🤣🤣🤣Low profile uswazi haifanyi kazi iyo formula mkuu, ukitaka uchapiwe mke au watoto wako wateseke na kila mtu kuwaonea jifanye low profile.......
Huku ni mwendo wa warthog a.k.a mwendo wa ngiri hakuna kurud nyuma ukiweka jiwe mim naweka chuma chenye kutu........
🙋♂️✍️🎯🤝💯%LOW PROFILE NI MBINU ITAKAYOKUSAIDIA KATIKA MAPAMBANO YA MAISHA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Nilisema, usitafute Wala usilazimishe kuheshimiwa na kîla Mtu.
Nikasema, siô lazima kîla Mtu akuheshimu, nikimaanisha siô kîla heshima ni muhimu kwako.
Nasema, kîla heshima inakuja Kwa Wakati wake.
Usipende kuonekana au kukuonyesha mbele za Watu kama Mtu Mkubwa, Mtu WA muhimu, Mtu wa Maana. Hiyo haitakusaidia zaidi itakusumbua Hapo baadaye.
Penda kuwa mtu wa Kawaida, hata kama unajijua unauwezo Fulani, unacheo Fulani, unangugu Fulani, usipende kuonyesha uwezo wako au umuhimu wako sehemu àmbayo Hakuna ulazima wa kufanya hivyo.
Onyesha uwezo wako pake àmbapo unahitajika na kûna huo ulazima wa kuuonyesha.
Umemaliza chuo Kikuu upo zako mtaani, ishi Maisha yako kama Watu Wengine wa mtaani. Siô lazima Watu wajue umesoma kama hakuna ulazima wakujua.
Kama Elimu yako itahitajika Hapo mtaani ndîo waweza kuitumia.
Watu watakutambua tuu kupitia actions zako, maneno yako watajua huyu Kijana au huyu Binti anauwezo Fulani.
Low Profile itakusaidia kuwa Flexible. Utakuwa unabadilika badilika Kulingana na Hali na mazîngira. Tofauti na kujipa high profile Kwa kujiona wamaana, wahadhi, mwenye umuhimu àmbapo kûna ishu utakuwa umejiwekea mipaka kutokufanya.
Mfano,
Kufika na kufika unajifanya unaelimu, sijui umetoka familia za kishua, au una connections za wakubwa. Hii itakusumbua sehemu kwani utashindwa kufanya Baadhi ya ishu zako.
Mfano,
Umemaliza chuo Kikuu umewambia Watu wewe unandugu weñye vyeo vikubwa hivyo unaconnection za Kazi.
Baada ya kuhitimu, Muda unasonga ajira Huna, kujiajiri unaona aibu Kwa sababu mtaji Mdogo hauwezi kufungua biashara kûbwa zinazoendana na hadhi uliyojipa.
- Kuuza Karanga hutaki,
- Kuuza Dagaa hutaki,
- Kuuza juisi hutaki.
- Kuwa dalali hutaki.
Mwisho unaingia kwèñye mtego wa mateso.
Hata kama unaconnection Huwezi kujipa High profile, connection zinaweza kukatika Kwa ghafla mahali àmbapo haujatarajia. Unashindwa kubadilika Kwa sababu tayari unaona NI fedheha kuwa chini.
Wakati nasoma chuo Kikuu pale UDSM, Kûna wanafunzi walikuwa wakihangaika kubadili nguo na viatu pamoja na Simu kwa kujipa high profile, kujipa hadhi wengi wao malengo yao makuu yakiwa ni kuwavutia Wanawake.
Jambo ambalo wengi liliwagharimu Sana. Bumu kuisha mapema, kusumbuliwa na Wanawake haohao àmbao wanawafanya wavae nguo za kîla namna ili wawavutie.
Binafsi sikuwa na nguo nyingi waliosoma na Mimi wanajua Hilo. Kiasi kwamba unaweza kuzikariri nguo zangu. Hiyo Kwangu haikuwa shida na Saikolojia ya Watu wanakuzoea vile utakavyojiweka. Watoto Wakali unachukula, na bado unaishi Low Profile, Low Key.
Mtu afanye Jambo Ikiwa analipenda na siô kufanya Jambo Kwa kujionyesha Kwa Watu au kujipa umuhimu au hadhi. Hiyo itamgeuza kuwa mtumwa.
Mfano, Mtu àmbaye yupo Low Profile hawezi kuwaza atavaa nguo gàni isipokuwa ataweza nguo iliyosafi.
Lakini anayejipa umuhimu, au hadhi lazima awe mtumwa Kwa Watu wengine. Kwani ataona akirudia nguo Fulani Watu watasema Amerudia na ataonekana Hana Pesa.
Wewe Mtu akikuona Huna Pesa unapungukiwa kitu gàni?
MTU akikuona Huna Elimu au Akili unapungukiwa Jambo gàni.
