Lowassa ana dhambi nyingine zaidi ya Richmond?

Lowassa ana dhambi nyingine zaidi ya Richmond?

Chadema have always been against ufisadi wa aina yoyote na leo lao sio ku-individualize/personalize issues kama unavyodhani wewe

Ndio maana utakuta wanongelea ufisadi na mafisadi na kama wewe ni mfuatiliaji mwenye upeo na utshi utagundua kwamba kulikua na list of shame, richmond, dowans, EPA, kagoda nk na zote zililipuliwa na wahusika kukaa uchi...

Unachotafuta hapa ni ile shalllow and myopic CCM mentality ya fulani na fulani, unfortunately CDM ni zaidi ya hayo unayoyataka na ndio maana husikii wakianza oh Membe, Oh rostam, oh EL, bali wanazungumzia issues

Just for your advice, zile zama za kuchanganya watu kwa majina ni zama alizoleta huyo mtu wenu na propaganda mlizotoa wa mrengo fulani wa siasa ambazo hazina tija, (rejea Sumaye na trilioni kumi, malechela na uislamu, salim na Hizbo nk).

Ni mpumbavu tu ndiye atakeshindia upumbavu na ni mchovu wa fiktra tu, ndiye atakayeshindia kuangaikia mtu/watu badala ya hoja

Unajaribu kitu, ambacho umeshindwa kwani siasa za CDM si siasa za CCM

BTW, vipi zile bendera mlizoprint nasikia watu mmepiga sana bingo aisee
 
Mabay a gani hayo ambayo hata CC au NEC ya chama chake imeweza kuyadhibitisha?

Hawawezi ku-take risk ya kuvamia yasiyokuwa yao
achana na huyo

dirty ass pussies always talk about dicks but good women talk about what makes a good man
 
kunani kati ya EL na CDM?
Anyway,nitakwambia.Ni kweli CDM haijawahi kumsema vibaya EL, zaidi ya pale mwembe yanga ilipotoa list of shame.

EL alijumuishwa kwa sababu tu alikua anajua kinachoendelea ktk Richmond,lakini CDM wanajua fika saga la richmond mhusika mkuu ni JK, na EL alikua akitekeleza tu amri.Ikumbukwe kwamba DR Slaa alitamka waziwazi kwamba Dowans ni ya JK.

Kwa kifupi tu nikwambie, si muda mrefu EL atajiunga na CDM, (awe amevuliwa gamba kule ccm au la),na CDM watazunguka nchi nzima kumsafisha na watathibitisha kuwa EL ni msafi.

EL atasimamishwa for 2015 presidency kupitia CDM na atashinda kwa kishindo.. kabla hajaondoka CCM atajisafisha kwanza kwa kusema ukeli wote kuhusu Richmond na hapo ndipo wananchi mtashangaa na mtakua tayari hata kusukuma gari lake. Alitaka amwage mboga na ugali juzi pale dom, ccm wakashtukia.Deal closed btn EL & CDM Its just a matter of time.
 
Chigwiye una ugonjwa wa hatari Magamba wamekuharibu elewa Chadema Hawakurupuki Kama CCM.
 
Anyway,nitakwambia.Ni kweli CDM haijawahi kumsema vibaya EL, zaidi ya pale mwembe yanga ilipotoa list of shame.

EL alijumuishwa kwa sababu tu alikua anajua kinachoendelea ktk Richmond,lakini CDM wanajua fika saga la richmond mhusika mkuu ni JK, na EL alikua akitekeleza tu amri.Ikumbukwe kwamba DR Slaa alitamka waziwazi kwamba Dowans ni ya JK.

Kwa kifupi tu nikwambie, si muda mrefu EL atajiunga na CDM, (awe amevuliwa gamba kule ccm au la),na CDM watazunguka nchi nzima kumsafisha na watathibitisha kuwa EL ni msafi.

