Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
- Thread starter
-
- #21
Samia sio mtu ni taasisi ya Urais. Hakumshuluru mama Samia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan. KJW sawaWe ndio mpumbavu kuingilia uhuru wa mtu. Fred ana uhuru na haki ya kumshukuru amtakaye na kumlaumu amtakaye.
Yaani hapa unadhihirisha na wewe ni mojawapo wa hao wa hovyo.Rudi huko ulikotoka, hii nchi haina watu wapumbavu km wewe
Vijana hawataki kufanya kazi wamegeukia uchawa na ushogaN
chi ya chawa. Yaa mtu na akili zake anajiita chawa.
We ndio mpumbavu kuingilia uhuru wa mtu. Fred ana uhuru na haki ya kumshukuru amtakaye na kumlaumu amtakaye.
Dr. SSH ndio sura na nembo ya kodi za waTanzania. kauli, agizo, amri au mkono wa Rais Dr.SSH kwenye jambo lolote kwa yeyote ni alama ya waTanzania wote kushiriki jambo hilo 🐒Jana nimemsikia mtoto wa Marehemu Edward Lowassa ambaye pia ni Mtunga Sheria (Mbunge) Fred Lowassa akimshikuru Rais Samia Suluhu Hassan na kusema, "kama si Rais Samia baba asingefika Jumamosi alipofariki" kwamba ni Samia alijitolea Kwa hali na mali kuhakikisha Lowassa anapata matibabu anayostahili.
Kwanza nimwambie dogo kwamba si Rais Samia aliyemfanya baba yake achelewe kufariki bali ni Mungu wake aliyeshikilia uhai wake kwa muda wote. Na akumbule kwamba clinically Edward Lowassa alifariki zaidi ya siku 18 kabla ya tarehe 10/2/2024 isipokuwa kilichokuwa kikidunda ni moyo wake kwa usaidizi wa mashine ambayo isingechomolewa angeendelea kudunda hadi leo lakini kwa busara za madaktari wanakuambia ukweli kwamba, "kwetu clinically huyu mtu ameshafariki " kazi inabaki kwenu familia tuchomoe mashine au la?
La pili kwa dogo Mtunga Sheria ni kwamba Lowassa alitibiwa kwa mujibu wa sheria ya mafao kwa viongozi namba 14. Sheria hii inataka mstaafu kama Waziri Mkuu atibiwe kwa gharama yoyote. Kwa hiyo asimshukuru Rais Samia maana matibu yake ni TAKWA la kisheria na si hisani ya Rais au mtu yeyote. Hata mawaziri Wakuu wastaafu waliosalia kama Sumaye, Warioba, Msuya, Malechela nao wanafanyiwa au watafanyiwa hivyo hivyo ili kukidhi TAKWA la kisheria.
Wanatibiwa kwa kodi za kila raia wa nchi hii bila kuangalia Vyama vyao. Tusitumie vibaya matibabu ya wastaafu wetu na vifo vyao kisiasa. Chadema, CCM, CUF, TLP, SAU, ACT, NCCR na wasio na Vyama wamemtibia Edward Lowassa.
Tuendelee kuwaomboleza Edward Lowassa, Balozi Dk. Deo Kamara, Dk. Ibrahim Msabaha na wengine wengi ambao hawajatangazwa.
Rais ndo mwenye fedha zote BOT kama ilivyo tawala za kifalme....Jana nimemsikia mtoto wa Marehemu Edward Lowassa ambaye pia ni Mtunga Sheria (Mbunge) Fred Lowassa akimshikuru Rais Samia Suluhu Hassan na kusema, "kama si Rais Samia baba asingefika Jumamosi alipofariki" kwamba ni Samia alijitolea Kwa hali na mali kuhakikisha Lowassa anapata matibabu anayostahili.
Kwanza nimwambie dogo kwamba si Rais Samia aliyemfanya baba yake achelewe kufariki bali ni Mungu wake aliyeshikilia uhai wake kwa muda wote. Na akumbule kwamba clinically Edward Lowassa alifariki zaidi ya siku 18 kabla ya tarehe 10/2/2024 isipokuwa kilichokuwa kikidunda ni moyo wake kwa usaidizi wa mashine ambayo isingechomolewa angeendelea kudunda hadi leo lakini kwa busara za madaktari wanakuambia ukweli kwamba, "kwetu clinically huyu mtu ameshafariki " kazi inabaki kwenu familia tuchomoe mashine au la?