Wakati Fulani nilikuwa najifunza Kushona Nguo, Binti mmoja alikuwa akija pale ofisini mara, akawa ananitazama, kumbe alikuwa na yake. Siku Moja akaniuliza, mbona wewe ni kijana mdogo mwenye mvuto (akimaanisha handsome) why umechagua Kazi hii. Ati yeye anaona nimepotoka, hakujua ninasoma, fundi alipomwambia ninasoma Chuo Kikuu akabaki ameng'aka.
Low Profile itakupa Pesa.
Low profile itakufanya uishi vizuri mtaani.
Low profile itakusaidia kukupa data mbalimbali za kiintelejensia kuhusu fursa zitakazokusaidia kwèñye Maisha yako.
Low profile itakusaidia kupata Mchumba au mwenza Sahihi Kabisa.
NI kupitia Low Profile Watu unawajua tàbia zào vile walivyo. Yaani uhalisia wa Binadamu.
Ukishajua uhalisia wa Watu Maisha hayawezi kukusumbua Kwa sababu Maisha ni michakato ya Watu kuchangamana na kuzalisha màtukio na Matokeo.
Low profile itakufanya Watu wasijue upo kwèñye Wakati mgumu au wakati wa bata. Yaani hautabiriki.
Ukiwa na Pesa Watu hawajui ukiwa hauna Pesa Watu hawajui. Waô wanakuona upo vilevile Siku zote.
Tafsiri ya Low profile ni kujiepusha na mashindano na Watu yasiyo na ulazima, yasiyo na tija.
Low profile hata Kazini itakuepusha na vita kutoka Kwa Watu visivyo na umuhimu.
Kama hujajipa hadhi au kujiona wa Maana, au Bora niambie ni kitu gàni kinakufanya uone aibu kufanya Kazi hata ya kipato cha elfu tatu au tano Kwa Siku ujipatie kipato umeona Bora ukae tuu bila Kazi. Huoni kama unajipoteza?
Moja ya sifa ya Mzazi Bora hata kama yeye anahadhi Fulani atamfundisha Mtoto wake kuwa Low Profile.
Huo ndîo ulinzi Namba Moja Kwa Mtoto. Hata Siku Mzazi akiwa hayupo Mtoto anauwezo wa kupigana vita yoyote na akashinda.
1. Kuwa Low Profile, low Key
2. Soma mazîngira na Watu
3. Tumia mazîngira na Watu kupata Yale unayoyaona ni muhimu kwako.
4. Linda heshima na uaminifu utakaopewa na Watu lakini kamwe usilazimishe kuheshimiwa na kuaminika.
5. Usipende kupigana vita mara Kwa mara kama Hakuna ulazima, kama ukiweza piganisha maadui zako wapigane wènyewe Kwa wènyewe.
6. Shiriki kusaidia Watu wanyonge lakini weñye HAKI.
7. Saidia Watu weñye nguvu kutenda Haki.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Ushauri wa Karne!!LOW PROFILE NI MBINU ITAKAYOKUSAIDIA KATIKA MAPAMBANO YA MAISHA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Nilisema, usitafute Wala usilazimishe kuheshimiwa na kîla Mtu.
Nikasema, siô lazima kîla Mtu akuheshimu, nikimaanisha siô kîla heshima ni muhimu kwako.
Nasema, kîla heshima inakuja Kwa Wakati wake.
Usipende kuonekana au kukuonyesha mbele za Watu kama Mtu Mkubwa, Mtu WA muhimu, Mtu wa Maana. Hiyo haitakusaidia zaidi itakusumbua Hapo baadaye.
Penda kuwa mtu wa Kawaida, hata kama unajijua unauwezo Fulani, unacheo Fulani, unangugu Fulani, usipende kuonyesha uwezo wako au umuhimu wako sehemu àmbayo Hakuna ulazima wa kufanya hivyo.
Onyesha uwezo wako pake àmbapo unahitajika na kûna huo ulazima wa kuuonyesha.
Umemaliza chuo Kikuu upo zako mtaani, ishi Maisha yako kama Watu Wengine wa mtaani. Siô lazima Watu wajue umesoma kama hakuna ulazima wakujua.
Kama Elimu yako itahitajika Hapo mtaani ndîo waweza kuitumia.
Watu watakutambua tuu kupitia actions zako, maneno yako watajua huyu Kijana au huyu Binti anauwezo Fulani.
Low Profile itakusaidia kuwa Flexible. Utakuwa unabadilika badilika Kulingana na Hali na mazîngira. Tofauti na kujipa high profile Kwa kujiona wamaana, wahadhi, mwenye umuhimu àmbapo kûna ishu utakuwa umejiwekea mipaka kutokufanya.
Mfano,
Kufika na kufika unajifanya unaelimu, sijui umetoka familia za kishua, au una connections za wakubwa. Hii itakusumbua sehemu kwani utashindwa kufanya Baadhi ya ishu zako.
Mfano,
Umemaliza chuo Kikuu umewambia Watu wewe unandugu weñye vyeo vikubwa hivyo unaconnection za Kazi.