EL atasimamishwa for 2015 presidency kupitia CDM na atashinda kwa kishindo.. kabla hajaondoka CCM atajisafisha kwanza kwa kusema ukeli wote kuhusu Richmond na hapo ndipo wananchi mtashangaa na mtakua tayari hata kusukuma gari lake. Alitaka amwage mboga na ugali juzi pale dom, ccm wakashtukia.Deal closed btn EL & CDM Its just a matter of time.
Bila shaka huu ni mtazamo wako tu maana kila m2 ana uhuru wa kuongea
 
Ufisadi wa ccm ni mfumo siyo mtu binafsi. Hata mimi namtetea lowassa maana hata wakimtimua hawatakaa salama. Ufisadi ni sehemu ya ilani yao ndiyo maana tunatakiwa tuwasukume wote mtaroni kama gaddafi. Total condemnation!
 
Anyway,nitakwambia.Ni kweli CDM haijawahi kumsema vibaya EL, zaidi ya pale mwembe yanga ilipotoa list of shame.

EL alijumuishwa kwa sababu tu alikua anajua kinachoendelea ktk Richmond,lakini CDM wanajua fika saga la richmond mhusika mkuu ni JK, na EL alikua akitekeleza tu amri.Ikumbukwe kwamba DR Slaa alitamka waziwazi kwamba Dowans ni ya JK.

Kwa kifupi tu nikwambie, si muda mrefu EL atajiunga na CDM, (awe amevuliwa gamba kule ccm au la),na CDM watazunguka nchi nzima kumsafisha na watathibitisha kuwa EL ni msafi.

EL atasimamishwa for 2015 presidency kupitia CDM na atashinda kwa kishindo.. kabla hajaondoka CCM atajisafisha kwanza kwa kusema ukeli wote kuhusu Richmond na hapo ndipo wananchi mtashangaa na mtakua tayari hata kusukuma gari lake. Alitaka amwage mboga na ugali juzi pale dom, ccm wakashtukia.Deal closed btn EL & CDM Its just a matter of time.

yeah right, i wish iwe hivyo.....

we should be praying for this cooperative agreement between EL and FM
 
Chadema have always been against ufisadi wa aina yoyote na leo lao sio ku-individualize/personalize issues kama unavyodhani wewe

Ndio maana utakuta wanongelea ufisadi na mafisadi na kama wewe ni mfuatiliaji mwenye upeo na utshi utagundua kwamba kulikua na list of shame, richmond, dowans, EPA, kagoda nk na zote zililipuliwa na wahusika kukaa uchi...

Unachotafuta hapa ni ile shalllow and myopic CCM mentality ya fulani na fulani, unfortunately CDM ni zaidi ya hayo unayoyataka na ndio maana husikii wakianza oh Membe, Oh rostam, oh EL, bali wanazungumzia issues

Just for your advice, zile zama za kuchanganya watu kwa majina ni zama alizoleta huyo mtu wenu na propaganda mlizotoa wa mrengo fulani wa siasa ambazo hazina tija, (rejea Sumaye na trilioni kumi, malechela na uislamu, salim na Hizbo nk).

Ni mpumbavu tu ndiye atakeshindia upumbavu na ni mchovu wa fiktra tu, ndiye atakayeshindia kuangaikia mtu/watu badala ya hoja

Unajaribu kitu, ambacho umeshindwa kwani siasa za CDM si siasa za CCM

BTW, vipi zile bendera mlizoprint nasikia watu mmepiga sana bingo aisee


Mkuu umesema vyema ila mleta hoja ana akili kama ya Nape au kazaliwa jana huyu mpuuzi hana hoja wala hajui historia wala hata ile list of shame haijui .Chaka kweli jamaa.
 
El ni mtaji mzuri wa kisiasa kwa chadema ,tunasubiri wakati ufike atakavyochanwa!
 
Anyway,nitakwambia.Ni kweli CDM haijawahi kumsema vibaya EL, zaidi ya pale mwembe yanga ilipotoa list of shame.

