charlesfundi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 220
- 289
- Thread starter
- #41
Oohh ndo uko hapo au hua nisehemu yako ya kujidai tuUzunguni mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oohh ndo uko hapo au hua nisehemu yako ya kujidai tuUzunguni mkuu
Nikipitaga DomOohh ndo uko hapo au hua nisehemu yako ya kujidai tu
Leo nitaenda hapo
Oohhh basi bambalaga patafaaa kabisaHapo pamefungwa mkuu.. nenda liquid pale uhindini au Bambalaga
Hapo ninsehemu gani ila dodoma kuna baridi usiku alooo[emoji849][emoji51][emoji51]
[emoji91][emoji91][emoji91]Njoo waswanu [emoji4]
Mkuu Dodoma huu mji Kwa anasa pako vizuri sana huwezi amini ata nyumba za kulala wageni zinajaaa mapema sana alooWamiliki wa club za Dar wawekeze Dodoma jiji la kiserikali watu wanaenda na per DM zao wanataka kula bata mmiliki wa JULIANA CLUB mbezi beach Africana salute kwako kiwanja kama kile ukiweka Dodoma safari za Dom zitazidi kuwa tamu sana.
Why?Hakuna kitu pale
Pametulia, nimepita last weekend. Shida moja, palijaa sana pale ndani, kiusalama sio poa kbs. Ila it's worth visitingRuka bamba laga
mbambalanga Iko sehemu Gani?Tangu nifike huku me ni bambalaga tu kila jmos kiukweli kwa Dom hapa ni 🔥. Na jumapili natulia tu capital park.
Sehemu nyingine ni wapi?
Nataka nikaone na Royal village pia weekend hii.
Kwa sasa nasikia rain bow ndio inakimbiza. Rainbow ipo karibu na bunge.mbambalanga Iko sehemu Gani?
Capital Park Iko sehemu Gani Dodoma kati? Au wapi hasa?Migeninndo nawasiri?