Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja hakika 😌🚶🏾♀️Njoo nikutengenezee cheti chenye umri unaokidhi vigezo upate ndoa dada yangu
ndioKweli!?
😀😛 wasichana wa umri wako wana watoto wawili saivi ujue😀😀 ndio mshanichoka nyumbani? Hata kama “kitu” hakijanibamba 🤣
Kijijini au hata huku mjini 🤣😀😛 wasichana wa umri wako wana watoto wawili saivi ujue
nmefka nmetua na mabegindio
🤣 zama chumbaninmefka nmetua na mabegi
nielekeze mgen sasa😌🤣 zama chumbani
mh! kama chumbani hupajui Zama hata koridoni ..😂nielekeze mgen sasa😌
😂😂😂😂Yan unanidharau mapema ivmh! kama chumbani hupajui Zama hata koridoni ..😂
we umeona hivyo😂😂😂😂Yan unanidharau mapema iv
Ukisoma tu hapo sifa zangu zinajieleza boss wangu. Si umeona elimu yangu ni ya hapa na pale ndio maana nipo tayari kuwa na mwanamke wa elimu yeyote ile primary la 4 B au hata chuo kikuu mwenye degree.Em weka na sifa zako.
mmhHabari jf team.
Nimechoka na maisha ya upweke. Finally, nimeamua kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa future yangu na familia ambayo Mungu atanibariki.
Natafuta MWANAMKE ambaye anahitaji mwanaume wa KUMUOA na sio anayetaka mwanaume wa KUOANA nae.
Sifa zake :
Awe mwanamke mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu asiyekuwa na mambo mengi.
Awe na Miaka kati ya 25 hadi 33.
Awe tayari kutolewa posa baada ya kufahamiana na kuridhiana.
Elimu yeyote hata darasa la 4 B kikubwa awe anajitambua kuhusu maisha.
Mwenye uhitaji aje tujenge maisha pamoja.
Asante.
Nipo serious jamani sio masihara