Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Huwa namsikiliza mno kwenye kipindi chake cha Ala za Roho. Hapa ukimsikiliza anaonekana ni mjuvi mzuri wa haya mambo ya mapenzi, sasaaaa kwa nini mastori mingi kwenye media na mahusiano mara huyu mara yule aseee... Au ndio ile ile Gari isiyokuwa na mzigo hukimbia zaidi. Mapenzi ni noma mno, yaani pamoja na haya yoooote huyu dada amawahi kumwagwa, zaidi ya mara tano?
Kwanini aachwe na ujuzi wote huo?
Kwanini aachwe na ujuzi wote huo?