Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Richmond richmond richmond. We are so tired with this dude richmond. How about meremeta,iptl and other big scandals. I am stil believe that, most of ccm members are not clean. What hapen now in magamba party is due to prensidential aspiration in 2015. Over
 

Afadhali best unisaidie,kweli tuanze kujadili hoja ya kamati ya richmond leo....!cha kushangaza sasa wote waliohusika walalamikaji kwa walalamikiwa wameshashika na nyadhifa nyingine tena vyeti tu. Kupotezeana nafasi za kufikiri tu Richmond toka mwaka 2007 leo 2011. Humumu tayari na kumetolewa mwanya ambaye hajaridhika apeleke ushahidi .......tunajadili nini sasa?????????
 
Wewe mngese peleka makundi yako kwa magamba wenzio kwa watu smart kama sisi tushajuwa kuwa wewe gamba janga la kitaifa so kama kakutuma ba@sha wako wa msoga mwambie mkajipange ziwe nyie.

Toka jana kuna wapenzi na mashabiki wa CCM waliokuwa wanamshambulia Lowasa wamepotea JF.
 
Jk na Lowasa ni maswaiba wa siku nyingi wala msitegemee kama wanaweza kukeukana leo! CCM imeoza na kunuka imeanza kilichobaki ni kuzikwa tu! na mazishi yao yanakuja! Mafisafi makubwa haya! Magamba yanawashinda kuvua kwani ni magumu sana! Nyambafu zao! lazima tuwasafishe wote. Watausikia uras bombani tu!
 
EL will never get away with this.....JK will hit back hard, very very hard!

Mdahalo utakuwa djubilee atawaita wazee wa ccm, ajibu mapigo na kushangiliwa.
 
Naomba ninukuu baadhi ya maneno yake wakati ana-redesign (strategies), alisema "kama wote tutaamuwa kuchafuwana, hakuna atakeyebaki". Mwisho wa kunukuu. The guy is the smartest i ever seen in third world politics. He will get there. Mark my word.
 

Mkuu mi nawashangaa sana humu mashabiki wa Lowassa. Maana kama ni mpira upo half time, halafu yuko nyuma kwa goli
moja,... kwa vile mpira bado unadunda lolote linaweza kutokea kwenye CC, ila si jambo la kushangilia kabisa kwa mashabiki wa Lowassa kwa issue ya gamba kurudishwa CC. Wangeiua na kuizika palepale kwenye Nec.

Kumbuka azimio la gamba ndio litawaongoza wajumbe wa CC na azimio la kujivua gamba halikutamka ushahidi wa kimahakama, limeongelea wale "wanao tajwatajwa kwenye kashfa" na wananchi.. Kama bado kuna mtu anategemea ushahidi wa kimahakama you better go figure chenga ya mwili aliyopigwa Lowassa.

CC haina wenyeviti na makatibu wa mikoa(watu wake ni almost 3/4 ya kundi hili), haina wabunge wake(ambao ni wote kumi wanaowakilisha bunge Nec), haina wajumbe wa UVCCM except Kaimu Mwenyekiti Malissa(Nec alikua na wajumbe 10 kati ya 12 wa UVCCM), kwa kifupi he has a mountain to climb. Sanasana amebaki Malissa, Pindi Chana, na January Makamba, Khatib haeleweki, Wassira haeleweki na Mwenyekiti haeleweki. Wajumbe wa CC waliobaki wote si watu wa njaa ya kumtumikia mtu binafsi...
 
Well said. This is absolutely true.
 
Jana Mh. Lowasa alimwambia Kikwete kwenye kikao cha NEC kuwa alipotaka kuvunja Mkataba na Richmond Kikwete alimzuia. Rais Kikwete aliwahi kutuambia Watanzania February mwaka huu wakati akihutubia Wananchi wa Dodoma wakati wa maadhimisho ya miaka 34 ya CCM kuwa hawajui Richmond wala Dowans. Sasa wandugu Rais wetu ametudanganya Watanzania au vipi? Ninauzoefu wa maneno yasiyodhibiti ya Rais wetu. Sasa na hili nalo limenishtua tena tufanyeje Rais ajue hatupendi kudanganywa?
 
