- Thread starter
- #61
Praying for you![]()
[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Praying for you![]()
Am interested and available...kindly hit my pm so we can start this wonderful journey
Huwajibiki ipasavyo...utamu unanipimia ndio tatizoSi tumekubaliana mie ndio mke wa mwisho jaman
Na haka ka degree sitakupimia tena… nakupa yoteHuwajibiki ipasavyo...utamu unanipimia ndio tatizo
Aya hapo utakuwa umefanya vyema. Maana raha ya ndoa tendo bibieNa haka ka degree sitakupimia tena… nakupa yote
Itakuwa inajotoHivi cha wenye degree ladha inaongezeka au?
Aaah yeye angekua tayari kujibu hayo maswali ya vishtobe, alikua mkuda tu, ila kuna wastaarabu bana usikate tamaaMh hapana kale dada kalinikosesha ujasiri yaani kanauliza mpaka vishitobe vingap nimepita navyo nikasema no tafuta mwingine
Sijapata mshenga mwingine sasa😂 namsubiria tu akipata mwingine huyu anabeba vilago vyakeKigeu geu wewe si ulisema umemfuta kazi mzab?😆
😂😂😂 hayupo banaHamnaga mwanamke single🤣🤣🤣 wacha huyo anaywkula mbususu aendelee kuila mbususu hiyo
Huu ni ushuhuda mzuri, hongereni sana mkuu, kumbe inawezekana..Mimi nakutakia kila la heri, wengine tulipata humu hadi leo tunadunda. Sema siku hizi nasikia mnatinduana na kuachana "ju kwa ju "!!
🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona unaingiza mchanga kwenye kitumbua Cha mwenzako hivyoAsithubutu 😂
SSa haya matumizi mabaya ya sura cute uliyokuwa nayo. Sasa unakosaje au na wewe umejiunga kwenye challenge ile ya wana🤣🤣🤣🤣😂😂😂 hayupo bana
Yeye mwenyewe anajijua matendo yake😂😂 imagine hata hajanuna kuambiwa hivyo😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona unaingiza mchanga kwenye kitumbua Cha mwenzako hivyo
Ni kweli yeye kitumbua chake hataki mie nipata utamu wake🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona unaingiza mchanga kwenye kitumbua Cha mwenzako hivyo
Sura cute ipi ya mjomba hii, ndiyo maana inashindikana mshengaSSa haya matumizi mabaya ya sura cute uliyokuwa nayo. Sasa unakosaje au na wewe umejiunga kwenye challenge ile ya wana🤣🤣🤣🤣
Wee unawezakuwa na sura pesono lakini tako lipo🤣🤣🤣Sura cute ipi ya mjomba hii, ndiyo maana inashindikana mshenga
Unaniahidi kuwa this time hutazingua?🤣🤣Sijapata mshenga mwingine sasa😂 namsubiria tu akipata mwingine huyu anabeba vilago vyake