Baada ya kuhitimu, Muda unasonga ajira Huna, kujiajiri unaona aibu Kwa sababu mtaji Mdogo hauwezi kufungua biashara kûbwa zinazoendana na hadhi uliyojipa.
- Kuuza Karanga hutaki,
- Kuuza Dagaa hutaki,
- Kuuza juisi hutaki.
- Kuwa dalali hutaki.
Mwisho unaingia kwèñye mtego wa mateso.
Hata kama unaconnection Huwezi kujipa High profile, connection zinaweza kukatika Kwa ghafla mahali àmbapo haujatarajia. Unashindwa kubadilika Kwa sababu tayari unaona NI fedheha kuwa chini.
Wakati nasoma chuo Kikuu pale UDSM, Kûna wanafunzi walikuwa wakihangaika kubadili nguo na viatu pamoja na Simu kwa kujipa high profile, kujipa hadhi wengi wao malengo yao makuu yakiwa ni kuwavutia Wanawake.
Jambo ambalo wengi liliwagharimu Sana. Bumu kuisha mapema, kusumbuliwa na Wanawake haohao àmbao wanawafanya wavae nguo za kîla namna ili wawavutie.
Binafsi sikuwa na nguo nyingi waliosoma na Mimi wanajua Hilo. Kiasi kwamba unaweza kuzikariri nguo zangu. Hiyo Kwangu haikuwa shida na Saikolojia ya Watu wanakuzoea vile utakavyojiweka. Watoto Wakali unachukula, na bado unaishi Low Profile, Low Key.
Mtu afanye Jambo Ikiwa analipenda na siô kufanya Jambo Kwa kujionyesha Kwa Watu au kujipa umuhimu au hadhi. Hiyo itamgeuza kuwa mtumwa.
Mfano, Mtu àmbaye yupo Low Profile hawezi kuwaza atavaa nguo gàni isipokuwa ataweza nguo iliyosafi.
Lakini anayejipa umuhimu, au hadhi lazima awe mtumwa Kwa Watu wengine. Kwani ataona akirudia nguo Fulani Watu watasema Amerudia na ataonekana Hana Pesa.
Wewe Mtu akikuona Huna Pesa unapungukiwa kitu gàni?
MTU akikuona Huna Elimu au Akili unapungukiwa Jambo gàni.
Wakati Fulani nilikuwa najifunza Kushona Nguo, Binti mmoja alikuwa akija pale ofisini mara, akawa ananitazama, kumbe alikuwa na yake. Siku Moja akaniuliza, mbona wewe ni kijana mdogo mwenye mvuto (akimaanisha handsome) why umechagua Kazi hii. Ati yeye anaona nimepotoka, hakujua ninasoma, fundi alipomwambia ninasoma Chuo Kikuu akabaki ameng'aka.
Low Profile itakupa Pesa.
Low profile itakufanya uishi vizuri mtaani.
Low profile itakusaidia kukupa data mbalimbali za kiintelejensia kuhusu fursa zitakazokusaidia kwèñye Maisha yako.
Low profile itakusaidia kupata Mchumba au mwenza Sahihi Kabisa.
NI kupitia Low Profile Watu unawajua tàbia zào vile walivyo. Yaani uhalisia wa Binadamu.
Ukishajua uhalisia wa Watu Maisha hayawezi kukusumbua Kwa sababu Maisha ni michakato ya Watu kuchangamana na kuzalisha màtukio na Matokeo.
Low profile itakufanya Watu wasijue upo kwèñye Wakati mgumu au wakati wa bata. Yaani hautabiriki.
Ukiwa na Pesa Watu hawajui ukiwa hauna Pesa Watu hawajui. Waô wanakuona upo vilevile Siku zote.
Tafsiri ya Low profile ni kujiepusha na mashindano na Watu yasiyo na ulazima, yasiyo na tija.
Low profile hata Kazini itakuepusha na vita kutoka Kwa Watu visivyo na umuhimu.
Kama hujajipa hadhi au kujiona wa Maana, au Bora niambie ni kitu gàni kinakufanya uone aibu kufanya Kazi hata ya kipato cha elfu tatu au tano Kwa Siku ujipatie kipato umeona Bora ukae tuu bila Kazi. Huoni kama unajipoteza?
Moja ya sifa ya Mzazi Bora hata kama yeye anahadhi Fulani atamfundisha Mtoto wake kuwa Low Profile.
Huo ndîo ulinzi Namba Moja Kwa Mtoto. Hata Siku Mzazi akiwa hayupo Mtoto anauwezo wa kupigana vita yoyote na akashinda.
1. Kuwa Low Profile, low Key
2. Soma mazîngira na Watu
3. Tumia mazîngira na Watu kupata Yale unayoyaona ni muhimu kwako.
4. Linda heshima na uaminifu utakaopewa na Watu lakini kamwe usilazimishe kuheshimiwa na kuaminika.
5. Usipende kupigana vita mara Kwa mara kama Hakuna ulazima, kama ukiweza piganisha maadui zako wapigane wènyewe Kwa wènyewe.