Msema kweli mtu wa Mungu..Bora Lowassa kuliko JK kwa matendo....angekuwa na maamuzi magumu,,,,no Sharobaro
 

Pole mkuu! looks like u dont have a clear picture of what Richmond is! Bila JK Richmond isingekuwepo, that is a naked truth!
 
Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiigweeeeeee!
 
we mjinga! Jifunike kichwani maana naona umeacha blanketi likashuka sakafuni. Halafu morning uje humu jamvini. Unakurupuka tu!

Hii issue ya magamba inawafanya watu wawe na hasira sana!Sijui ni kwa nini!
 
we mjinga! Jifunike kichwani maana naona umeacha blanketi likashuka sakafuni. Halafu morning uje humu jamvini. Unakurupuka tu!

Acha kutoka povu wewe bwawa la maini,mzalendo mwenzio kauliza tu ajuzwe,hujui hali yake na yupo wapi...acha kujifanya unajua kuropokea wenzio...tabia chafu sana hiyo!
 
Kwa sababu walimsema sana Lowassa na kuona wengine CCM ni safi...sasa aibu inakuja taratibu :A S 465:utaona na kusikia mengi tu
 

Rangi zenu wanafiki zinaanza kujionyesha taratibu..bomu hili ulitakiwa kulichukua na kwenda nalo vizuri...hata kama uko upande wa JK!!! JK kaanikwa hakuna logic ya Lowasa kuhukumiwa wakati kila kitu JK alijua na ndiye bosi wake! RICHMOND=JK! kama hutaki muulize Dr. Slaa..mbaya zaidi JK anamtuma Nape akamchafue Lowasa!

My friend sasa hivi WAPINZANI WA CCM NI NYIE WENYEWE CCM! tutasikia na kuona mengi..hajaja mtoto wa Membe anaitwa Mbopo, bado dada yako mtoto wa JK FaizaFoxy......mbona JF RRRAHA!!!

CDM kazi rahisi tu hapa!
 


Mkuu leo umeshikwa pabaya..rudisha mood yako, unaaibika..

If Lowasa mwizi then sema Lowasa na Kikwete ni wezi!!!

ulijiaminisha uliandika, unaona mambo yanageuka unabwabwaja

Nyerere siyo bible wala quran tena siyo pythogoras theorem..this is politics!!

RICHMOND=JK! sema lingine mnafiki mkubwa we!
 

Waberoya wewe huyo? nendeni taratibu...
 

kamanda we waache watakuja tena hapa kulia lia oooh kaonewa,lowassa mzee wangu namuheshimu sana lakini kiukweli maji yako shingoni,hakutegemea lile suala kuvuka mstari wa nec akijiaminisha anawafuasi wengi nec ambao wangemtetea,toka jana namtafute kwenye simu hapokei na kama humu ndani kuna mtu anajuana na yule mzee aniambe hapa kama anapokea simu,na sio kawaida yake kwa tunaomjua,hii ya kujifanya kushangilia ni mkakati walioupanga watu wake kwamba mambo yakienda ndivyo sivyo wao watateka media na mitandao kama hii ili kuwachanganya watu na cc itoke kwenye mstari kwa kitisho kwamba wananchi hawataielewa cc ikimvua gamba,strategy dhaifu ambayo sidhani kama itafanikiwa!

Suala la nape na chiligati eti watashughulikiwa ni kumfuta machozi lowassa tu aone chama kiko fair,lakini watapewa onyo tu,habari ndio hiyo,chukueni maneno yangu mje mnihukumu huko mbele kama haya niyasemayo hayatatokea!mnojuana na januari makamba muulizeni nini kilimpata alipojaribu kusimama mkutanoni nec na kutaka kushawishi hoja ya gamba izimwe!ile haizimiki tena wadau achaneni na propaganda za wapambe wa lowassa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…