Copolla
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 232
- 571
Aisee😅😅😅😅Mi bado natumia povu lá sabuni
Nalog off
Tunafeli wapi wanaume🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee😅😅😅😅Mi bado natumia povu lá sabuni
Nalog off
Mipango bado sijaiset 😂😂😂Aisee😅😅😅😅
Tunafeli wapi wanaume🤔
Mm huwa natumiaga mafuta ya Nazi tuu, sitakagi kucomplicate mambo sana, hayo hayo natumiaga kweny ngozi na kweny nywele maana wadada wamenambia haya hayaletagi mba kweny ngozi ya nywele za kichwa(mafuta ya mgando sio mazuri kwa kupakaa kweny nywele yanaleta mba/ukoko mweupe) namalizia na perfume then nakanyaga mwendo, sina mambo mengi, mambo mengi ya wenzetu sio sisi wakiumeni😅😅😅Mipango bado sijaiset 😂😂😂
Nalogoff
Sasa hapo kwenye perfume si utanukia kinke nke!? Usijipulizie we komaa na mafuta ya nazi tu😂😂Mm huwa natumiaga mafuta ya Nazi tuu, sitakagi kucomplicate mambo sana, hayo hayo natumiaga kweny ngozi na kweny nywele maana wadada wamenambia haya hayaletagi mba kweny ngozi ya nywele za kichwa(mafuta ya mgando sio mazuri kwa kupakaa kweny nywele yanaleta mba/ukoko mweupe) namalizia na perfume then nakanyaga mwendo, sina mambo mengi, mambo mengi ya wenzetu sio sisi wakiumeni😅😅😅
Natumiaga perfume zile za kiume ambazo hazinukiagi sana😅😅😅, zile za kukata harufu ya jasho tuu isiwe intensive, kidogo tuu ata angalau ukipita karibu na mtu asianze kusema wakaka wa sikuiz wananuka jasho, maana mm natembeaga kama nakimbizwa kwaio nikifika sehemu lazima vijasho vinitoke, alaf hata mwenyew nashaangaaga kwann natembea fasta kama nakimbizwa😅😅😅 kimsingi nikitoka kuoga ni kujikausha then mafuta ya Nazi then kuchana nywele alaf kishada, haina mambo mengi broo😊Sasa hapo kwenye perfume si utanukia kinke nke!? Usijipulizie we komaa na mafuta ya nazi tu😂😂
Nalogoff
Ndio udume huo😂😂😂Natumiaga perfume zile za kiume ambazo hazinukiagi sana😅😅😅, zile za kukata harufu ya jasho tuu isiwe intensive, kidogo tuu ata angalau ukipita karibu na mtu asianze kusema wakaka wa sikuiz wananuka jasho, maana mm natembeaga kama nakimbizwa kwaio nikifika sehemu lazima vijasho vinitoke, alaf hata mwenyew nashaangaaga kwann natembea fasta kama nakimbizwa😅😅😅 kimsingi nikitoka kuoga ni kujikausha then mafuta ya Nazi then kuchana nywele alaf kishada, haina mambo mengi broo😊
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we mdau una mpango gani na Huyo mtoa mada.Tumia COCOA BATA
mafuta ya kula yanatosha mkuuToka lini wanaume tukapakaa mafuta? wanaume tunapakaa uji wa dona
Wote mmejarib kumsaidia mdau wetu lakin jibu sahihi ni ununue palmers for men utajisifu. Elf 18Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Wote mmejarib kumsaidia mdau wetu lakin jibu sahihi ni ununue palmers for men utajisifu. Elf 18
Wote mmejarib kumsaidia mdau wetu lakin jibu sahihi ni ununue palmers for men utajisifu. Elf 18
Hivi Kati ya Nivea na Vaseline ipi iko bomba
NiveaHivi Kati ya Nivea na Vaseline ipi iko bomba