6. Shiriki kusaidia Watu wanyonge lakini weñye HAKI.
7. Saidia Watu weñye nguvu kutenda Haki.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Busara za karneLOW PROFILE NI MBINU ITAKAYOKUSAIDIA KATIKA MAPAMBANO YA MAISHA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Nilisema, usitafute Wala usilazimishe kuheshimiwa na kîla Mtu.
Nikasema, siô lazima kîla Mtu akuheshimu, nikimaanisha siô kîla heshima ni muhimu kwako.
Nasema, kîla heshima inakuja Kwa Wakati wake.
Usipende kuonekana au kukuonyesha mbele za Watu kama Mtu Mkubwa, Mtu WA muhimu, Mtu wa Maana. Hiyo haitakusaidia zaidi itakusumbua Hapo baadaye.
Penda kuwa mtu wa Kawaida, hata kama unajijua unauwezo Fulani, unacheo Fulani, unangugu Fulani, usipende kuonyesha uwezo wako au umuhimu wako sehemu àmbayo Hakuna ulazima wa kufanya hivyo.
Onyesha uwezo wako pake àmbapo unahitajika na kûna huo ulazima wa kuuonyesha.
Umemaliza chuo Kikuu upo zako mtaani, ishi Maisha yako kama Watu Wengine wa mtaani. Siô lazima Watu wajue umesoma kama hakuna ulazima wakujua.
Kama Elimu yako itahitajika Hapo mtaani ndîo waweza kuitumia.
Watu watakutambua tuu kupitia actions zako, maneno yako watajua huyu Kijana au huyu Binti anauwezo Fulani.
Low Profile itakusaidia kuwa Flexible. Utakuwa unabadilika badilika Kulingana na Hali na mazîngira. Tofauti na kujipa high profile Kwa kujiona wamaana, wahadhi, mwenye umuhimu àmbapo kûna ishu utakuwa umejiwekea mipaka kutokufanya.
Mfano,
Kufika na kufika unajifanya unaelimu, sijui umetoka familia za kishua, au una connections za wakubwa. Hii itakusumbua sehemu kwani utashindwa kufanya Baadhi ya ishu zako.
Mfano,
Umemaliza chuo Kikuu umewambia Watu wewe unandugu weñye vyeo vikubwa hivyo unaconnection za Kazi.
Baada ya kuhitimu, Muda unasonga ajira Huna, kujiajiri unaona aibu Kwa sababu mtaji Mdogo hauwezi kufungua biashara kûbwa zinazoendana na hadhi uliyojipa.
- Kuuza Karanga hutaki,
- Kuuza Dagaa hutaki,
- Kuuza juisi hutaki.
- Kuwa dalali hutaki.
Mwisho unaingia kwèñye mtego wa mateso.
Hata kama unaconnection Huwezi kujipa High profile, connection zinaweza kukatika Kwa ghafla mahali àmbapo haujatarajia. Unashindwa kubadilika Kwa sababu tayari unaona NI fedheha kuwa chini.
Wakati nasoma chuo Kikuu pale UDSM, Kûna wanafunzi walikuwa wakihangaika kubadili nguo na viatu pamoja na Simu kwa kujipa high profile, kujipa hadhi wengi wao malengo yao makuu yakiwa ni kuwavutia Wanawake.
Jambo ambalo wengi liliwagharimu Sana. Bumu kuisha mapema, kusumbuliwa na Wanawake haohao àmbao wanawafanya wavae nguo za kîla namna ili wawavutie.
Binafsi sikuwa na nguo nyingi waliosoma na Mimi wanajua Hilo. Kiasi kwamba unaweza kuzikariri nguo zangu. Hiyo Kwangu haikuwa shida na Saikolojia ya Watu wanakuzoea vile utakavyojiweka. Watoto Wakali unachukula, na bado unaishi Low Profile, Low Key.
Mtu afanye Jambo Ikiwa analipenda na siô kufanya Jambo Kwa kujionyesha Kwa Watu au kujipa umuhimu au hadhi. Hiyo itamgeuza kuwa mtumwa.
Mfano, Mtu àmbaye yupo Low Profile hawezi kuwaza atavaa nguo gàni isipokuwa ataweza nguo iliyosafi.
Lakini anayejipa umuhimu, au hadhi lazima awe mtumwa Kwa Watu wengine. Kwani ataona akirudia nguo Fulani Watu watasema Amerudia na ataonekana Hana Pesa.
Wewe Mtu akikuona Huna Pesa unapungukiwa kitu gàni?
MTU akikuona Huna Elimu au Akili unapungukiwa Jambo gàni.
