Love connected

Love connected

Yani umetumia miaka mitatu mpaka kupata simu halafu unatafuta mke? Kuna maisha baada ya mgegedo,au utakua unamlisha nyasi?
Nashukuru mkuu ila usifikirie kuwa ni mgheni wa simu manake wakati nipo Arusha nilianza kutumia Techo y6,Techno w3 lite,Itel s12 Kuna mambo yalitokea ila poa naona kebehi nyingi
 
Yaani huku amna ualisia, mktu kwenye kibodi amenyooka ila live ni kitu kingine. Ila namshukuru mungu maana yule dada alikuja kuwa mteja wangu。
Ulikutana na pisi kali ya kibodi 😂 Mm tangu Nmejiunga JF sijawahi kuwa na pigo hizo za kutaka kuonana na mademu wa humu anyway sio mbaya kama n mteja sasa ila bila shaka atakuwa anakopa sana mana tayari ulishaonyesha kumtaka
 
Ulikutana na pisi kali ya kibodi 😂 Mm tangu Nmejiunga JF sijawahi kuwa na pigo hizo za kutaka kuonana na mademu wa humu anyway sio mbaya kama n mteja sasa ila bila shaka atakuwa anakopa sana mana tayari ulishaonyesha kumtaka
Sema kweli?? 😂😂😂
 
Ulikutana na pisi kali ya kibodi 😂 Mm tangu Nmejiunga JF sijawahi kuwa na pigo hizo za kutaka kuonana na mademu wa humu anyway sio mbaya kama n mteja sasa ila bila shaka atakuwa anakopa sana mana tayari ulishaonyesha kumtaka
Ajanikopaga aisee。
 
Back
Top Bottom