Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

tumechoka na siasa uchwara za CCM na kuona kuna haja ya kuona kuwa wote ndio walitia taifa letu hasara hivyo hakuna atakayetoka hapa kwa mambo yao ya ajabu kama haya
 
yale mabilioni ya JK yakowapi jamani huyu jamaa ni mchumi ila huwa napatwa na shaka sana kuwa vitu anafanya katika Tanzania ni shida kujua kama kweli anaweza kwenda na kujidai eti kuna maendelea
 
Mz. Mamvi weka wazi! Wambie tu utagombea u-presidaa! Kwvl tunaokuhitaji tupo wengi, hakuna haja y kufichaficha! Hii c biashara y heroine!
 
Ila mti mzima mwishoni kamuachia vipande vyake mkuu wa nchi, haya matatizo ndio hasa wanananchi wa Tanzania tunahitaji mkombozi wake.

 
Kweli Magamba wanasiasa wote ni CRAP!!!!!!!! Unaita watu Monduli kuongea hayo, bora hilo la kujenga viwanda mengine yote ni pumbaaa:shock:
 
Marehemu Mzee Nyerere alishamkataa wazi wazi huyo Lowassa mnaempigia chapuo.
ni kupoteza muda tu kumjadili
 
There are currently 1065 users browsing this thread. (201 members and 864 guests)

Wakuu mchango wangu kwenye hii thread ni idadi ya users inatisha mweehe
.
 
halafu hilo la kujenga viwanda ni unafiki wa kushindwa kwa sera zao za kufikiri unaweza kubinafsisha kila kitu wakati foundation yetu kwa mambo hayo bado?

Mfano kama kutoe hela tume toa kwa Rites zimekwenda chini ya uongozi wake, kwenye umeme vivyo hivyo tumetoa mamilioni na umeme hatuna. chini ya uongozi wake na ndio maana akajiuzulu , sasa hapa kama alimbebea mizigo rafiki ni udhaifu wake.

Sasa baada ya kututia hasara yote hiyo ndio anakuja na theory hiyo hiyo kwamba serikali iweke fedha zake kuleta ajira inaweza kuwa sawa lakini pia anatakiwa kuelewa kwanini watu toka nje au ndani wanashimdwa kuwekeza kuleta hizo ajira, ni umeme na barabara.

Jana kulikuwa na taarifa kuhusu bei ya saruji ya Tanzania kuwa aghali kuliko ya Pakistan na hata gharama za uchukuzi toka pakistan mpaka tanzania ni nafuu, kuliko gharama za kusafirisha toka sema dsm kwenda baadhi ya mikoa, sasa hata hivyo viwanda vikijengwa vitaendeshwa kwa umeme upi? au ana mpango wa kufungua dowans/richmond nyingine.
 
Nadhani umempa ushauri mzuri, lakini tueleze una mshauri nani endeleze siasa: mod, inv, painkiller, joka kuu, Riz1, malecela, membe au wewe mwenyewe?.
Ninge.mshauri Lowas aachane na politics afanye biashara hii itamuumiza akili tu
 
Huku mzee wa Mtama huku mzee wa Urambo huku mzee wa Monduli, kazi kweli kweli kama gloves wasivae za Kichina
 
Sio suala la HAKI hapa
jibu swali kama linavyouliza
umekurupuka kujibu
ndio maana mnafeli mitihani nyie
swali:1.atakubali matokeo?
2.atakuwa tayari kufanya kazi na mahasimu wake?(wapambanaji wa ccm)
 
Tunashukuru kwa taarifa mkuu...ila nimpongeze EL kwa kuongea na waandishi wa habari..nadhani alichokuwa nacho ndo hicho watz 2mekisikia ingawa tulikuwa na mengi ya kukuuliza lkn umesema utayapatia muda wake...wacha tusubiri.. hongera kwa haya machache. Barikiwa sana.
 
wakati wakihofia mali zao kupotea kwa machafuko ndio wanajua taifa litaangamia ili hali watanzania wa kawaida tayari tumeangamizwa. we have nothing to loose. we walking dead! laughing like zombie, smiling like rotten monkeys! ahamishe mali zake kwani hakujua tanzania itaangamia alipokuwa anafanya maamuzi ya kitapeli na boss wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…