Wakati Fulani nilikuwa najifunza Kushona Nguo, Binti mmoja alikuwa akija pale ofisini mara, akawa ananitazama, kumbe alikuwa na yake. Siku Moja akaniuliza, mbona wewe ni kijana mdogo mwenye mvuto (akimaanisha handsome) why umechagua Kazi hii. Ati yeye anaona nimepotoka, hakujua ninasoma, fundi alipomwambia ninasoma Chuo Kikuu akabaki ameng'aka.
Low Profile itakupa Pesa.
Low profile itakufanya uishi vizuri mtaani.
Low profile itakusaidia kukupa data mbalimbali za kiintelejensia kuhusu fursa zitakazokusaidia kwèñye Maisha yako.
Low profile itakusaidia kupata Mchumba au mwenza Sahihi Kabisa.
NI kupitia Low Profile Watu unawajua tàbia zào vile walivyo. Yaani uhalisia wa Binadamu.
Ukishajua uhalisia wa Watu Maisha hayawezi kukusumbua Kwa sababu Maisha ni michakato ya Watu kuchangamana na kuzalisha màtukio na Matokeo.
Low profile itakufanya Watu wasijue upo kwèñye Wakati mgumu au wakati wa bata. Yaani hautabiriki.
Ukiwa na Pesa Watu hawajui ukiwa hauna Pesa Watu hawajui. Waô wanakuona upo vilevile Siku zote.
Tafsiri ya Low profile ni kujiepusha na mashindano na Watu yasiyo na ulazima, yasiyo na tija.
Low profile hata Kazini itakuepusha na vita kutoka Kwa Watu visivyo na umuhimu.
Kama hujajipa hadhi au kujiona wa Maana, au Bora niambie ni kitu gàni kinakufanya uone aibu kufanya Kazi hata ya kipato cha elfu tatu au tano Kwa Siku ujipatie kipato umeona Bora ukae tuu bila Kazi. Huoni kama unajipoteza?
Moja ya sifa ya Mzazi Bora hata kama yeye anahadhi Fulani atamfundisha Mtoto wake kuwa Low Profile.
Huo ndîo ulinzi Namba Moja Kwa Mtoto. Hata Siku Mzazi akiwa hayupo Mtoto anauwezo wa kupigana vita yoyote na akashinda.
1. Kuwa Low Profile, low Key
2. Soma mazîngira na Watu
3. Tumia mazîngira na Watu kupata Yale unayoyaona ni muhimu kwako.
4. Linda heshima na uaminifu utakaopewa na Watu lakini kamwe usilazimishe kuheshimiwa na kuaminika.
5. Usipende kupigana vita mara Kwa mara kama Hakuna ulazima, kama ukiweza piganisha maadui zako wapigane wènyewe Kwa wènyewe.
6. Shiriki kusaidia Watu wanyonge lakini weñye HAKI.
7. Saidia Watu weñye nguvu kutenda Haki.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Uzuri wa low key kama ni demu akizama ndo anakuelewa vizuri. Huna mambo mengi na unamsaidia issue za msingi tu.Mimi mbona Nipo Low Profile na sinaga demu mbovu.
Kikitoka chuma kinaingia chuma itifaki zote zikiwa zimezingatiwa.
Hongera kwa andiko zuri.Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Hongera kwa andiko zuri.
Nimepanua mjadala zaidi kupitia hii video/ audio.
Video: The Power of NOT Standing Out: The Low-Profile Advantage
Tired of the constant pressure to "stand out"?
Discover the power of a low-profile approach for achieving success and fulfillment. Learn how blending in can paradoxically make you MORE noticeable and impactful.
In this video, we dive into Robert Hariel's philosophy, exploring how a low profile cultivates deeper understanding, strengthens relationships, and positions you for greater success. Stop chasing validation and start making a real difference.
Uzuri wa low key kama ni demu akizama ndo anakuelewa vizuri. Huna mambo mengi na unamsaidia issue za msingi tu.
Wanabakia kuambiana tu mtibeli bonge la kaka. Wanaanza kusubilishanasasa 😀😀😀
Ila umeelewa maana yangu Mtibeli?Pole Sana
Nimetoka na kitu kikubwa sana
Ila umeelewa maana yangu Mtibeli?
Low profile, katika Buddhism na Hinduism low profile inaitwa "sunyata".
Now tell me,kwa maana hiyo neno lao "sunyata" linatofautiana na neno la Kiswahili "sunyata.
Actually hakuna tofauti yoyote.
Nikisema "low profile" nina maana tabia ya mtu ambaye,kwa mfano,anataka kupindua Serikali,au kuiba benki,au kutoroka jela,au mwanafunzi anataka kuepuka kuchapwa viboko na headmaster.
hahahaa hao ndugu zangu hadi wananikera mimi. mimi watu wengi nikiwaambia mhaya wanakataa. Maana sina tabia za kihaya kabisa
Bonge la elimu hii 👍👍👍LOW PROFILE NI MBINU ITAKAYOKUSAIDIA KATIKA MAPAMBANO YA MAISHA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Nilisema, usitafute Wala usilazimishe kuheshimiwa na kîla Mtu.
