Low Profile ni Mbinu itakayokusaidia katika mapambano ya Maisha

Low Profile ni Mbinu itakayokusaidia katika mapambano ya Maisha

Hiyo ni Moja ya mbinu Bora

Lakini nakushauri
Usitumie njia Moja tu
Hata mkwara Kuna sehemu unakuvusha
Wanasema, pesa huna hata mkwala?

Vijana changanya mbinu
Tusiamin katika uhalisia na unyonge pekee

Unaweza pata favor ya kupata pesa na kula pisi kali Kwa kuvimba tu

Shida ya kuvimba ni Ushindi wa kutangulia Kwa baiskel ya mabua. Huko mbele wahuni wanaitia Kiberiti ndîo unasikia Kilio
 
Yeah kama NI mechi ya mchangani ni Sahihi Kabisa ila kama NI mechi zile zinazoingia kwèñye rekodi hiyo siô njia sahihi
Hakika
Sisi wenye kazi za kusafiri na kupiganisha
Ukileta unyonge imekwisha
Useme ww ni yatima, sijui jobless, huna connection n.k
Utakwama
Piga uongo vimba fanikisha jambo lako, tembea
 
Low profile uswazi haifanyi kazi iyo formula mkuu, ukitaka uchapiwe mke au watoto wako wateseke na kila mtu kuwaonea jifanye low profile.......

Huku ni mwendo wa warthog a.k.a mwendo wa ngiri hakuna kurud nyuma ukiweka jiwe mim naweka chuma chenye kutu........
Kuna mwenzako kitaani kajiinua kama anayaweza wazee wa busara wamemtia ulemavu wa macho

Leo anajuta kujiinua mbele ya wazee
 
Kwanini mtu "upambane na maisha? kwani ulijileta mwenyewe hapa duniani?

Mfumo wa maisha kamili tayari Muumba wetu katupa, tuufate tu huo, hatuna haja ya kupambana wala kujiumiza vichwa. Kila kitu tumeumbiwa sisi tukitumie na vipi tuishi tumeshapewa Mwongozo.

hatuna kabisa sababu ya "kupambana" na maisha.
Watu wasingekufa na njaa
 
Hii haiwahusu wale jirani zake na mimi kina nshomile,, huu mtihani walipata F wale watu wanajua kujigamba bwana, japo wapo wachache mno wanaoweza kuuishi huu uzi
 
Ni ukweli wabongo kiasili hawapendi watu wanaojisifia ila watu wana namna yao ya kukuvuruga
 
Back
Top Bottom