sijui kwanini Wanaume awakuoni may be inawezakana wakati wako bado.Natamani nikupe brother wangu yeye ana miaka 35 mpole, smart, msomi , ana hofu ya Mungu alafu hana mambo mengi Cha ajabu kapata mwanamke wa ovyo anapelekeshwa ile mbaya mpaka namuonea huruma na Wazee wamemkataa huyo binti natamani hii nafasi ingekuwa yako financial services
Sitokuja kufanya hayo yote, nimeridhika na huu uumbaji wa Mungu, na sura pasono yangu nadunda tuUkipata cpa utapata hela za tozo utapata sura cutena tako utaenda fanya plastic surgery. Utapata muongozo toka kwa masai dada