Nikasema, siô lazima kîla Mtu akuheshimu, nikimaanisha siô kîla heshima ni muhimu kwako.
Nasema, kîla heshima inakuja Kwa Wakati wake.
Usipende kuonekana au kukuonyesha mbele za Watu kama Mtu Mkubwa, Mtu WA muhimu, Mtu wa Maana. Hiyo haitakusaidia zaidi itakusumbua Hapo baadaye.
Penda kuwa mtu wa Kawaida, hata kama unajijua unauwezo Fulani, unacheo Fulani, unangugu Fulani, usipende kuonyesha uwezo wako au umuhimu wako sehemu àmbayo Hakuna ulazima wa kufanya hivyo.
Onyesha uwezo wako pake àmbapo unahitajika na kûna huo ulazima wa kuuonyesha.
Umemaliza chuo Kikuu upo zako mtaani, ishi Maisha yako kama Watu Wengine wa mtaani. Siô lazima Watu wajue umesoma kama hakuna ulazima wakujua.
Kama Elimu yako itahitajika Hapo mtaani ndîo waweza kuitumia.
Watu watakutambua tuu kupitia actions zako, maneno yako watajua huyu Kijana au huyu Binti anauwezo Fulani.
Low Profile itakusaidia kuwa Flexible. Utakuwa unabadilika badilika Kulingana na Hali na mazîngira. Tofauti na kujipa high profile Kwa kujiona wamaana, wahadhi, mwenye umuhimu àmbapo kûna ishu utakuwa umejiwekea mipaka kutokufanya.
Mfano,
Kufika na kufika unajifanya unaelimu, sijui umetoka familia za kishua, au una connections za wakubwa. Hii itakusumbua sehemu kwani utashindwa kufanya Baadhi ya ishu zako.
Mfano,
Umemaliza chuo Kikuu umewambia Watu wewe unandugu weñye vyeo vikubwa hivyo unaconnection za Kazi.
Baada ya kuhitimu, Muda unasonga ajira Huna, kujiajiri unaona aibu Kwa sababu mtaji Mdogo hauwezi kufungua biashara kûbwa zinazoendana na hadhi uliyojipa.
- Kuuza Karanga hutaki,
- Kuuza Dagaa hutaki,
- Kuuza juisi hutaki.
- Kuwa dalali hutaki.
Mwisho unaingia kwèñye mtego wa mateso.
Hata kama unaconnection Huwezi kujipa High profile, connection zinaweza kukatika Kwa ghafla mahali àmbapo haujatarajia. Unashindwa kubadilika Kwa sababu tayari unaona NI fedheha kuwa chini.
Wakati nasoma chuo Kikuu pale UDSM, Kûna wanafunzi walikuwa wakihangaika kubadili nguo na viatu pamoja na Simu kwa kujipa high profile, kujipa hadhi wengi wao malengo yao makuu yakiwa ni kuwavutia Wanawake.
Jambo ambalo wengi liliwagharimu Sana. Bumu kuisha mapema, kusumbuliwa na Wanawake haohao àmbao wanawafanya wavae nguo za kîla namna ili wawavutie.
Binafsi sikuwa na nguo nyingi waliosoma na Mimi wanajua Hilo. Kiasi kwamba unaweza kuzikariri nguo zangu. Hiyo Kwangu haikuwa shida na Saikolojia ya Watu wanakuzoea vile utakavyojiweka. Watoto Wakali unachukula, na bado unaishi Low Profile, Low Key.
Mtu afanye Jambo Ikiwa analipenda na siô kufanya Jambo Kwa kujionyesha Kwa Watu au kujipa umuhimu au hadhi. Hiyo itamgeuza kuwa mtumwa.
Mfano, Mtu àmbaye yupo Low Profile hawezi kuwaza atavaa nguo gàni isipokuwa ataweza nguo iliyosafi.
Lakini anayejipa umuhimu, au hadhi lazima awe mtumwa Kwa Watu wengine. Kwani ataona akirudia nguo Fulani Watu watasema Amerudia na ataonekana Hana Pesa.
Wewe Mtu akikuona Huna Pesa unapungukiwa kitu gàni?
MTU akikuona Huna Elimu au Akili unapungukiwa Jambo gàni.
Wakati Fulani nilikuwa najifunza Kushona Nguo, Binti mmoja alikuwa akija pale ofisini mara, akawa ananitazama, kumbe alikuwa na yake. Siku Moja akaniuliza, mbona wewe ni kijana mdogo mwenye mvuto (akimaanisha handsome) why umechagua Kazi hii. Ati yeye anaona nimepotoka, hakujua ninasoma, fundi alipomwambia ninasoma Chuo Kikuu akabaki ameng'aka.
Low Profile itakupa Pesa.
Low profile itakufanya uishi vizuri mtaani.
Low profile itakusaidia kukupa data mbalimbali za kiintelejensia kuhusu fursa zitakazokusaidia kwèñye Maisha yako.
