Mi sipendi complication huwa napaka Samona tu inatosha.Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Mkuu paka mafuta ya Nazi tu mkuu, ukikosa paka zako korie tu wanaume hatuna mambo mengi na wala hakuna atakae kuulizaHabari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Ni kweli mie nina mwaka now ni mwendo wa parachuti ila naisaka African coconut oil n nzur zaidi sina mambo mengi nowMkuu paka mafuta ya Nazi tu mkuu, ukikosa paka zako korie tu wanaume hatuna mambo mengi na wala hakuna atakae kuuliza
Revlon,japo ni brand ya zamani lkn nafkiri bado inasound good.Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
๐คฃ๐Mi bado natumia povu lรก sabuni
Nalog off
DoveHabari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Toka lini wanaume tukapakaa mafuta? wanaume tunapakaa uji wa dona
๐๐ข๐ข ๐ข๐ง๐๐๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ ๐๐ฌ๐ข๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ, ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐๐ฃ๐๐ซ๐ข ๐๐๐ฏ๐ข๐ ๐๐จ๐ซ ๐ฆ๐๐ง, ๐ฒ๐๐ฅ๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ ๐ง๐ข๐ค๐๐ญ๐ฎ๐ฉ๐, ๐ง๐ข ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐ฒ๐ ๐๐ซ๐๐๐ฆNivea
aveena yako vizuri sana ila me ningekushauri hayoKama huna Nivea yo yote kati ya haya yatakufaa. Ngozi itakuwa na mwako wa afya na imara. Yote hayana harufu...
View attachment 2056511
Nivea ipi hiyo mkuu ulitumia?๐๐ข๐ข ๐ข๐ง๐๐๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ ๐๐ฌ๐ข๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ, ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐๐ฃ๐๐ซ๐ข ๐๐๐ฏ๐ข๐ ๐๐จ๐ซ ๐ฆ๐๐ง, ๐ฒ๐๐ฅ๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ ๐ง๐ข๐ค๐๐ญ๐ฎ๐ฉ๐, ๐ง๐ข ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐ฒ๐ ๐๐ซ๐๐๐ฆ