Low Internet Access Driving Inequality

Low Internet Access Driving Inequality

Bro, sikatai we can beat em, but beating em kwa internet connectivity ni kujidanganya. Just common sense.
Achana na nguruwe hiyo.

Electricity yenye SA wako na 50000MW,mpumbavu anayeishi nchi ya 2100MW anasimama akitamba yuko juu kwa internet[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Tunabishana na manduza sana humu.
 
Achana na nguruwe hiyo.

Electricity yenye SA wako na 50000MW,mpumbavu anayeishi nchi ya 2100MW anasimama akitamba yuko juu kwa internet[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Tunabishana na manduza sana humu.
SA umeme wote unaenda kuchimba madini ya dhahabu na mara kwa mara huwa kunakua na blackout.
hivi umeshawai sikia Kenya kuna blackout hata dakika tano tu kwa zaidi ya miongo miwili sasa?
 
SA umeme wote unaenda kuchimba madini ya dhahabu na mara kwa mara huwa kunakua na blackout.
hivi umeshawai sikia Kenya kuna blackout hata dakika tano tu kwa zaidi ya miongo miwili sasa?
They worship South Africa like babies. ESCOM (SA electricity distributor ). Is one of the most corrupt and indebted companies in Africa. SA is facing power rations and all day blackouts. Hiyo 50000 MW yao haiwasidii .
https://www.washingtonpost.com/opinions/2020/01/04/south-africa-ended-darkness-heres-why/
Screenshot_20200729-203715_Chrome.jpg


Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
 
Hata beers hamuuzi tena huko kwenu, ni wangapi wapo jobless Sasa hivi, mpo na hali ngumu sana huko kwenu
hata SA pia hawauzi 'beers'
unajua great minds always think the same.
 
Ina maana Huoni original post with data from imf, this same corona year. Tumewapiga chini. Alafu unaleta kiblog uchwara hapa, kucompare na IMF, viblog vinatumiwaga kuwajaza ujinga na kujiona nyinyi ndio kila kitu.
Imf inaitambua tanzania km ldc bado
 
Hatujakataa, Kiwanda kipo Arusha, wawekezaji wakenya, kimeajiri wabongo, kinalipa kodi bongo.. kilianzishwa na wabongo.. kwani shida ipo wapi?
Kwn mashamba ya chai kenya ndio hayaajiri wakenya na pia vile vile yantoa kodi
 
SA umeme wote unaenda kuchimba madini ya dhahabu na mara kwa mara huwa kunakua na blackout.
hivi umeshawai sikia Kenya kuna blackout hata dakika tano tu kwa zaidi ya miongo miwili sasa?
Bwana wee

Huu ubishi wa kuiingiza SA anga hizi ni upumbavu na ni dalili ya kujidanganya.
Wewe unaamini 51000MW zote zinaishia migodini!!!!unajua supply yao inasoma ngapi kwenye makazi ya watu ukilinganisha na kenya!!!!
 
They worship South Africa like babies. ESCOM (SA electricity distributor ). Is one of the most corrupt and indebted companies in Africa. SA is facing power rations and all day blackouts. Hiyo 50000 MW yao haiwasidii .
https://www.washingtonpost.com/opinions/2020/01/04/south-africa-ended-darkness-heres-why/View attachment 1520621

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Ndio sababu wana mipango ya kufikia 75000MW 2035,maana wanajua hauwatoshi huo umeme.

Ile ni developed country ndugu yangu,unapata wapi ujasiri wa kupita mbele yao na 2300MW zako ukiunguruma!!!!

Huu uzi hauna maana tena,naona fact hazina nafasi ila watu wanaleta ushabiki maandazi tu.
Tunabishana kuhusu SA tena[emoji848][emoji848]
 
Bwana wee

Huu ubishi wa kuiingiza SA anga hizi ni upumbavu na ni dalili ya kujidanganya.
Wewe unaamini 51000MW zote zinaishia migodini!!!!unajua supply yao inasoma ngapi kwenye makazi ya watu ukilinganisha na kenya!!!!
Jiulize kwanza mbna ethiopia ina umeme mwingi tu lkn treni zao zinakwama kila mara

Kila kitu kina purpose yake
 
Jiulize kwanza mbna ethiopia ina umeme mwingi tu lkn treni zao zinakwama kila mara

Kila kitu kina purpose yake

Ili twende sawa inabidi tuangalie kwanza wana umeme kiasi gani??lakini pia wana idadi ya watu kiasi gani???
Swala la umeme kuzima hata SA ina 51000KW ila kuna wakati unazimika.maana yake wanautumia sana.

Sasa wewe mwenye 2300KW ujisifu sababu tu umeme huwa hauzimiki🤔🤔
 
Back
Top Bottom