Looking for "Mrs Right"

πŸ˜€πŸ˜€ ndio mshanichoka nyumbani? Hata kama β€œkitu” hakijanibamba 🀣
πŸ˜€πŸ˜› wasichana wa umri wako wana watoto wawili saivi ujue
 
Em weka na sifa zako.
Ukisoma tu hapo sifa zangu zinajieleza boss wangu. Si umeona elimu yangu ni ya hapa na pale ndio maana nipo tayari kuwa na mwanamke wa elimu yeyote ile primary la 4 B au hata chuo kikuu mwenye degree.

Kikubwa mwanamke awe na upendo wa kweli na ana uhitaji wa mume
 
Hivi ndio kusema wadada humu wote mumeolewa au mpo kwa relationship leading to marriage ama ni madharau?

Hivi kweli hamuoni tangazo la husband material kabisa halafu mnanipotezea?

Sijapenda hiyo tabia yenu bana.
Mkuje tafadhali πŸ™ πŸ™

NAWASUBIRIA πŸ™
 
mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…