Mimi nampenda huniambii kitu, yani utafikiri dada yangu wa damu.Ni msanii wangu bora wa kike sauti yake ndio sababu kubwa ya kuanza kumkubali
Rehab - Rihanna ft Justin Timberlake
View attachment 2893106
Mimi ndio ningekuwa Rushyna ningemuimbia huo Zaylissa 🤣🤣Nimekumbuka sakata la manara na dulla makabila.
Huo wimbo unawahusu pamoja na mademu zao
Ana zingua baada ya show ya Superbowl ilitegemewa aachie album na afanye Tour mpaka sasa kimya.Mimi nampenda huniambii kitu, yani utafikiri dada yangu wa damu.
Hivi haimbi siku hizi nilishalia hadi nikatulia mwenyewe 😅
I miss you,_ so many artists wawewaimba.... Nyimbo zoteeee zenye title ya I MISS YOUNyimbo za kingereza pekee za kimahaba.
Come together - Chris Brown ft H.E.R
View attachment 2893047 Come through - H.E.R ft Chris brown
View attachment 2893051
Zingatia ni nyimbo za kingereza pekee
Who is your disease ?I gotta check into Rehab
Baby you are my disease..
Na yule muhuni wake aliyezaa nae sijui ndio anampoteza? Sijawahi kumkubali hata kama Shemeji. Huwa natamani angerudiana na Brown yani ningepika biriani ya ngamia hiyo siku 🥹Ana zingua baada ya show ya Superbowl ilitegemewa aachie album na afanye Tour mpaka sasa kimya.
Toka album ya Anti mpaka leo kimya ubillionaire una mpunguzia kasi ya muziki
Bado industry inamdai na sisi mashabiki zake
Mwamba Asap hutaki shemeji kama msomali😄Na yule muhuni wake aliyezaa nae sijui ndio anampoteza? Sijawahi kumkubali hata kama Shemeji. Huwa natamani angerudiana na Brown yani ningepika biriani ya ngamia hiyo siku 🥹
Samahani hivi umesema za kizungu au za kingeleza?Majesty- Peruzzi
View attachment 2893144
Kiingereza sio lazima za wazungu hata kama kaimba mbongoSamahani hivi umesema za kizungu au za kingeleza?
Kwa kuwa anaonekana mwenye furaha ni sawa, ila couple yao siipendi.
Chris ni bondia yule bwana mdogoKwa kuwa anaonekana mwenye furaha ni sawa, ila couple yao siipendi.
Whatever, mi nawapenda na Riri alishasema huyo ndio mwanaume wa maisha yake, alimpenda sana.Chris ni bondia yule bwana mdogoView attachment 2893154