Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hata uzi wake ushaletwa humu utafute uucheki.....alisikika akisema mbunge wa sisiemu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata uzi wake ushaletwa humu utafute uucheki.....alisikika akisema mbunge wa sisiemu.
Sio kila kitu corona virus. Kwa hivyo watu wasiende chooni au wasifanye mahaba na wake zao kwa sababu ya corona virus? Wewe ni mzee sana ndio maana umetishika na corona virus, sisi vijana tuwache tuendelee kutanua.Loon Ballons zitasaidiaje mapambano dhidi ya coronavirus?
ambia google wapeleke maji KiberaSio kila kitu corona virus. Kwa hivyo watu wasiende chooni au wasifanye mahaba na wake zao kwa sababu ya corona virus? Wewe ni mzee sana ndio maana umetishika na corona virus, sisi vijana tuwache tuendelee kutanua.
Maisha lazima iendelee. Wewe mzee jifungie tu nyumbani maana ukipata corona ni adiosambia google wapeleke maji Kibera
Kaa chonjo n i assure u utaipata kabla yangu!Maisha lazima iendelee. Wewe mzee jifungie tu nyumbani maana ukipata corona ni adios
Huko kwa vijiji wanapataje hiyo 4g ? ni sawa ugawe tairi za range rover kijijini useme unatatua tatizo ya usafiri, huku wote wanatumia baiskeli
Kenya sio Tanzania ambapo hata hamna umeme vijijini