Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lowasa hana kosa kwenye richmond labda mlete kashfa nyingine.
Alifanya kosa kukubali kuwa ana kosa, na kutuaminisha kuwa ana kosa. kama si yeye ndiye Richmond kwanini alijiuzulu, alijiuzulu kumlinda nani na kwa maslahi ya nani? It is inconceivable kusema kuwa ulijiuzulu kulinda uchafu ndani ya Serikali. Si rahisi kuamini kuwa alikuwa analinda serikali chafu, si rahisi kuamini kuwa alikuwa analainda uchafu ndani ya chama. Unless aseme alikuwa analinda nini. lakini hatuwezi kudanganyika kuwa alikuwa analinda chama na serikali. As PM alitakiwa kusafisha serikali sio kuondoka kuacha uchafu na kuwazuga watanzania. Alipojiuzulu alituaminisha kuwa yeye ndiye Richmod, haingii akilini Lowassa kukubali kusulubiwa kwa kosa ambalo si lake. Lowassa si yesu na wala hamkaribii yesu wala malaika, kwa hiyo hatutaki kuamini kuwa he was playing Jesus. Unless he was promised something for saving the one he claims to have saved.
Lowassa najua utakuwa unasoma hapa, ukweli ni kwamba YOU ARE GUILTY UNTIL YOU PROVE WITHOUT ANY REASONABLE DOUBT THAT YOU ARE INNOCENT, the reason why you are guilty is because you made us believe so, if you are claiming that you were a scapegoat and you are being punished for saving someone who did(someone who you know), then it is better that you publicly prove otherwise. Ulitufanya tuamini hivyo, na tunaendelea kufanya hivyo, kama kweli wewe si Richmond, ni vema ukatwambia ni nani maana wanaweza kukukolimba tukaendelea kuamini kuwa ni wewe kumbe Richmond ni mwingine.
Ni utoto kusema "mkinifukuza NEC nitasema Richmond ni nani". That is the lowest point of your political career, for sure you can do better than that. Unajua wazi nchi yetu ilivyo, so for your own sake, and for the sake of Tanzania please let us know who is Richmond.
Mkuu, Mh. Lowasa asiwe na uoga watanzania tumemkubari awe Rais wetu 2015, kama atapendekezwa na Chama chake, ila kama anaona kuna mizengwe basi atoke CCM ajiunge na chama chochote na awe mgombea Urais tutampatia kura zetu hata akitaka kuwa mgombea binafsi tutampatia.
Alifanya kosa kukubali kuwa ana kosa, na kutuaminisha kuwa ana kosa. kama si yeye ndiye Richmond kwanini alijiuzulu, alijiuzulu kumlinda nani na kwa maslahi ya nani? It is inconceivable kusema kuwa ulijiuzulu kulinda uchafu ndani ya Serikali. Si rahisi kuamini kuwa alikuwa analinda serikali chafu, si rahisi kuamini kuwa alikuwa analainda uchafu ndani ya chama. Unless aseme alikuwa analinda nini. lakini hatuwezi kudanganyika kuwa alikuwa analinda chama na serikali. As PM alitakiwa kusafisha serikali sio kuondoka kuacha uchafu na kuwazuga watanzania. Alipojiuzulu alituaminisha kuwa yeye ndiye Richmod, haingii akilini Lowassa kukubali kusulubiwa kwa kosa ambalo si lake. Lowassa si yesu na wala hamkaribii yesu wala malaika, kwa hiyo hatutaki kuamini kuwa he was playing Jesus. Unless he was promised something for saving the one he claims to have saved.
Lowassa najua utakuwa unasoma hapa, ukweli ni kwamba YOU ARE GUILTY UNTIL YOU PROVE WITHOUT ANY REASONABLE DOUBT THAT YOU ARE INNOCENT, the reason why you are guilty is because you made us believe so, if you are claiming that you were a scapegoat and you are being punished for saving someone who did(someone who you know), then it is better that you publicly prove otherwise. Ulitufanya tuamini hivyo, na tunaendelea kufanya hivyo, kama kweli wewe si Richmond, ni vema ukatwambia ni nani maana wanaweza kukukolimba tukaendelea kuamini kuwa ni wewe kumbe Richmond ni mwingine.
Ni utoto kusema "mkinifukuza NEC nitasema Richmond ni nani". That is the lowest point of your political career, for sure you can do better than that. Unajua wazi nchi yetu ilivyo, so for your own sake, and for the sake of Tanzania please let us know who is Richmond.
Kabota nitakubota, hata kama kiroboto,
Yote unayolumbata, si chochote ni kokoto,
Huna mpata na kata, nijuacho u limpyoto,
Kabota acha unywanywa, naona unatumiwa.
Lowassa bado fisadi, hata mmpambe vipi,
Kambota wewe hasidi, watumika kama nepi,
wajiona wafaidi, kumbe kesho ni makapi,
Kabota acha unywanywa, Lowassa akutumia.
Wauliza nalipwaje, Nani huyo anilipe?
Sijalipwa hata punje, mie mwezio si kupe,
Shurti nijikunje, niishi si kwa mahepe,
Kabota acha ushamba, Lowassa atakuponza.
Naijua Richmond, Richmond ni Lowassa,
Kikwete ni Richmond, Richmond ni mkasa,
Kambota nawe ni bundi, Richmond takutesa,
Japo wachumia tumbo, Kambota acha ujuha.
Utajaliwa ja ng'oda, Siku yako ikifika
Ja ng'oda utakonda, Lowassa akikutoka
Ukuuishie ukuda, ubaki kulalamika
Fisadi hana rafiki, Jifunze kwake Lowassa
Mambo yalipombana, Kikwete kaumuumbua,
Hawa marafiki sana, Itakuwa wewe bua,
Leo sana wajiona, ujinga wakusumbua,
Kambota acha ujuha, Lowassa hasafishiki.
Huna mpaka na nune, Kambota wala jaani,
Leo wewe ujivune, kumbe wenda majilini,
Sema sana utukane, itafika arobaini,
Kambota acha ujuha, Lowassa hasafishiki.
Kaditamati natua, mbele sitaendelea,
Kwa hapa naomba dua, wadudi anisikia,
Ninamuomba mulua, Kambota aone jua,
Kambota chumia tumbo, hebu tumia ubongo.
Lowassa mwizi tu anawaleeza nyie mlokuwepo chama na kumwona kwenda kanisani basi mnafikiri mtu mzuri sana..Kama yeye alikuwa mkweli kwa nini asiwahutubie Umma mzima wa Watanzania badala yake anaenda katika mikutano ya chama! anajua huko mmejaa masaburi watupu. Kikao cha chama CC wanatokea watu wanafokea wengine as if wao ni Miungu!..damn.
Yeye alikuwa waziri mkuu na sii katibu wa chama, hakuwahi kupendwa na Nyerere hadi leo hii wananchi hawampendi pengine huko kwenu CCM. Halafu naweza sema ni jambazi lililokubuhu yaani anatuondolea watu tu kila mwaka. Kesho sintoshangaa Nape mgonjwa anatakiwa kupelekwa India..