La pili kwa dogo Mtunga Sheria ni kwamba Lowassa alitibiwa kwa mujibu wa sheria ya mafao kwa viongozi namba 14. Sheria hii inataka mstaafu kama Waziri Mkuu atibiwe kwa gharama yoyote. Kwa hiyo asimshukuru Rais Samia maana matibu yake ni TAKWA la kisheria na si hisani ya Rais au mtu yeyote. Hata mawaziri Wakuu wastaafu waliosalia kama Sumaye, Warioba, Msuya, Malechela nao wanafanyiwa au watafanyiwa hivyo hivyo ili kukidhi TAKWA la kisheria.
Wanatibiwa kwa kodi za kila raia wa nchi hii bila kuangalia Vyama vyao. Tusitumie vibaya matibabu ya wastaafu wetu na vifo vyao kisiasa. Chadema, CCM, CUF, TLP, SAU, ACT, NCCR na wasio na Vyama wamemtibia Edward Lowassa.
Tuendelee kuwaomboleza Edward Lowassa, Balozi Dk. Deo Kamara, Dk. Ibrahim Msabaha na wengine wengi ambao hawajatangazwa.
SSH ndo mkata umeme pia.Dr. SSH ndio sura na nembo ya kodi za waTanzania. kauli, agizo, amri au mkono wa Rais Dr.SSH kwenye jambo lolote kwa yeyote ni alama ya waTanzania wote kushiriki jambo hilo 🐒
so,
kaa ukijua DR.SSH anawakilisha waTz wote kitaifa na kimataifa.
wew na mimi tumelipa kodi Dr.SSH anatuongoza kuigawanya kwa usawa na kutuletea maendeleo waTz wote 🐒
So,
Kijana wa Lowasa badala ya kuwataja waTanzania wote walipa kodi basi amemtaja kiongozi na muwakilishi wetu waTz wote 🐒
R.I.P Laigwanan comrade ENL
hayo ni baadhi tu ya manung'uniko na malalamiko ya wavivu wasiotaka kujishughulisha ila wanatamani maisha mazuri na mbaya zaidi wainaishi kwa wazazi angali ni watu wazima 🐒SSH ndo mkata umeme pia.
Inflation inamhusu maana amegoma kudhibiti mfumuko na anaonea ubahili kuingiza hela kwenye mzunguko.
😀SSH ndo mkata umeme pia.
Inflation inamhusu maana amegoma kudhibiti mfumuko na anaonea ubahili kuingiza hela kwenye mzunguko.
Sio Nchi !Nchi ya hovyo mno
"...na wengine wengi ambao hawajatangazwa."Jana nimemsikia mtoto wa Marehemu Edward Lowassa ambaye pia ni Mtunga Sheria (Mbunge) Fred Lowassa akimshikuru Rais Samia Suluhu Hassan na kusema, "kama si Rais Samia baba asingefika Jumamosi alipofariki" kwamba ni Samia alijitolea Kwa hali na mali kuhakikisha Lowassa anapata matibabu anayostahili.
Kwanza nimwambie dogo kwamba si Rais Samia aliyemfanya baba yake achelewe kufariki bali ni Mungu wake aliyeshikilia uhai wake kwa muda wote. Na akumbule kwamba clinically Edward Lowassa alifariki zaidi ya siku 18 kabla ya tarehe 10/2/2024 isipokuwa kilichokuwa kikidunda ni moyo wake kwa usaidizi wa mashine ambayo isingechomolewa angeendelea kudunda hadi leo lakini kwa busara za madaktari wanakuambia ukweli kwamba, "kwetu clinically huyu mtu ameshafariki " kazi inabaki kwenu familia tuchomoe mashine au la?
La pili kwa dogo Mtunga Sheria ni kwamba Lowassa alitibiwa kwa mujibu wa sheria ya mafao kwa viongozi namba 14. Sheria hii inataka mstaafu kama Waziri Mkuu atibiwe kwa gharama yoyote. Kwa hiyo asimshukuru Rais Samia maana matibu yake ni TAKWA la kisheria na si hisani ya Rais au mtu yeyote. Hata mawaziri Wakuu wastaafu waliosalia kama Sumaye, Warioba, Msuya, Malechela nao wanafanyiwa au watafanyiwa hivyo hivyo ili kukidhi TAKWA la kisheria.
