Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,684
- 3,429
- Thread starter
-
- #21
Hata marekani vitoa machozi vinatupwa kila siku mpaka wanaita jeshi kuingia barabarani, lakini bado wako juu yenyu. peleka utanzania mbali.Mabomu ya machozi yametupwa kanisani huko Murang'a leo; nyie nyang' au endeleeni tu kujifanya wajuaji wakati hamjui kuwa hamjui kitu.
Endeleeni kujifariji hadi hapo mtakapoanza kukatana mapanga na kusema hata marekani wanakatana mapanga.Hata marekani vitoa machozi vinatupwa kila siku.
KIJABE slums he meanI don't think I have the time for uninformed busy body like you. Meanwhile, travel.
ππ NairobiWalker respect one's opinionStatements like this are always proof of an idiot who has never left Tandale.
Not every opinion deserves respect.ππ NairobiWalker respect one's opinion
There are no slums in Kijabe.KIJABE slums he mean
Mimi utoto wangu nilikulia uswahilini na nimefanya sana mambo ya kuuza vyuma chakavu. Nunua aina zote za vyuma ila ukikutwa na chuma cha reli utajuta kuzaliwa.Kenya reli yetu ya MGR imekaa zaidi ya miaka 100 kutoka 1892 lakini hakuna mtu anajali kuiba vyuma vya reli. Kwa sahi GOK wenyewe ndiyo wanatoa vile vyuma vya kitambo na kuweka vyuma vipya.
Kwa miaka zaidi ya 20 hiyo MGR imekaa bila kutumiwa lakini kila kitu GOK imepata ikiwa vizuri, hata huko kwetu kwa wakikuyu ambao nyinyi watanzania husema watu ni wezi, kazi kubwa ilifanyika hapo kukarabati reli ilikuwa ni kutoa vichaka na kugeuza sleepers pekee.
Mkenya hujua kinacho mfaidi. Kuna msemo wa kikuyu nikitafsiri itakuwa "Mtu uliye mzoesha kumpa chakula, siku utakosa atakulaumu kwa hiyo siku moja ulikosa kumpa chakula"
Not every opinion deserves respect.
Opinions are like what you like, your preferences. Lies are not opinions, they are lies and lies don't deserve respect. Got it? You can't tell stupid lies and demand people to respect them as your opinion.There is a different btn respecting and accepting it.
Opinions are like what you like, your preferences. Lies are not opinions, they are lies and lies don't deserve respect. Got it? You can't tell stupid lies and demand people to respect them as your opinion.
If you respect lies then that's you. Me, I don't respect lies. That's what all civilized people should do.Aha ha haaa
π π π
You might be right, to respect is another thing and accepting it is different thing. This's how it operates in civilized society.
So Moi na Kenyatta family ni Wazungu ama? [emoji23]. Kenya hakuna Wazungu nanii. Muafrika ndio anamiliki Kenya. Millionaire list ya Kenya ni weusi lakini Tanzania ni Waarabu tupuHahaha Tanzanians we're busy mining Tanzanite, gold and diamonds, satafricans are mining railway infrastructures na ndio matatizo ya ardhi kushikwa na mgeni, utajiri wote upo kwa wageni kama Kenya mashamba yote makubwa ya Chai, maua, horticultures yameshikwa na wazungu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Aaaah wapi? π π π πSo Moi na Kenyatta family ni Wazungu ama? [emoji23]. Kenya hakuna Wazungu nanii. Muafrika ndio anamiliki Kenya. Millionaire list ya Kenya ni weusi lakini Tanzania ni Waarabu tupu
Viwanda gani hizo na sector yote ya kilimo Rift valley ni ya Moi[emoji23][emoji23][emoji23]. Kenya iko na wenyewe my friend. Muindi kenya ni Mtumwa wa Kenyatta na Moi families. Hao ndio wenye mali kenya. Hata Maduka zao za Nakumatt na Uchumi zilimezwa na Biashara za wakenya. Sahii Kenya the biggest Supermarkets, Malls, Media Companies na Banks ni za Mkenya Mweusi . Top Companies Kenya kama KCB, Naivas, Tuskeys, Equity, Brookside, Keroche, Sportpesa.... etc ni za Wakenya.Aaaah wapi? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wahindi ndio wanawafanya muende chooni, viwanda vyote vya unga ni vyao top 7 richest people in Kenya are Asians
Yaani wewe sijui unafikiri unamdanganya nani, tena sio tu Asians wanamiliki biashara na viwanda almost vyote Kenya, bali na estates 60% ni zao na wachina saivi naona wanakuja kwa fujo skyscrapers karibu zote ni zao saivi π π π πViwanda gani hizo na sector yote ya kilimo Rift valley ni ya Moi[emoji23][emoji23][emoji23]. Kenya iko na wenyewe my friend. Muindi kenya ni Mtumwa wa Kenyatta na Moi families. Hao ndio wenye mali kenya. Hata Maduka zao za Nakumatt na Uchumi zilimezwa na Biashara za wakenya. Sahii Kenya the biggest Supermarkets, Malls, Media Companies na Banks ni za Mkenya Mweusi . Top Companies Kenya kama KCB, Naivas, Tuskeys, Equity, Brookside, Keroche, Sportpesa.... etc ni za Wakenya.
Tanzania kuna kampuni gani Kubwa ya Mweusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Leta list ya Millionaires Tanzania tulinganishe na Kenya.
Kumbe ndiyo maana mataruma za zamani huwa yamezagaa tuu kando kando mwa reli lakini hakuna anayeyaokota?Mimi utoto wangu nilikulia uswahilini na nimefanya sana mambo ya kuuza vyuma chakavu. Nunua aina zote za vyuma ila ukikutwa na chuma cha reli utajuta kuzaliwa.
Taja kampuni moja kubwa kenya kwa private sector in Banking & Retail owned by Asians.Yaani wewe sijui unafikiri unamdanganya nani, tena sio tu Asians wanamiliki biashara na viwanda almost vyote Kenya, bali na estates 60% ni zao na wachina saivi naona wanakuja kwa fujo skyscrapers karibu zote ni zao saivi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha yaani wewe badilisha hata lugha ila huwezi kubadili ukweli π π πTaja kampuni moja kubwa kenya kwa private sector in Banking & Retail owned by Asians.
Stalk exchange ya Kenya inazungukia Utalii na company za wakenya kama KCB. The rest ni spectators nanii.
Middle class ya Kenya sahii imefika 48% of the population & growing fast kumaanisha uchumi unaendeshwa na wakenya. Tanzania mko wengi na middle class yenu kidogo iko Dar kwa MuarabuBiashara zenu ni monopoly ya muhindi hata banks zenu ni za Waindi . TZ ni maskini kuruka lakini iko na Billionaire mmoja Muhindi how?
So sad, halafu vitu kama hivi ndio uviweke kwenye nchi maskini?