Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Wewe uliye na kampeni ya kumchafua unawazidi kitu gani.naona jf kuna baadhi ya members wana kampeni za kumsafisha lowasa ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliye na kampeni ya kumchafua unawazidi kitu gani.naona jf kuna baadhi ya members wana kampeni za kumsafisha lowasa ...
Hutaki kujua fizikia ya unajimu kujua Lowassa siyo Richmond peke yake...hizi hela zimetoka wapi? mfanyakazi wa serikali toka 1989 hadi 1995 tayari milionea (in dollar terms) haingii akilini...hamna mtanzania wa kizazi cha pili (waliozaliwa miaka michache kabla ya uhuru kama akina Lowassa) ambaye anaweza kusema aliachiwa utajiri mkubwa na baba yake..hamna.
ushaidi wa moja kwa moja sina, lakini hii haiwezi kunizuia na kuwazuia watz wengine kumjaji mh Lowassa kama ni mwizi..kumbuka maoni ya jamii hayahitaji ushaidi wa kimahakama na katika siasa haya yanajenga au kuaribu kabisa taswira ya mwanasiasa......wizara ya ardhi lowassa alijitajirisha binafsi kwa deal za viwanja na nyumba za NHC na alimweka rafiki yake Masebu kuwezesha haya....wizara ya mifugo tunajua kuhusu kujimilikisha ranch ya serikali kule Handeni...jengo la umoja vijana je wakati akiwa mlezi wa uVCCM? TRC ilipouzwa mkurugenzi wa PSRC aliwekwa na Lowassa kuhakikisha mgao unaenda vizuri...wengine wataongeza madudu mengine
Wewe uliye na kampeni ya kumchafua unawazidi kitu gani.
Kasori amezungumza na Nyerere. Amezungumza kwa simu na Kawawa. Amezungumza na Lowassa mwenyewe. Huyo kwako bado huoni kuwa ni chanzo kinachoaminika? Naungana na Sober. Wabongo bana....
Kwa ujumla walichokifanya akina Nape dhidi ya Lowasa ni makosa ya kimkakati ambayo sasa yanaigharimu NEC kufanya maamuzi dhidi yake.
Kingine CCM itambue kuwa huyu Bwana amejishikiza sana na kanisa hususan Lutheran na ana sapoti kubwa ya waumini wa kanisa kutokana na michango yake kwenye harambee..
Binafsi sina tatizo na Lowassa as long as siamini kuwa Lowasa anaweza kuwa mchafu na Swaiba wake akabaki msafi, manake dili nyingi walicheza pamoja.. Isitoshe huyu Bwana alikuwa Mchapakazi kulinganisha na waliobakia madarakani..!
Karamagi hajashitakiwa Mahakamani Lakini ameondoka!!!!, Rostam Aziz Hajashitakiwa Mahakamani lakini ameondoka!!!!Tatizo liliopo ni kwanini Bw Lowassa hajashitakiwa mahakamani kwa tuhuma hizo zote? Mh Lowassa is not above the law.Na kama wameshindwa kumshtaki wanaogopa nini au hakuna ushahidi wa kutosha kumfungulia mashtaka? Nani alaumiwe? Akisimama Lowassa akadai hizo ni siasa za maji taka yaani kuchafuliana majina kwani kila nikitaka kuwania Uraisi wabaya wangu wananipaka matope atakuwa amekosea? Bila kutumia nguzo ya mahakama na ikamweka hatiani Lowassa is still innocent na anayo haki ya kugombea the Highest Office of the Republic.
uwa nashindwa kuelewa huu UCHAPA KAZI wa Lowassa ni nini haswa...haka kapropaganda kalipenyezwa na mijitu imekanunua kweli kweli
Mlioomba facts nyingine kuhusu EL mmezipata toka kwa Mzee Kasori. Ombeni nyingine, nadhani kwa vile JF ni mahali pa kuongea bila woga hembu tuleteeni mengine hapa.. najua watu wanayo. Huko Ardhi vipi mbona mpo Kimya? vipi vita yake na aliyekuwa Katibu Mkuu? Mhaya mmoja hivi, nimemsahau jina.
Wewe uliye na kampeni ya kumchafua unawazidi kitu gani.