Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

..napinga, hajajenga hoja.

..hoja ya Lowassa ni KUVUNJA mkataba, siyo KUZUIA mkataba.

..mkataba unaovunjwa ni ule uliosainiwa tayari!!!!

..makosa ya Lowassa ilikuwa ni pamoja na kwenda kinyume na maagizo ya baraza la mawaziri.

..sasa aliyempa mamlaka hayo ni nani kama siyo Raisi aliyemteua?

..naendelea kusisitiza kwamba KIKWETE na LOWASSA ndiyo wahusika wa RICHMOND.

JokaKuu, unapinga nini na unaunga mkono nini? Mtoa hoja anamwambia Lowassa madudu aliyafanya kati ya Aprili na Juni. Wazo lake la kuvunja mkataba lilikuja mwezi wa nane, miezi miwili baada ya mkataba kati ya Richmond na TANESCO kusainiwa. Kwa hiyo hawezi kukwepa lawama kwa kisingizio cha kutaka kuvunja mkataba. Sasa Mkuu, swala la kumwingiza Kikwete humo ni lako, si la mtoa hoja!
 
Lowassa ametumbukia kwenye pipa la lami. Anachojaribu kukifanya ni kujisafisha kwa sabuni, kamwe hawezi kutakata

pia its too late kama alitaka urais asahau na kurudisha shukrani monduli kumpa ubunge kwa muda wote mrefu alokuwepo MP
 
el yuko sawa kama akihukumiwa then m'k'w'ere must also be on knife edge.
 
Ndugu samahani kukuudhi lakini sorry,unayoizungumzia ilitolewa kwenye mkutano wa NEC CCM na taarifa ya kamati iliongozwa na kuwakilishwa na CCM, nafikiri JF sio mahali pake wewe ungejibu ndani ya NEC au Wangejibu wana CCM wa upande wa Kamati waliokuwa NEC. Hivyo sioni uhalali wa hoja yako hii humu JF .

Duh! Mkuu, kama wewe taarifa hiyo inakupa kichefuchefu, mezea! Tuachie wenzako tunaoelimika kwa hoja na taarifa mbalimbali zinazobubujika humu! Usisahau kuwa hii ni forum "where we dare talk openly"!
 
Atautoa wapi ushahidi wakati bunge na hansad zinamsafisha EL hii maana yake ni kwamba hana cheo ni sawa na kuambiwa na mganga upeleke miguu ya nyoka ili mgojwa apone.
Haaahaaahaaaa! Asante mkuu, naenda kutafuta MIGUU YA NYOKA! Nikiipata narudi kwenye huu uzi kuchangia..!!
 
inafahamika wazi ya kua gamba ni kuanzia rais mwenyewe jk. Ni upunguani kujaribu kijivua gamba ambapo asilimia 99 ya viongozi wa ccm na serikali ni magamba!mungu ibariki tanzania
I really like you guy,umepiga konzi kali la rohoni, wanaogopa kumtoa kwa sababu wote wamo humo! Na hili litawala mpaka mwisho magamba hawa ngoja tuzidi kuwamwangia mafuta!
 
EL will come good, and I wish him all the best to come good!
 
kalengamab said:
JokaKuu,

unapinga nini na unaunga mkono nini?

Kalengamab,

..naunga mkono hoja kwamba KIKWETE na LOWASSA ndiyo vinara wa RICHMOND.

..pia ripoti za tume za maadili ya chama za Paul Sozigwa na Philip Mangula ziwekwe hadharani.
 
Tukikumbuka hitimisho la ripoti ya Dr. Mwakembe na tukiunganisha na lalamiko la Lowasa tunapata jibu Ki kwete ndo muhusika mkuu! yeye ndo alienda USA kukaamilisha dili na hata pesa ya DOWANS ni yake na washirika wake
 
Duh! Mkuu, kama wewe taarifa hiyo inakupa kichefuchefu, mezea! Tuachie wenzako tunaoelimika kwa hoja na taarifa mbalimbali zinazobubujika humu! Usisahau kuwa hii ni forum "where we dare talk openly"!

Kaka hoja hizi hazina mshiko tu kishasema kama mtu anaushahidi apeleke na rais kasema mwenyenao apelekee sasa kama kamati wanaushaidi si wapeleke...haisaiddiii hata tukijua vipi ishatoka hiyo.
 
Bado mnajadili kuhusu EL karibuni moja moto na moja baridi mpooze stress zenu. Wenzenu wanawachezea akili tu hakuna kengine.
 
Hebu Jiulizeni tangu JK aingie madarakani amekutana na ama rais wa marekani au mstaafu mara ngapi? linganisha na watangulizi wake. Baada ya hapo jiulize swali la msing kwamba mama Clinton alipokuja Tanzania alienda kutembelea mitambo iliyonunuliwa kutoka DOWANS kwenda simbion. kuna miradi mingapi inayotumia mapesa au uwekezaji wa raia wa marekani ambayo angeweza kuitembelea nje ya hilo DOWANS ambalo ni tata? then unganishs na uswahiba wa JK na viongozi wa USA!!
 
Duh! Mkuu, kama wewe taarifa hiyo inakupa kichefuchefu, mezea! Tuachie wenzako tunaoelimika kwa hoja na taarifa mbalimbali zinazobubujika humu! Usisahau kuwa hii ni forum "where we dare talk openly"!

Lowasa fever! Huyo ndiye mgombea wenu 2015.
 
Hizi kauli za Lowasa bado mbichi sana, acha watanzania wakalale na kulifikiria hili vizuri,
Mungu hajatuacha kabisa kabisa, atatupatia busara tu. mpaka sasa naamini kama
Lowasa ndio ameliharibu hili swala zaidi, yaani naona kama karusha mavi angani vile.