Low profile itakusaidia kupata Mchumba au mwenza Sahihi Kabisa.
NI kupitia Low Profile Watu unawajua tàbia zào vile walivyo. Yaani uhalisia wa Binadamu.
Ukishajua uhalisia wa Watu Maisha hayawezi kukusumbua Kwa sababu Maisha ni michakato ya Watu kuchangamana na kuzalisha màtukio na Matokeo.
Low profile itakufanya Watu wasijue upo kwèñye Wakati mgumu au wakati wa bata. Yaani hautabiriki.
Ukiwa na Pesa Watu hawajui ukiwa hauna Pesa Watu hawajui. Waô wanakuona upo vilevile Siku zote.
Tafsiri ya Low profile ni kujiepusha na mashindano na Watu yasiyo na ulazima, yasiyo na tija.
Low profile hata Kazini itakuepusha na vita kutoka Kwa Watu visivyo na umuhimu.
Kama hujajipa hadhi au kujiona wa Maana, au Bora niambie ni kitu gàni kinakufanya uone aibu kufanya Kazi hata ya kipato cha elfu tatu au tano Kwa Siku ujipatie kipato umeona Bora ukae tuu bila Kazi. Huoni kama unajipoteza?
Moja ya sifa ya Mzazi Bora hata kama yeye anahadhi Fulani atamfundisha Mtoto wake kuwa Low Profile.
Huo ndîo ulinzi Namba Moja Kwa Mtoto. Hata Siku Mzazi akiwa hayupo Mtoto anauwezo wa kupigana vita yoyote na akashinda.
1. Kuwa Low Profile, low Key
2. Soma mazîngira na Watu
3. Tumia mazîngira na Watu kupata Yale unayoyaona ni muhimu kwako.
4. Linda heshima na uaminifu utakaopewa na Watu lakini kamwe usilazimishe kuheshimiwa na kuaminika.
5. Usipende kupigana vita mara Kwa mara kama Hakuna ulazima, kama ukiweza piganisha maadui zako wapigane wènyewe Kwa wènyewe.
6. Shiriki kusaidia Watu wanyonge lakini weñye HAKI.
7. Saidia Watu weñye nguvu kutenda Haki.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kwa nini? Hujaelewa?Umeeleza kimaster zaidi
UZI BORA KABISA lakini uswazi sometimes wanachanganya mambo kiasi kwamba huelewi low profile ni ipi na high profile ni ipi. Nitatoa mifano ifuatayo:-LOW PROFILE NI MBINU ITAKAYOKUSAIDIA KATIKA MAPAMBANO YA MAISHA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Nilisema, usitafute Wala usilazimishe kuheshimiwa na kîla Mtu.
Nikasema, siô lazima kîla Mtu akuheshimu, nikimaanisha siô kîla heshima ni muhimu kwako.
Nasema, kîla heshima inakuja Kwa Wakati wake.
Usipende kuonekana au kukuonyesha mbele za Watu kama Mtu Mkubwa, Mtu WA muhimu, Mtu wa Maana. Hiyo haitakusaidia zaidi itakusumbua Hapo baadaye.
Penda kuwa mtu wa Kawaida, hata kama unajijua unauwezo Fulani, unacheo Fulani, unangugu Fulani, usipende kuonyesha uwezo wako au umuhimu wako sehemu àmbayo Hakuna ulazima wa kufanya hivyo.
Onyesha uwezo wako pake àmbapo unahitajika na kûna huo ulazima wa kuuonyesha.
Umemaliza chuo Kikuu upo zako mtaani, ishi Maisha yako kama Watu Wengine wa mtaani. Siô lazima Watu wajue umesoma kama hakuna ulazima wakujua.
Kama Elimu yako itahitajika Hapo mtaani ndîo waweza kuitumia.
Watu watakutambua tuu kupitia actions zako, maneno yako watajua huyu Kijana au huyu Binti anauwezo Fulani.
Low Profile itakusaidia kuwa Flexible. Utakuwa unabadilika badilika Kulingana na Hali na mazîngira. Tofauti na kujipa high profile Kwa kujiona wamaana, wahadhi, mwenye umuhimu àmbapo kûna ishu utakuwa umejiwekea mipaka kutokufanya.
Mfano,
Kufika na kufika unajifanya unaelimu, sijui umetoka familia za kishua, au una connections za wakubwa. Hii itakusumbua sehemu kwani utashindwa kufanya Baadhi ya ishu zako.
Mfano,
Umemaliza chuo Kikuu umewambia Watu wewe unandugu weñye vyeo vikubwa hivyo unaconnection za Kazi.
Baada ya kuhitimu, Muda unasonga ajira Huna, kujiajiri unaona aibu Kwa sababu mtaji Mdogo hauwezi kufungua biashara kûbwa zinazoendana na hadhi uliyojipa.
