Looking for lifetime partner

Looking for lifetime partner

Ila wanaume tungekaa kikao cha faragha hafu ukubaliane tumuachie mmoja. Hivi tutakosa wote.
 
Sura pasono, tako flat screen. Ila fresh tu acha nibaki na mbususu yangu hadi irudi kuwa mpyaaa
Unapenda kujiweka low profile ila naamini Mungu atakusaidia utapata mwanaume anayekufaa sijui kwanini Wanaume awakuoni may be inawezakana wakati wako bado.Natamani nikupe brother wangu yeye ana miaka 35 mpole, smart, msomi , ana hofu ya Mungu alafu hana mambo mengi Cha ajabu kapata mwanamke wa ovyo anapelekeshwa ile mbaya mpaka namuonea huruma na Wazee wamemkataa huyo binti natamani hii nafasi ingekuwa yako financial services
 
Humu ukipata ni inbox wengi wanaume wa humu wameelaniwa wamechoka kuishi wanasubiri mtu awapige na kitu kizito kichwani wafe .
Hata nguvu za kiume hawanaga wameishia kusema tu humu kuna malaya hata mechi wanakimbia .
Ili kuepuka aibu.
Kwa hiyo best huku haupo sehemu sahihi penda kwenda kanisani au mahali penye watu wengi .
Humu mmh umekosea nilikuwa na karipiwa najion mie mjanja ila nimejuA walikuwa wananitakia wameprogramiwa aisee hujui tu .
Hawajitambui
 
Unapenda kujiweka low profile ila naamini Mungu atakusaidia utapata mwanaume anayekufaa sijui kwanini Wanaume awakuoni may be inawezakana wakati wako bado.Natamani nikupe brother wangu yeye ana miaka 35 mpole, smart, msomi , ana hofu ya Mungu alafu hana mambo mengi Cha ajabu kapata mwanamke wa ovyo anapelekeshwa ile mbaya mpaka namuonea huruma na Wazee wamemkataa huyo binti natamani hii nafasi ingekuwa yako financial services
jamani si kama napenda kujiweka low profile ndiyo uhalisia huo mkuu, naamini wakati wa Mungu ni wakati sahihi, pole kwa huyo brother wako ila huenda hilo ndiyo chaguo lake Mungu alompangia.
 
Back
Top Bottom