Lotion /mafuta ya kupaka kwa mwanaume

Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Mi sipendi complication huwa napaka Samona tu inatosha.
 
Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Mkuu paka mafuta ya Nazi tu mkuu, ukikosa paka zako korie tu wanaume hatuna mambo mengi na wala hakuna atakae kuuliza
 
Mkuu paka mafuta ya Nazi tu mkuu, ukikosa paka zako korie tu wanaume hatuna mambo mengi na wala hakuna atakae kuuliza
Ni kweli mie nina mwaka now ni mwendo wa parachuti ila naisaka African coconut oil n nzur zaidi sina mambo mengi now
 
Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Revlon,japo ni brand ya zamani lkn nafkiri bado inasound good.
 
Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo mwanaume yatamfaa zaidi? Naomba msaada
Dove
 
Mwanaume anayepaka mafuta labda awe bottom kwa wengine ni mwendo mdundo
 
Mafuta ya break changanya na ya Nazi kidogo, wewe unakuwa mwanaume kamili
 
Tumia vaseline for men au Nivea for men zote ziko poa! Me ndo mafuta yangu hayo toka niko o- level,, na uzuri wa hizo lotion hata kama hujajpulizia perfume fresh tu!
 
paka ya alizeti , Mbona fresh tu
 
๐‡๐ข๐ข ๐ข๐ง๐š๐œ๐ก๐ฎ๐›๐ฎ๐š ๐š๐ฌ๐ข๐ค๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐ž ๐ฆ๐ญ๐ฎ, ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐š๐ฃ๐š๐ซ๐ข ๐๐ž๐ฏ๐ข๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ ๐ฆ๐š๐ง, ๐ฒ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐š ๐ง๐ข๐ค๐š๐ญ๐ฎ๐ฉ๐š, ๐ง๐ข ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฒ๐š ๐œ๐ซ๐ž๐ž๐ฆ
 
Nivea ipi hiyo mkuu ulitumia?
 
Kwa wale mnaopenda vitu vya asili vyenye zero kemikali tafuta mafuta yanayotokana na mbegu za maboga. Iwe imetengenezwa kikwetukwetu bila kuongezwa kitu. Utang'aa km vile una pesa kweli na unaishi chin ya uangaliz maalum wa Dermatologist mkuu. Hutaamin!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