- Kuuza Karanga hutaki,
- Kuuza Dagaa hutaki,
- Kuuza juisi hutaki.
- Kuwa dalali hutaki.
Mwisho unaingia kwèñye mtego wa mateso.
Hata kama unaconnection Huwezi kujipa High profile, connection zinaweza kukatika Kwa ghafla mahali àmbapo haujatarajia. Unashindwa kubadilika Kwa sababu tayari unaona NI fedheha kuwa chini.
Wakati nasoma chuo Kikuu pale UDSM, Kûna wanafunzi walikuwa wakihangaika kubadili nguo na viatu pamoja na Simu kwa kujipa high profile, kujipa hadhi wengi wao malengo yao makuu yakiwa ni kuwavutia Wanawake.
Jambo ambalo wengi liliwagharimu Sana. Bumu kuisha mapema, kusumbuliwa na Wanawake haohao àmbao wanawafanya wavae nguo za kîla namna ili wawavutie.
Binafsi sikuwa na nguo nyingi waliosoma na Mimi wanajua Hilo. Kiasi kwamba unaweza kuzikariri nguo zangu. Hiyo Kwangu haikuwa shida na Saikolojia ya Watu wanakuzoea vile utakavyojiweka. Watoto Wakali unachukula, na bado unaishi Low Profile, Low Key.
Mtu afanye Jambo Ikiwa analipenda na siô kufanya Jambo Kwa kujionyesha Kwa Watu au kujipa umuhimu au hadhi. Hiyo itamgeuza kuwa mtumwa.
Mfano, Mtu àmbaye yupo Low Profile hawezi kuwaza atavaa nguo gàni isipokuwa ataweza nguo iliyosafi.
Lakini anayejipa umuhimu, au hadhi lazima awe mtumwa Kwa Watu wengine. Kwani ataona akirudia nguo Fulani Watu watasema Amerudia na ataonekana Hana Pesa.
Wewe Mtu akikuona Huna Pesa unapungukiwa kitu gàni?
MTU akikuona Huna Elimu au Akili unapungukiwa Jambo gàni.
Wakati Fulani nilikuwa najifunza Kushona Nguo, Binti mmoja alikuwa akija pale ofisini mara, akawa ananitazama, kumbe alikuwa na yake. Siku Moja akaniuliza, mbona wewe ni kijana mdogo mwenye mvuto (akimaanisha handsome) why umechagua Kazi hii. Ati yeye anaona nimepotoka, hakujua ninasoma, fundi alipomwambia ninasoma Chuo Kikuu akabaki ameng'aka.
Low Profile itakupa Pesa.
Low profile itakufanya uishi vizuri mtaani.
Low profile itakusaidia kukupa data mbalimbali za kiintelejensia kuhusu fursa zitakazokusaidia kwèñye Maisha yako.
Low profile itakusaidia kupata Mchumba au mwenza Sahihi Kabisa.
NI kupitia Low Profile Watu unawajua tàbia zào vile walivyo. Yaani uhalisia wa Binadamu.
Ukishajua uhalisia wa Watu Maisha hayawezi kukusumbua Kwa sababu Maisha ni michakato ya Watu kuchangamana na kuzalisha màtukio na Matokeo.
Low profile itakufanya Watu wasijue upo kwèñye Wakati mgumu au wakati wa bata. Yaani hautabiriki.
Ukiwa na Pesa Watu hawajui ukiwa hauna Pesa Watu hawajui. Waô wanakuona upo vilevile Siku zote.
Tafsiri ya Low profile ni kujiepusha na mashindano na Watu yasiyo na ulazima, yasiyo na tija.
Low profile hata Kazini itakuepusha na vita kutoka Kwa Watu visivyo na umuhimu.
Kama hujajipa hadhi au kujiona wa Maana, au Bora niambie ni kitu gàni kinakufanya uone aibu kufanya Kazi hata ya kipato cha elfu tatu au tano Kwa Siku ujipatie kipato umeona Bora ukae tuu bila Kazi. Huoni kama unajipoteza?
Moja ya sifa ya Mzazi Bora hata kama yeye anahadhi Fulani atamfundisha Mtoto wake kuwa Low Profile.
Huo ndîo ulinzi Namba Moja Kwa Mtoto. Hata Siku Mzazi akiwa hayupo Mtoto anauwezo wa kupigana vita yoyote na akashinda.
1. Kuwa Low Profile, low Key
2. Soma mazîngira na Watu
3. Tumia mazîngira na Watu kupata Yale unayoyaona ni muhimu kwako.
4. Linda heshima na uaminifu utakaopewa na Watu lakini kamwe usilazimishe kuheshimiwa na kuaminika.
5. Usipende kupigana vita mara Kwa mara kama Hakuna ulazima, kama ukiweza piganisha maadui zako wapigane wènyewe Kwa wènyewe.
6. Shiriki kusaidia Watu wanyonge lakini weñye HAKI.
7. Saidia Watu weñye nguvu kutenda Haki.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam