Lowassa ampinga Warioba serikali tatu

maana yake hakubaliani na watz 61% waliotoa maoni yao?
 
mh. LOWASSA pls try to understand wazo la serikali tatu sio wazo la WARIOBA ni collective opinions au ni mapendekezo ya watanzania hivyo lawama kwa jaji warioba hazipaswi kuwa za msingi || AMEYATOA YALE ALIYOYAKUSANYA KWA MUDA MREFU BILA UPENDELEO UJANJA*2,WALA HILA//
 
Last edited by a moderator:
Lowasa amesema warioba ameficha baadhi ya taarifa kuhusu waliopinga serikali tatu walipotoa maoni yao.

Kumbe EL hana imani na tume!
 

Kwa kauli hii, kama ni kweli ameitoa Lowasa, ninaamini hafai kuwa Rais wetu. Mbona hii siyo kauli ya kawaida. Hapa Mhe. Rais amekwisha toa rai, watu wanaomba uwakilishi katika bunge la Taifa, kauli kama hii inawatoa "ubongo" wabunge watarajiwa wa bunge la katiba? Mbona wariaba anaheshimika sana, salim ahmed salim, Dr. Mvugi, na wengine wamezidiwa akili na Lowasa!?
 
Mbowe hakuyajua haya?

Lissu kayafumbia macho.
 
maneno hayo aliyasema alipokuwa katika chama cha chukua chako mapema (CCM) sasa yuko UKAWA waumini wa serikali 3 nini kauli yake
 
maneno hayo aliyasema alipokuwa katika chama cha chukua chako mapema (CCM) sasa yuko UKAWA waumini wa serikali 3 nini kauli yake
Acheni kuhangaika, Lowassa hayupo tena CCM yuko UKAWA na msimamo wake wa sasa kuhusu muundo wa Muungano ni ule ule wa UKAWA, serikali tatu.
 
Acheni kuhangaika, Lowassa hayupo tena CCM yuko UKAWA na msimamo wake wa sasa kuhusu muundo wa Muungano ni ule ule wa UKAWA, serikali tatu.

Sasa Lowassa anataka serikali tatu ambao ndio msimamo wa Ukawa.
Magufuli na Kikwete ndio wanang'ng'ania serikali mbili, hawaitaki ya Tanganyika.
 
Acheni kuhangaika, Lowassa hayupo tena CCM yuko UKAWA na msimamo wake wa sasa kuhusu muundo wa Muungano ni ule ule wa UKAWA, serikali tatu.
Kwa hiyo hana anachoamini mwenyewe bali yeye ni bendera fuata upepo tu! Mradi awe ni mgombea uraisi.
 
Hivi mkristo akisilimu mtamuuliza kwa nini zamani ulikuwa unasema Kitimoto ni kitoweo safi?
Ule ulikuwa msimamo wa chama chake cha zamani.
Alipokikana chama na mambo yake yote anakuwa mtu mpya.
Wenye umri mkubwa wanakumbuka maneno aliyokuwa anasema Wassira 1995 akiwa NCCR lakini Leo ndio mwandika Sera na ilani ya CCM na tegemeo la chama.
 
Kwa hiyo hana anachoamini mwenyewe bali yeye ni bendera fuata upepo tu! Mradi awe ni mgombea uraisi.
Maamuzi magumu ni pamoja na kukiri makosa na kujirekebisha. Ameanza kwa kukiri chama chake cha zamani kimepoteza dira na amejirekebisha kwa kuhama na kujiunga na chama kipya. Ameendelea kukiri kuwa msimamo wake wa awali wa serikali mbili haukuwa sahihi na amejirekebisha kwa kuunga mkono msimamo wa chama chake kipya. Hiki ndicho kinachomtofautisha na wanafiki aliowaacha huko alikotoka, hawana ujasiri wa kufanya maamuzi magumu kama alivyofanya Lowassa.

Kichuguu, It takes tremendous fortitude to utter the words "I was wrong". The belief held by people that admitting one's action was wrong shows weakness or ineptness is in itself wrong. The danger of that belief, especially when it is held by people in positions of power or authority, is that it backs a leader into defending their poor choices, even when they themselves have come to recognize they were wrong.
 
kwani sasahivi hizo nyaraka kaziona wapi mkapa atake katiba ya warioba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…