Lotion gani nzuri kwa mwanamke na ipi nzuri kwa mwanaume ?

Lotion gani nzuri kwa mwanamke na ipi nzuri kwa mwanaume ?

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habali hapo juu

Maisha siyo kula na kulala pekee kuna vitu vingi vya kuzingatia kwenye maisha kama usafi wa nguo na manukato

Kuna watu huvaa had nguo za mamilion na kupaka mafuta ya malaki

Leo tunaenda kuona ni namna gan na mafuta yap watu hutumia

Weka lotion yako na sabun yako unayotumia hapa chin


Cc mbitiyaza

LONDON BABY
 
Jipake hata oil chafu alimradi usionekane umepauka...wengine wake zetu wakituona tunajipaka lotion huwa wanauliza leo hela utapata kweli maana hizo hufanya mwanaume aogope kushika shika vitu na kukimbizana kwenye mavumbi kwa kuogopa kuchafuka.

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nikagoogle lotion za bei kubwa nije nipate sifa hapa

Mmh kumbe kuna watu walikua wanaionea sana wivu couple ya Cc

Wenzenu wakisisiana wanaweka tag kabisa ili mhusika awahi kuiona cc
 
Natumia futa la nazi usoni sabuni nayotumia Savlon hygiene soap shunie linamo cab ney emmyta sakayo mkuje na huku uremboni
 
Ngoja nikagoogle lotion za bei kubwa nije nipate sifa hapa

Mmh kumbe kuna watu walikua wanaionea sana wivu couple ya Cc

Wenzenu wakisisiana wanaweka tag kabisa ili mhusika awahi kuiona cc
Wewe dada acha roho ya kichawi

Pambana na hali yako

Hapa hatutafut sifa kwahiyo kumbe ndo maana unakesha kwenye uz wa like ili upate siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jipake hata oil chafu alimradi usionekane umepauka...wengine wake zetu wakituona tunajipaka lotion huwa wanauliza leo hela utapata kweli maana hizo hufanya mwanaume aogope kushika shika vitu na kukimbizana kwenye mavumbi kwa kuogopa kuchafuka.

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Wewe bado mpofu sana kiongoz mbona mimi napaka lotion na bado nafanya kaz ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom