1.
Let's deal with the facts here, won't we? Hatujui kama Lowassa aliondolewa na Rais. Tunajua aliandika barua ya kujiuzulu.
- Siasa haitengenezwi na facts peke yake, ndio maana huwa haina permanent truths, huwezi kusema ni a political fact kwamba rais wetu hakujua anything in advance kuhusu Membe na maneno ya OIC, sasa kuna facts ambazo zikionekana kwenye siasa huwa zinatabiri ukweli unaokuja katika siasa na hakuna sheria yoyote inayoweza kuvunjwa kwa mwananchi au wanaohusika kufanya huo utabiri na hakuna dhambi pia iwapo watadai credit kwa utabiri wao baada ya poliitical fact waliyoitabiri itatokea as of this case.
- Kabla ya kwenda Dodoma, tayari kulikuwa na speculations kwamba Mwakyembe, ana ripoti ambayo ina madudu mazito against marafiki wa rais, na kwamba rais mwenyewe in private ameruhusu Mwakyembe aipeleke bungeni kama ilivyo, sasa lets say ulikuwa ni uongo, rais alikwenda Dodoma kufanya nini wakati wa ripoti kutolewa bungeni?
- Kwa hiyo yes, tunaweza ku-discuss facts, lakini hakuna dhambi ku-discuss utabiri wa political facts yaani speculations za kuelekea kwenye, political facts zenyewe, unless kuna something else hapa hakijasemwa zaidi ya kujificha nyuma ya the so called "tujadili facts!"
2
. Kuhusu u-hero wa kuachia madaraka mwenyewe, Lowassa amejiharibia mwenyewe kihistoria maana alisema anajiondoa kwa sababu "tatizo ni Uwaziri Mkuu." Alizira, kama anavyosema Mwanakijiji. Asingejitoa sababu ya "Uwaziri Mkuu," akasema "mimi sina makosa lakini naondoka kwa sababu ofisi yangu imeshachafuliwa" labda hapo tungempa credit kwa kuachia madaraka kwa kuheshimu ofisi.
- Hapa tupo ukurasa mmoja.
3.
Unwisdom ya Lowassa, ni kwamba, while in public ametangaza kuzira, officially sidhani kama kwenye barua kwa Rais alimwambia kwamba "naondoka kwa sababu hawa watu wana fitina na cheo cha Uwaziri Mkuu." Kwa hiyo, in the public eye, kajiharibia bure tu.
- Again hapa tupo ukurasa mmoja.
4.
But then again, inawezekana kweli aliandika hivyo kwa Rais. Kuna mtu ameshawahi kuuliza Ikulu itoe nakala ya barua ya Lowassa ? Kwa crummy press ya Bongo sidhani. Hata tukio la kihistoria kama lile, hakuna hata kiumbe kimoja kati ya Waandishi wa Bongo aliyetaka kumuuuliza Rais kwamba aliambiwa nini kwenye barua ya Lowassa. Wanatudanganya "Rais amevunja baraza la Mawaziri." Amevunja vipi wakati limevunjika lenyewe automatically ?
- Wakati mbunge Masilingi, alipodai muongozo wakati wa kikao baada ya Lowassa kusema ameachia ngazi, Spika aliwakumbusha wabunge wote kua Lowassa bado ni Waziri Mkuu, mpaka Rais atakapotangaza kukubali barua yake ya kujiuzulu na akwakumbusha wabunge kwua rais amemfahamisha tayari yeye Spika, kuhusu kupokea barua ya kujiuzulu ya Lowassa.
- Tanzania tulishawahi kuwa na tabia za kutoa barua za viongozi wakuu kujiuzulu hadharani, I do not think so, sasa is it kwa sababu waandishi hawajawahi kuomba? I mean it is another million dollars question!
5.
Unless Kikwete alikataa ku sign barua ya Lowassa, akatengua baraza na Lowassa akiwemo, ili officially awe ameondolewa kwa kubadilishwa tu, kama vile Warioba au Msuya n.k. But, again, who knows in this country !
Kama unamaana hiyo, FMES, hapo inawekuwa sawa. Lakini sio kwa vigezo vya michongo ya Lowassa kukosa uwanja wa ndege basi Kikwete kamfukuza. Hiyo ni speculation ambayo hujui kama ni kweli.
- A sitting Rais wa Jamhuri anapokwenda mahali ambapo kuna a sitting Waziri Mkuu wake, kwa wale tunaofahamu vizuri ni excuse chache sana kama zipo kisheria za protocol zinaweza kukubalika, na katika hali ya mazingara haya ya kutolewa kwa ripoti bungeni inayomhusu Waziri Mkuu, alipokosa kuwepo uwanjani watabiri wengi wa siasa mimi nikiwa mmojawapo, tulitabiri kwamba ni dalili tosha kwamba mkuu yuko njiani kuondoka, and he did aliishia kuondoka kweli kama tulivyotabiri, sasa tatizo lako mkuu hapa liko wapi? Where?
Hayo mengine ya kutengua barua I have no clue umeyapata wapi? Kama the ishu ni kutoka kwa Lowassa, unataka kusema kwamba rais hakua anajua in advance kabla ya kwenda Dodoma? Na kwamba ilitokea tu kwa bahati mbaya au nzuri? Na hii ilitokea kwenye siasa za Tanzania?
Sometimes tukitumia hata common sense kidogo tu tunaweza kusaidia kutopoteza muda wa wananchi hapa JF.