Wakati uleee, iliwahi kusemwa humu ndani kwamba magwanda wanajipanga kimkakati kumsafisha Lowassa!!!! wakabisha, na wengine kama kawaida yao wakatoa maneno ya kejeli na matusi!!! CDM gani iliyoacha ku-discuss watu na kujikita zaidi na issues?! Humu JF, ni mara ngapi kumekuwa na post kuhusu Nape?! hivi kuna upuuzi kama ku-discuss personal life?! Mbona humu jamvini kuna post kibao tu kuhusu sijui mwichemba mwigulu sijui nani sijui (manake yule jamaa sina hakika kama nalifahamu jina lake sawasawa) kwamba katembea na mtu!!! Mara oh, JK kashindwa kuilea familia yake.....!!!! Linapokuja suala la Lowassa, ham-discuss watu bali issues, na kwa wengine......!!