Wanatibiwa kwa kodi za kila raia wa nchi hii bila kuangalia Vyama vyao. Tusitumie vibaya matibabu ya wastaafu wetu na vifo vyao kisiasa. Chadema, CCM, CUF, TLP, SAU, ACT, NCCR na wasio na Vyama wamemtibia Edward Lowassa.
Tuendelee kuwaomboleza Edward Lowassa, Balozi Dk. Deo Kamara, Dk. Ibrahim Msabaha na wengine wengi ambao hawajatangazwa.
Magufuli alikuwa Mwamba shujaa wetuSamia amerekebisha mambo mengi ya ovyo ya mwendazake lakini hili la "Tunamshukuru Samia(wakati ule ilikuwa Magufuli) kwa kutuletea fedha au kutujengea kitu fulani" naona naye kalipenda sana anafurahi kupewa utukufu ambao sio wake.
Hawa watu wanapenda Umungu mtu.
Nakubaliana na weweKwa upumbavu wa Tanzania, dogo mtungu sheria yupo sahihi. Tanzania sheria haifai kitu mbele ya Rais. Magu alifanya nini kwa Lissu?
Acha waendelee kumshukuru tu hadi tutakapopata akili.
Wewe na Fred wote mko sawa, sheria ingefuatwa angekuwa Rais Lowasa 2015 lakini Jakaya akazingua, huenda hujui kusikiliza vyema au hupendi watu wanaoshukuruJana nimemsikia mtoto wa Marehemu Edward Lowassa ambaye pia ni Mtunga Sheria (Mbunge) Fred Lowassa akimshikuru Rais Samia Suluhu Hassan na kusema, "kama si Rais Samia baba asingefika Jumamosi alipofariki" kwamba ni Samia alijitolea Kwa hali na mali kuhakikisha Lowassa anapata matibabu anayostahili.
Kwanza nimwambie dogo kwamba si Rais Samia aliyemfanya baba yake achelewe kufariki bali ni Mungu wake aliyeshikilia uhai wake kwa muda wote. Na akumbule kwamba clinically Edward Lowassa alifariki zaidi ya siku 18 kabla ya tarehe 10/2/2024 isipokuwa kilichokuwa kikidunda ni moyo wake kwa usaidizi wa mashine ambayo isingechomolewa angeendelea kudunda hadi leo lakini kwa busara za madaktari wanakuambia ukweli kwamba, "kwetu clinically huyu mtu ameshafariki " kazi inabaki kwenu familia tuchomoe mashine au la?
La pili kwa dogo Mtunga Sheria ni kwamba Lowassa alitibiwa kwa mujibu wa sheria ya mafao kwa viongozi namba 14. Sheria hii inataka mstaafu kama Waziri Mkuu atibiwe kwa gharama yoyote. Kwa hiyo asimshukuru Rais Samia maana matibu yake ni TAKWA la kisheria na si hisani ya Rais au mtu yeyote. Hata mawaziri Wakuu wastaafu waliosalia kama Sumaye, Warioba, Msuya, Malechela nao wanafanyiwa au watafanyiwa hivyo hivyo ili kukidhi TAKWA la kisheria.
Wanatibiwa kwa kodi za kila raia wa nchi hii bila kuangalia Vyama vyao. Tusitumie vibaya matibabu ya wastaafu wetu na vifo vyao kisiasa. Chadema, CCM, CUF, TLP, SAU, ACT, NCCR na wasio na Vyama wamemtibia Edward Lowassa.
Tuendelee kuwaomboleza Edward Lowassa, Balozi Dk. Deo Kamara, Dk. Ibrahim Msabaha na wengine wengi ambao hawajatangazwa.
Ishukuriwe hadhi ya "Trust territory" ashukuriwe Mwl JKN, Ishukuriwe league of Nations au washukuriwe wazalendo waliokubali kuingia darasani na wengine kupeleka watoto wao shule ili Tanganyika ijitawale? Hii ni mitazamo nawe umetazama kisheria hukutazama kilutheri kama Fred Lowasa kijana wa kimasai alielelewa vyema kimaadili kurudisha fadhila kwa waliomtendea wema pasina kujali nafasi zaoSamia sio mtu ni taasisi ya Urais. Hakumshuluru mama Samia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan. KJW sawa