Naona wachangiaji wengi mna chuki na Lowassa. Alichokifanya yeye ni kumshtaki mwenyekiti wake mbele ya NEC yao. Na alijua kuwa kuwa JK asingeweza kujibu 'on spot' kwa sababu pale amekaa kama mwenyekiti na si rais. Nionavyo mimi Lowassa hajalikoroga na katika macho ya wengi kajipatia baraka kidogo huku akimwachia vumbi JK. Hili ni 'game' la paka na panya na likiendelea hivi hadi 2015 Lowassa aweza kuwa mheshimiwa rais. Kama CCM wana nia ya dhati ya kuonesha ufisadi wa Lowassa, kwa nini wasiiagize serikali yao kumfungulia mashtaka na kurundika mashahidi? Jamani kumbukeni dhambi ya Lowassa hadi kuvuliwa uPM haikuwa richmond bali alikuwa rais-mwenza na JK hakupenda ubia katika urais wake.
 
Naona wachangiaji wengi mna chuki na Lowassa. Alichokifanya yeye ni kumshtaki mwenyekiti wake mbele ya NEC yao. Na alijua kuwa kuwa JK asingeweza kujibu 'on spot' kwa sababu pale amekaa kama mwenyekiti na si rais. Nionavyo mimi Lowassa hajalikoroga na katika macho ya wengi kajipatia baraka kidogo huku akimwachia vumbi JK. Hili ni 'game' la paka na panya na likiendelea hivi hadi 2015 Lowassa aweza kuwa mheshimiwa rais. Kama CCM wana nia ya dhati ya kuonesha ufisadi wa Lowassa, kwa nini wasiiagize serikali yao kumfungulia mashtaka na kurundika mashahidi? Jamani kumbukeni dhambi ya Lowassa hadi kuvuliwa uPM haikuwa richmond bali alikuwa rais-mwenza na JK hakupenda ubia katika urais wake.
 
Kaka hoja hizi hazina mshiko tu kishasema kama mtu anaushahidi apeleke na rais kasema mwenyenao apelekee sasa kama kamati wanaushaidi si wapeleke...haisaiddiii hata tukijua vipi ishatoka hiyo.

Nlishawahi sema ktk jukwaa hili

kuwa HAKUNA KAMWE MWENYE USHAHIDI akajitokeza na kusema kuwa Mh Lowasa kafanya hivi na hili HAKUNA tutabaki tukipige kelele humu Jf kwa kubadilisha ukweli kuwa uongo

NANI MWENYE USHAHIDI APELEKE
Nape,Chiligati,nani hata humu Jf nani?
hakuna kwahiyo tunasema no research to right to speak

Bado Mh Lowasa nauwezo wa kuongoza hii nchi kama atapata nafasi
 
Naona wachangiaji wengi mna chuki na Lowassa. Alichokifanya yeye ni kumshtaki mwenyekiti wake mbele ya NEC yao. Na alijua kuwa kuwa JK asingeweza kujibu 'on spot' kwa sababu pale amekaa kama mwenyekiti na si rais. Nionavyo mimi Lowassa hajalikoroga na katika macho ya wengi kajipatia baraka kidogo huku akimwachia vumbi JK. Hili ni 'game' la paka na panya na likiendelea hivi hadi 2015 Lowassa aweza kuwa mheshimiwa rais. Kama CCM wana nia ya dhati ya kuonesha ufisadi wa Lowassa, kwa nini wasiiagize serikali yao kumfungulia mashtaka na kurundika mashahidi? Jamani kumbukeni dhambi ya Lowassa hadi kuvuliwa uPM haikuwa richmond bali alikuwa rais-mwenza na JK hakupenda ubia katika urais wake.
 
Nimeshangazwa na udhaifu wa hoja za Lowassa, hoja dhaifu kama afya yake. Sasa naamini kabisa kuwa Lowassa hajawahi kuisoma taarifa ya Kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Dk. Mwakyembe kuhusu Richmond. Angelikuwa kaisoma taarifa hiyo, asingeliweza kutoa hoja chovu ya yeye kutaka kuvunja mkataba wa Richmond, kwani Kamati Teule iliijadili hoja hiyo na kuitupilia mbali kuwa ya kipuuzi. Kwa nini Kamati ya Mwakyembe iliita hoja hiyo ya kipuuzi?

Ni kwa sababu, madudu yote ya mchakato wa zabuni mpaka kuiweka kando sheria ya manunuzi kwa amri ya Lowassa na kuipa upendeleo kampuni hewa ya Richmond, vilevile kwa maelekezo ya Lowassa, yalifanyika kati ya Aprili na Juni mwaka 2006. Wazo la Bw. Lowassa kuvunja mkataba lilikuja mwezi wa nane (Agosti) baada ya kelele dhidi ya Richmond kuanza kusikika. Hoja hiyo haimsaidii kabisa Lowassa, inazidi kumwonesha kuwa mtu asiye makini, hasomi kumbukumbu vizuri na ni mbabaishaji wa hali ya juu. Kwa nini haendi mahakamani kuwadai akina Mwakyembe fidia ya kuchafuliwa jina lake, kama hawatamvua nguo hadharani?
X-Mbunge, Dar es Salaam.
Wewe mngese peleka makundi yako kwa magamba wenzio kwa watu smart kama sisi tushajuwa kuwa wewe gamba janga la kitaifa so kama kakutuma ba@sha wako wa msoga mwambie mkajipange ziwe nyie.
 
Back
Top Bottom