Love at first sight

Anajua kwamba una uraibu wa kamari?

Kama hajakukataza kubeti basi tuendelee na mada yetu
Mimi sina uraibu wa kubet

Kama unadhani navyokuwa uzi wa kubet ndio nabet umekosea
 
πŸ₯°πŸ₯°πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 

Ulichoandika kiko so real πŸ˜‚

Hivi kweli nilikuwa single nilivyomtamani huyu mwanaume?🀣🀣
 
Everything happena for a reason even if you cannot explain it.
 
Na ck mkiachana uje hapa kuleta mlejesho sawa mama.
 
What a beautiful thing 'To Love and To Be Loved!!

Best of Lucky Jojo πŸ₯° nakuombea matukio mtakayopigana ( kimsingi hayakosekanagi.. Kama sio sasa na hata baadaye) yawe ni yale ya kuvumilika.
Mwambie ukweli.. Atakapogundua jamaa ameacha familia huko Tunduma sijui Mara sijui Kahama, atuletee mrejesho--
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…