`take it from my understanding man..!Kusema EL ameshashinda ni mapema mno,tena mie naona nddio amewekwa kwenye danger zone zaid. Kwanini?kumbuka EL aliuwa anauwezo wa kuomba u rais kabla ya JK,lkn JK alianza jiulize why?ikaja EL akapewa U PM miaka 2 tu nje, JK rais..hapo...,richmond EL kakiri mwenyewe alibeba mzigo wa chama na serikali ....JK hakubeba hapo...twende pamoja sasa kuna kila dalili EL bado anataka kuendelea na siasa na pengine u rais aupate ndio maana hajaachia wadhifa kama gamba. My take....ukiangalia mtiriko wote EL ndio huwa anakuwa looser, na ujue JK awezi kuwa na uhakika asilimia 100 kuwa EL ameridhika na mambo hayo yaliyotokea na kama anaamini hivyo basi nae lolote laweza mpata mbeleni maana EL mekuwa kwenye matatizo na shid anyingi wakati wa uongozi wake JK hivyo haujui atakufanyia nini. Ngoma bado si swali kwa EL sema kama wataaminiana kiukweli hili imeisha,lkn bila trust hali kisiasa si swali kwa EL maana NEC imeongeza muda wa mjadala wa swala hilo, hivyo EL bado haja jisafisha na muda unaenda kujipanga kugombea u Rais.
Ningekuwa mie EL kweli na hali ilivyouwa dodoma NEC juzi ningeakikisha mie na wanaonisupport hilo swala linaisha pale bila kurudi CC,na kama ingekula kwangu basi maana hata mbele inaweza kula kwangu. Alishakuwa ameteka NEC kwa ushindi na ndio maana hoja ya kurudisha CC imepita kirahisi tu sasa alishindwa nini kujinasua katika hilo. Huu mchelchelea wake EL ndio unamfanya atumie nguvu na muda mwingi katika progress za siasa zake.
By Political Analyst