EL alijumuishwa kwa sababu tu alikua anajua kinachoendelea ktk Richmond,lakini CDM wanajua fika saga la richmond mhusika mkuu ni JK, na EL alikua akitekeleza tu amri.Ikumbukwe kwamba DR Slaa alitamka waziwazi kwamba Dowans ni ya JK.

Kwa kifupi tu nikwambie, si muda mrefu EL atajiunga na CDM, (awe amevuliwa gamba kule ccm au la),na CDM watazunguka nchi nzima kumsafisha na watathibitisha kuwa EL ni msafi.

EL atasimamishwa for 2015 presidency kupitia CDM na atashinda kwa kishindo.. kabla hajaondoka CCM atajisafisha kwanza kwa kusema ukeli wote kuhusu Richmond na hapo ndipo wananchi mtashangaa na mtakua tayari hata kusukuma gari lake. Alitaka amwage mboga na ugali juzi pale dom, ccm wakashtukia.Deal closed btn EL & CDM Its just a matter of time.
Sounds very true given what Mkapa did.

Hivi ni kweli wananchi wa kawaida wanampenda huyu jamaa ama mnategemea wampende akishamwaga mboga?
 
This is what we call politics ( a dirty game)...!!! lolote laweza tokea..!! usishangae El kuibukia anywhere, but if he is real strong and innocent kwanini anatesekea sisiem aanzishe chama chake afu aeleze kinagaubaga..!! atapata tu wafuasi...!!:A S 465:
 
sijawahi kukutana na mtu mwenye mawazo muflisi kuliko haya yako.
Anyway,nitakwambia.Ni kweli CDM haijawahi kumsema vibaya EL, zaidi ya pale mwembe yanga ilipotoa list of shame.

EL alijumuishwa kwa sababu tu alikua anajua kinachoendelea ktk Richmond,lakini CDM wanajua fika saga la richmond mhusika mkuu ni JK, na EL alikua akitekeleza tu amri.Ikumbukwe kwamba DR Slaa alitamka waziwazi kwamba Dowans ni ya JK.

Kwa kifupi tu nikwambie, si muda mrefu EL atajiunga na CDM, (awe amevuliwa gamba kule ccm au la),na CDM watazunguka nchi nzima kumsafisha na watathibitisha kuwa EL ni msafi.

EL atasimamishwa for 2015 presidency kupitia CDM na atashinda kwa kishindo.. kabla hajaondoka CCM atajisafisha kwanza kwa kusema ukeli wote kuhusu Richmond na hapo ndipo wananchi mtashangaa na mtakua tayari hata kusukuma gari lake. Alitaka amwage mboga na ugali juzi pale dom, ccm wakashtukia.Deal closed btn EL & CDM Its just a matter of time.
 
Anyway,nitakwambia.Ni kweli CDM haijawahi kumsema vibaya EL, zaidi ya pale mwembe yanga ilipotoa list of shame. EL alijumuishwa kwa sababu tu alikua anajua kinachoendelea ktk Richmond,lakini CDM wanajua fika saga la richmond mhusika mkuu ni JK, na EL alikua akitekeleza tu amri.Ikumbukwe kwamba DR Slaa alitamka waziwazi kwamba Dowans ni ya JK. Kwa kifupi tu nikwambie, si muda mrefu EL atajiunga na CDM, (awe amevuliwa gamba kule ccm au la),na CDM watazunguka nchi nzima kumsafisha na watathibitisha kuwa EL ni msafi. EL atasimamishwa for 2015 presidency kupitia CDM na atashinda kwa kishindo.. kabla hajaondoka CCM atajisafisha kwanza kwa kusema ukeli wote kuhusu Richmond na hapo ndipo wananchi mtashangaa na mtakua tayari hata kusukuma gari lake. Alitaka amwage mboga na ugali juzi pale dom, ccm wakashtukia.Deal closed btn EL & CDM Its just a matter of time.
...conspiracy theory
 
Back
Top Bottom