Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli hebu sogea nikunusembona me sina harufu... Nipo odorless
Pole mwaya, naona umeamua kumsemea Leon, ila Leon nae amesababisha mengi jamani, we ushaona hupendwi , si usepe uwaache? Visasi havijawahi muacha mtu salama, mi nina uhakika anaumia huko alipo kwa alivhomfanyia Bella, maana alimpemda sana...Kusema kweli Bella alimkosea sana Mr.Haker... Na Bella ndio chanzo cha yote... Mwanamke usikubali kabisa kuwa mbali na mme/mpenzi wako... Maana wanaume tuna mbinu za kivita nyingi sana... Ukimsikiliza gent kwa takribani dakika 5 tu aliehitimu mafunzo akapata na chet kabisa... umekwishaaa hata kama unapesa au bwana ako ana pesa kiasi gani...
Wanawake kuweni makini huwa inauma sana mnapotuacha aisee...
Hakuna sheria itavunjwa ...Kuna jela ohoooo[emoji2957][emoji2957]
Hadi anamfanyia hivyo upendo ulikua umeshaisha wanaume hatuwaumizi wanawake tunaowapendaPole mwaya, naona umeamua kumsemea Leon, ila Leon nae amesababisha mengi jamani, we ushaona hupendwi , si usepe uwaache? Visasi havijawahi muacha mtu salama, mi nina uhakika anaumia huko alipo kwa alivhomfanyia Bella, maana alimpemda sana
haya nusa af nambie nanukiajeSio kweli hebu sogea nikunuse
sipendwi sawa... Lakin mimi napenda na tumeishi wote tumezoeana kwa muda mrefu... Any way ni wote walikua na makosaPole mwaya, naona umeamua kumsemea Leon, ila Leon nae amesababisha mengi jamani, we ushaona hupendwi , si usepe uwaache? Visasi havijawahi muacha mtu salama, mi nina uhakika anaumia huko alipo kwa alivhomfanyia Bella, maana alimpemda sana
Yaaap...our girl alikua anaendeshwa na hisia sana...tooo badDaah kastory flan katamu sana sijaamini nimekasoma mwa-mwi. Ila kiukweli nimejifunza kutokua na misimamo kwenye maisha kutakuingiza kwenye matatizo sana. Jitahidi kutumia akili zaidi ya hisia kila mahali
hahah sawa lakini nilikuwa nachangia mada tu mimi sipo kwenye mahusiano namzungumzia bella The queen of the story...Poleeeee my dear...Kama anakuheshimu na anajiheshimu atajifunza kukupenda taratibu
hapana, ukwel ni kwamba kila mwanaume anakuwaga na tabia zake za kurithi kwa wazazi, za kupata kutokana na marafik wanaomzunguka n.k... Kwahyo hapo inaweza kuwa kwel kwa wanaume baadhi lakin wengine ukimwacha haonesh dalili yoyot kama kachukia lakin anaumia moyon2 hata ukikutana nae kama mlikua hamjuani heve, kila mtu na mishe zake, nikifka home ndio naanza kulia badae nakuja kuzoea maisha yanaendeleaKumbe eeeh
Bora wa hivyo, Leon hafaihapana, ukwel ni kwamba kila mwanaume anakuwaga na tabia zake za kurithi kwa wazazi, za kupata kutokana na marafik wanaomzunguka n.k... Kwahyo hapo inaweza kuwa kwel kwa wanaume baadhi lakin wengine ukimwacha haonesh dalili yoyot kama kachukia lakin anaumia moyon2 hata ukikutana nae kama mlikua hamjuani heve, kila mtu na mishe zake, nikifka home ndio naanza kulia badae nakuja kuzoea maisha yanaendelea
Naomba unitag ukianza mpenziJumatatu dear...tuombe uzima
Ndio mamaa mwanaume hatuumizi wanawake tunaowapenda.. Leon mwanzo alisamehe kila kitu ndio mana hadi akamchumbia Bella ila Bella alivyoliwa chooni mwamba ndio akabadirika.Kumbe eeeh