joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ingependeza zaidi wangebishana katika maendeleo yao binafsi.nawaona wale jamaa wanaobishanaga kuhusu kenya na tanzania wakijaa hapa na uhalo wao
Nonsense.Ingependeza zaidi wangebishana katika maendeleo yao binafsi.
Unaweza kujitapa nchi yako tajiri, wakati mtu unayejitapa masikini kabisa.
Na mwingine yupo nchi masikini, lakini ana uwezo mkubwa sana.
Very true, even poverty and slums Kenya is at next levels, can you compare this place and Kibera?Nonsense.
The issue in dispute is Tanzania & Kenya, not individuals.
Kenya is the next level compared to Tanzania.
Kwahiyo kwasa South Africa kuna watu wanaishi katika NYUMBA za mabati ndio unahisi ni sawa kwa Kenya kuishi katika slums?Hiyo Ishu hata south kuna maeneo Watu wanaishi Kwenye shacks!
Wtf?Nonsense.
The issue in dispute is Tanzania & Kenya, not individuals.
Kenya is the next level compared to Tanzania.
POVUπππKamuulize mwenye darisslam yake.
POVUπππ
Unadhani Dar tuna flying toilets kama Nairobi!? Flying toilets are the public toilets in Nairibi.POVUπππ
Public toilets za Nairobi zinavutia kuliko stesheni za SGR ya TanzaniaUnadhani Dar tuna flying toilets kama Nairobi!? Flying toilets are the public toilets in Nairibi.