Lowasa, huu ndiyo ungekuwa Uraisi wake, hii ni version yake!

Lowasa, huu ndiyo ungekuwa Uraisi wake, hii ni version yake!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Kama Lowasa angeshinda Uraisi hiki kinachotokea sasa kingeshatokea tangia 2015-2020, kwa maana marafiki wa Lowasa ambao walikuwa wanadhamini Kampeni zake za Uraisi ndiyo wanaouza Bandari yetu leo ingawaje hamuwaoni pichani lkn ndio wanao pull strings, hao mnaowaona wanabwabwaja ni watumwa tu na wanatumika kama vile sisi tunavyotumika, …
 
Lowassa hana mashemeji uarabuni, usimsingizie.
Utatu...boys II men...Rosta, Edo & Mstaafu...hawa hawakukutana barabarani...
Hata TICS yenyewe ilikua ya Karamagi mshirika mkubwa wa Edo.
 
Back
Top Bottom