Love at first sight

Love at first sight

Anajua kwamba una uraibu wa kamari?

Kama hajakukataza kubeti basi tuendelee na mada yetu
Mimi sina uraibu wa kubet

Kama unadhani navyokuwa uzi wa kubet ndio nabet umekosea
 
Naomba nijibu swali ulilouliza 🤣🤣🤣 Mimi imenitokea na mwanaume mwenyewe ndio mume wangu 8yrs now with him, najisemea tu which of the favor of my Lord will I deny? Yan hakuna
Nilikutana nae high school , tukiwa assemble nikamuona mkaka armesing uiii nasisimka hapa nikikumbuka Ile siku. Mtoto nilikua sijawah kua hata na mwanaume akaja nae assemble kumbe nae ndo kaja shule kujiunga form five ayayayay nilikua driven by his body and eyes.
Mkaka akawa arts mie science. nikawa na shoga angu yupo arts,( wake marafiki tunaokaaga watatu) sasa huyu shoga angu nikaeka mkakati kila tukitoka darasan anisubiri nimpitie ili iwe chance ya kumwona huyu mkaka, kumbe nae akawa amenielewa , siku ananisogelea Ile body spray yake ingenifanya niliwe kimasihara🤣🤣🤣🤣 ayayayaa acha niishie hapa maana naona naaza kuharibu.
I love him sooooo much my sensual healer
🥰🥰🔥🔥🔥
 
Kibatala: Je ulikuwa single wakati unatamani huyu kijana awe mwanaume wako?

Joanah: Sina pete kidoleni

Kibatala: Umejibu swali ambalo sijakuuliza, Jibu ni Ndio au hapana.

Joanah: Hapana, lakiniiiiiiiii

Kibatala: Hakuna cha lakini hapa. Je nitakuwa sahihi kuiambia mahakama kuwa ulitamani na kuwaza kufanya kitendo cha usaliti na ukatekeleza azma yako

Joanah: Naomba niende washroom.😂😂😂😂

Nakutania dada yangu . Hongereni.

Ulichoandika kiko so real 😂

Hivi kweli nilikuwa single nilivyomtamani huyu mwanaume?🤣🤣
 
Hey guys

Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?

Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus

Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom

Mungu ni mkuu jamani, nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus, mimi namba 9 yeye 10

Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo, masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla.

Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man [emoji4][emoji4] Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume

Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi

Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani

Cheers to many years with my man [emoji1635]

Am so in love!
Everything happena for a reason even if you cannot explain it.
 
Hey guys

Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?

Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus

Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom

Mungu ni mkuu jamani, nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus, mimi namba 9 yeye 10

Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo, masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla.

Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man 😊😊 Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume

Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi

Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani

Cheers to many years with my man 🥂

Am so in love!
Na ck mkiachana uje hapa kuleta mlejesho sawa mama.
 
What a beautiful thing 'To Love and To Be Loved!!

Best of Lucky Jojo 🥰 nakuombea matukio mtakayopigana ( kimsingi hayakosekanagi.. Kama sio sasa na hata baadaye) yawe ni yale ya kuvumilika.
Mwambie ukweli.. Atakapogundua jamaa ameacha familia huko Tunduma sijui Mara sijui Kahama, atuletee mrejesho--
 
Back
Top Bottom